Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi sina akili nimeazima za mumeo hapa natumia kuandika huu utopolo.Acha stress kijana. Jibu hoja kama huna jibu ukae kimya. Nahitaji taarifa ambazo sizifahamu vizuri wewe unaniletea utopolo wako. Chadema mnaonekana hamna akili kwasababu ya watu maboya kama wewe.
Tunatumia idadi ya kura za wabunge mkuuKatiba inataka wabunge viti maalum watokane na uwiano wa viti ambavyo chama kimepata katika majimbo ya uchaguzi. Sasa Chadema ina mbunge mmoja hivyo viti maalum vitatoka wapi?
Walioiba waliiba mpaka wakajisahau
View attachment 1622346
Tunatumia idadi ya kura za wabunge mkuuI
Yes lakini katiba inatekelezwa kwa sheria ya uchaguzi na kanuni za uchaguzi ambazo ndiyo zimeweka utaratibu huo.Katiba inasema idadi ya uwakilishi majimboni na siyo idadi ya kura majimboni
Unaweza kuweka sheria ya uchaguzi hapa?Yes lakini katiba inatekelezwa kwa sheria ya uchaguzi na kanuni za uchaguzi ambazo ndiyo zimeweka utaratibu huo.
Hizo hapo pamoja na kanuni za uchaguziView attachment 1506507832-The National Election Act (CAP 343) Revised 2015)-1.pdfView attachment 1595919061-SUPP GN NO 402 TEXT 5 JUNE 2020 - THE National Elections Regulations 15 May 2020.pdfunaweza kuweka sheria ya uchaguzi hapa?
Chadema wakisusa, CCM wanakula
Tafadhali msijifiche kwenye madhambi yenu kwa kumtuhumu mwenyekiti....Haijalishi lakini Mbowe aache ubinafsi awaache wanawake waende Bungeni
Lengo limetimia... Bunge lote ni kijani, nendeni mkafanye kazi bila kelele za wapinzaniHaijalishi lakini Mbowe aache ubinafsi awaache wanawake waende Bungeni
Kwa hiyo wewe Leo ndo unaipenda Sana chadema kuliko chadema inavyojipenda??CHADEMA waache ubinafsi na ubaguzi kwa wanawake walioshinda viti maalumu, mbona wao walishinda dhidi ya tume hii hii na wakaenda bungeni?
Kwani Halima Mdee, Esther Matiko na Bulaya hawakuwa wanawake wanaotaka kwenda Bungeni? Au hukuona dhurma walizofanyiwa? Ulikuwa wapi kuwatetea wanawake wale wa Shoka waliotaka kwenda huko Bungeni? Kwani hukuona Dhurma waliyofanyiwa?Haijalishi lakini Mbowe aache ubinafsi awaache wanawake waende Bungeni
Kweli kabisa chadema wametuchelewesha maendeleo hata kuanzia 1961 hadi 1995 wanatuchelewesha miaka 59Tunataka nchi iwe kijani kitupu ili tupate maendeleo kwa haraka,wapinzani wanachelewesha maendeleo.