cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Wasusieni ccm basi maana hapo ccm hawana shida Ila mnajikomoa nyie ka chama maana mtasahaulika uwepo wenu mtajuta na ccm inaweza kukipa power chama kingine Cha upinzani ndio mtajutra, Cuf walisusa nini walichokipata?Chama hakichagua wala kwanini mnalazimisha mambo wkati mnahitaji bunge lá chama kimoja,?