Uchaguzi 2020 Freeman Mbowe usiwanyime wengine Ubunge kisa wewe hujashinda

Uchaguzi 2020 Freeman Mbowe usiwanyime wengine Ubunge kisa wewe hujashinda

Mkanireteee wabunge wa sisiem
MAdiwani wa sisiemu
Ili muwe na connection ya mandereooo
Arusha itakua kana karifoniyaa

Oyaaa
MAWAKALA WA MABEBERU MNAITWA HUKU MWENDE MJENGONIIIIII
,,HAKI HUINUA TAIFA,,
 
CCM acheni kulialia,mmeachiwa muwe wenyewe bungeni sasa porojo za nini?Si wapinzani wanachelewesha maendeleo,nendeni mkalete hayo maendeleo!
 
Katiba inataka wabunge viti maalum watokane na uwiano wa viti ambavyo chama kimepata katika majimbo ya uchaguzi. Sasa Chadema ina mbunge mmoja hivyo viti maalum vitatoka wapi?

Walioiba waliiba mpaka wakajisahau

IMG_20201108_234302.jpg
 
Acha stress kijana. Jibu hoja kama huna jibu ukae kimya. Nahitaji taarifa ambazo sizifahamu vizuri wewe unaniletea utopolo wako. Chadema mnaonekana hamna akili kwasababu ya watu maboya kama wewe.
Mi sina akili nimeazima za mumeo hapa natumia kuandika huu utopolo.
 
CHADEMA wanapinga uchaguzi na kura zilizopatikana siyo halali kwa sababu zimepatikana katika mfumo batili.

Wabunge wa viti maalumu wanapatikana kwa kuzingatia idadi ya kura za wabunge wote chama kilizopata sasa unateua vipi wabunge kwenye kura ambazo unahoji uhalali wake ?
 
Kwenye uchaguzi upi mkuu?

Kwani kulikuwa na uchaguzi au kulikuwa na wizi mtupu?

Inawauma sana kutohalalishwa kwa wizi wenu eeh?
 
Haijalishi lakini Mbowe aache ubinafsi awaache wanawake waende Bungeni
Tafadhali msijifiche kwenye madhambi yenu kwa kumtuhumu mwenyekiti....
CHADEMA haitambui uchaguzi na sote tumesema hivyo

kama dhulma ni Mali basi pelekeni wabunge wenu Sisi hatutaki
mbona hamna raha?
tangu lini mkatutetea?
 
Sasa waende bungen kufanyaje maana watatukanwa watasemwa vibaya watatishiwa maisha wataambiwa wakala wa mabeberu mahawara watasekwa ndani.baadae wataambiwa waunge juhudi.haina maana kuwa na bunge la namna hyo.
 
Umemsikiliza Zitto jana kuhusu unyama unaoendelea? Kuna maana gan kuhushiriki in a falsely election? Je hujali maisha ya watu wengine? Walio na wanaoumizwa? Waliouliwa? Wanaoendelea kutekwa kusikojulikana hawajulikani kama wako hai ama wamekufa?

Kwanini wabongo mnapenda sana hela kwenye ubinadamu? Ivi unafikiri hakuna kilichotokea umeweka pamba za masikio? Kwanini mnakuwa kama nyoka?
 
CHADEMA waache ubinafsi na ubaguzi kwa wanawake walioshinda viti maalumu, mbona wao walishinda dhidi ya tume hii hii na wakaenda bungeni?
Kwa hiyo wewe Leo ndo unaipenda Sana chadema kuliko chadema inavyojipenda??

Ulikuwa wapi Kupiga kelele na kuitetea wakati Kura za wizi zinatumika kupitisha wagombea wenu? Ulikuwa wapi Kupiga kelele wakati Mawakala wa vyama vya Upinzani wanazuiwa kuapishwa? Ulikuwa wapi wakati NEC wanatangaza matokeo FEKI na kutangaza wagombea walioshindwa?? Hebu tuacheni unafki jamani!
 
Haijalishi lakini Mbowe aache ubinafsi awaache wanawake waende Bungeni
Kwani Halima Mdee, Esther Matiko na Bulaya hawakuwa wanawake wanaotaka kwenda Bungeni? Au hukuona dhurma walizofanyiwa? Ulikuwa wapi kuwatetea wanawake wale wa Shoka waliotaka kwenda huko Bungeni? Kwani hukuona Dhurma waliyofanyiwa?
 
Back
Top Bottom