Uchaguzi 2020 Freeman Mbowe usiwanyime wengine Ubunge kisa wewe hujashinda

Uchaguzi 2020 Freeman Mbowe usiwanyime wengine Ubunge kisa wewe hujashinda

Wapinzani wametuchelewesha sana tangu Uhuru mwaka 1961 sasa Nani anawataka bungeni?

Kwani CHADEMA ikifutika wazee Lumumba wa Mavi 8 wataathirika nin?
For the very first time in the history CCM wanajipendekeza Kwa wapinzani

Damu za watu zinawatafuna na bado uingereza inajitoa kufadhili dikteta
Ccm naona walikengeuka kwa kushindwa kujua umuhimu wa upinzani Sasa wametinginya ndo wanashuka hawakujifunza kutoka kikwete alitekuwa ana jitahidi ku wa favor ili kuepusha vitu vya aibu vya sasa.
 
Kuna taarifa zinasambaa kuwa CHADEMA hakitachagua wabunge wa viti maalumu kwenye uchaguzi huu huku wakijua kabisa kuwa ipo kisheria.

Kutochaguliwa wabunge waliokuwa wabunge miaka 10 kutoka CHADEMA katika uchaguzi huu akiwepo Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe isiwe ndio kigezo cha kuwaminya wengine wasiingie Bungeni.

Mbona mlipochaguliwa hakuna aliyelalamika kuwa Lowassa ameibiwa hivyo mkasusa kwenda Bungeni mwaka 2015.

Waachieni na wengine wakafanye kazi za ubunge pia mbona Trump kafungasha mizigo huko White House wewe Mbowe ni Nani???
Samahani, are you serious? Tafadhali niambie kuwa unatania! Siamini kabisa kama uko serious hapa!
 
Kutopeleka wabunge wa viti maalumu bungeni kuna faida kidogo zaidi na hasara nyingi zaidi

Labda faida pekee ni ‘kuwakomoa CCM’ na kuwatumia zaidi hao kinamama majimboni ili kukuza chama maana watakuwa na muda wa kutosha sana
 
Samahani, are you serious? Tafadhali niambie kuwa unatania! Siamini kabisa kama uko serious hapa!
Jiwe alisema mwaka 2020 inch itakua ya chama kimoja mbona unashangaa

Wapinzani wametuchelewesha sana tangu Uhuru mwaka 1961

CCM pekee Kwa raha zao kila hoja imepita

Rais aongezewe muda... Imepita
Chato iwe mji mkuu.... Imepita
Mtoto wa sister apewe funguo za hazina.. Imepita
Kila kitu kipite sio bila kupingwa tu Bali bila mijadala

Bunge la Ndio mzee linakuja sasa wasiwasi wako ni nini?
Yaani hata vikao itakua kama kwenda kutembea Dodoma
 
CHADEMA waache ubinafsi na ubaguzi kwa wanawake walioshinda viti maalumu, mbona wao walishinda dhidi ya tume hii hii na wakaenda bungeni?
Walishinda wote wanabadilishwa na kupewa wake zao
 
CHADEMA waache ubinafsi na ubaguzi kwa wanawake walioshinda viti maalumu, mbona wao walishinda dhidi ya tume hii hii na wakaenda bungeni?
Cuf hawapo? Chadema imekufa achaneni nayo
 
Kuna taarifa zinasambaa kuwa CHADEMA hakitachagua wabunge wa viti maalumu kwenye uchaguzi huu huku wakijua kabisa kuwa ipo kisheria.

Kutochaguliwa wabunge waliokuwa wabunge miaka 10 kutoka CHADEMA katika uchaguzi huu akiwepo Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe isiwe ndio kigezo cha kuwaminya wengine wasiingie Bungeni.

Mbona mlipochaguliwa hakuna aliyelalamika kuwa Lowassa ameibiwa hivyo mkasusa kwenda Bungeni mwaka 2015.

Waachieni na wengine wakafanye kazi za ubunge pia mbona Trump kafungasha mizigo huko White House wewe Mbowe ni Nani???
Ni seme tu yakwamba hawa hawakuwa wazalendo wa nchi hii bali ni uchu wa madaraka Mimi naomba waliochaguliwa waendelee wasiwasikiize
 
Kuna taarifa zinasambaa kuwa CHADEMA hakitachagua wabunge wa viti maalumu kwenye uchaguzi huu huku wakijua kabisa kuwa ipo kisheria.

Kutochaguliwa wabunge waliokuwa wabunge miaka 10 kutoka CHADEMA katika uchaguzi huu akiwepo Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe isiwe ndio kigezo cha kuwaminya wengine wasiingie Bungeni.

Mbona mlipochaguliwa hakuna aliyelalamika kuwa Lowassa ameibiwa hivyo mkasusa kwenda Bungeni mwaka 2015.

Waachieni na wengine wakafanye kazi za ubunge pia mbona Trump kafungasha mizigo huko White House wewe Mbowe ni Nani???
Wapinzani wanakwamisha maendeleo bro
 
CHADEMA waache ubinafsi na ubaguzi kwa wanawake walioshinda viti maalumu, mbona wao walishinda dhidi ya tume hii hii na wakaenda bungeni?
Unaijua list ya walioshinda?
 
Kwani kipindi kina mnyika wanaenda bungeni watu hawakufa mfano Yale maandamano ya Arusha. Kwangu mimi acheni ubinafsi, hafu Mimi siko chama chochote ni raia wa kawaida nisiye na mihemkoa
Acha unafiki
 
Wasusieni ccm basi maana hapo ccm hawana shida Ila mnajikomoa nyie ka chama maana mtasahaulika uwepo wenu mtajuta na ccm inaweza kukipa power chama kingine Cha upinzani ndio mtajutra, Cuf walisusa nini walichokipata?
Hivyo vyama vyengine na viwape nguv. Kwanini mnalazimisha wakati hawataki. Tutakwenda dukani na ununuzi utakuwa WA bei moja kati ya mataga(ccm) na WA upinzani na wengine. Kwahiyo hatutapungukiwa chochote bakini tu pekeyenu mmetaka wemyewe kubakia chama kimoja.
 
CHADEMA waache ubinafsi na ubaguzi kwa wanawake walioshinda viti maalumu, mbona wao walishinda dhidi ya tume hii hii na wakaenda bungeni?
Nileteeni Ccm mzee baba. Acheni bunge letu liwe la kijani.
 
Miaka mitano sio milele ni kesho tu.mlitaka muwe mwenyewe.sasa kila kitu cha kwenu na nchi niyakwenu mtaamua mtakavyo tunasubiri muibadilishe iwe kama ulaya.maana mlikua mnasema wapinzani wanachelewesha maendeleo.haya sasa uwanja wenu.
 
Back
Top Bottom