Freemansons..............!!!!! !!!!!!!

Watu wangu waqnaangamia kwa kukosa maarifa.
Hebu i scan hiyo barua kisha tutumie hapa jukwaani
 

Kwasasa kuchange mind yake ni kazi sana, kasema anaendelea kuulizia kwa watu....
nikaona huyu hana lingine aliwazalo zaidi ya freemasons!!!!
 
Waovu hukimbia wasipofuatiwa na mtu, bali wenye haki ni wajasiri kama simba. Mwambie ajisalimishe kwa Yesu maana anakoelekea si kuzuri.
 
Evelyn Salt na akishapata huo utajiri na anajua kabisa kuwa alimtoa mama yake kafara atakuwa na raha gani au ndo majuto ya milele
Mwambie aachane na hayo bana achacharike kivingine na azingatia ushauri wa Mzizi wa Mbuyu hapo juu

sijui kama anaeza kuachana na hizo fikra, anaonekana amedhamiria kufanya hiyo kitu na barua inajieleza!!!
 
Hakika hajui anchokitaka/anachoongea, freemanson is real ila ni demonic services ambazo wanatoa kafara ya ndugu wa karibu kama sadaka....

Hata kama hajui kiundani hayo mambo ya Freemasons, atakuwa anajua kuna kafara kwanini aseme yupo tayari kwa chochote watakachotaka?
 

Taifa limelishwa upumbavu wa freemasons na serikali ya maccm imejifungia kwenye makabati na kuwaacha wajinga wakiutangaza huu upuuzi mitaani na kwenye magazeti ila watoto wao wanaenda chooni
 
sijui kama anaeza kuachana na hizo fikra, anaonekana amedhamiria kufanya hiyo kitu na barua inajieleza!!!
Evelyn Salt kaa nae na mweleze wazi hakuna njia nyepesi kwenye kufikia mafanikio na wala hakuna kitu kinachoitwa mafanikio ya haraka
mweleze abc za maisha maana najua na wewe unazo za kwako
 
Last edited by a moderator:
Kawaandikia wapi kwenye address ipi na hao freemason wanapatikana wapi ?

Huenda hata research yake ya google haikufanikiwa mwambie aendelee ku-google ili aweze kupata pumba na mchele na sio kupotezeana muda na story za vijiweni
 
Mwambie sharti ambalo freemasons wanataka ni kichwa chake.
Hivyo mwambie akikate na akipeleke.
 
Evelyn Salt kaa nae na mweleze wazi hakuna njia nyepesi kwenye kufikia mafanikio na wala hakuna kitu kinachoitwa mafanikio ya haraka
mweleze abc za maisha maana najua na wewe unazo za kwako

Nitajaribu ha ha ha make alivonambia ataendelea kuulizia ikabidi nimwambie haya ukipata form nami niletee......!!!
 
Watu wangu waqnaangamia kwa kukosa maarifa.
Hebu i scan hiyo barua kisha tutumie hapa jukwaani

Yani bahati mbaya kijiwe hakina scanner nilitamani niiscan niweke hapa mnisaidie kumuhurumia.....
 
mwambie ili awe freemason lazima waarabu wakague uone imani yake

Hivi unadhani hiyo itakuwa ni ishu kwake!!!
yani namuonea huruma make nahisi anaeza hata kujiingiza kwenye ushoga ili awe na maisha mazuri....
 
Kwasasa kuchange mind yake ni kazi sana, kasema anaendelea kuulizia kwa watu....
nikaona huyu hana lingine aliwazalo zaidi ya freemasons!!!!

Muulize swali lakizushi, je akiambiwa ajitoe roho yake atakubali????
Maana amesema yuko tayari kwa lolote.
 
Kawaandikia wapi kwenye address ipi na hao freemason wanapatikana wapi ?

Huenda hata research yake ya google haikufanikiwa mwambie aendelee ku-google ili aweze kupata pumba na mchele na sio kupotezeana muda na story za vijiweni

Sio kuwa aligoogle, alikuja hapa kuulizia akiitaji habari mbalimbali atapata?nikamjibu ndio nikampa na bei....
akaondoka akasema ngoja akatafute hela atarudi, imepita wiki ndo leo kaja, kanipa hela na barua
nikajua matokeo ya form four tayari labda kaandika namba yake hapo nimchekie kufungua ndo nakuta ameandika

"mimi flani (full name) umri, na mahali alipo anaomba kujiunga na freemasons yupo tayari kwa kiu chochote watakachotaka....nk.)

nikamuambia hawezi kupata anuani zao labda akigoogle tu atapata habari zao, akaonekana kunyong'onyea sana akaishia!
 
Muulize swali lakizushi, je akiambiwa ajitoe roho yake atakubali????
Maana amesema yuko tayari kwa lolote.

.........kishaondoka ila bila shaka atarudi tu tena hata kujua habari za freemasons!!!!
 

Mwambie kama anachotafuta ni chama cha kujiunga na kusaidiana, atafute SACCOS au wajenge chama chao na kukiita jina lolote wanalotaka FREE-TANZANIANS n.k. pia waandike katiba yao na misingi watakayofuata, hakuna mtu wa kukupa kitu cha bure sababu tu unataka kujiunga nao..

Mwambie kwa msingi hio ndio Freemasons ni chama cha watu fulani kama kilivyo hicho atakachoweka, na hakuna kiongozi maalumu hata wenyewe wakitaka wanaweza kuweka tawi na yeye ndio akawa raisi wao (lakini kwanini ajiite Freemasons na sio ajenge chama kwa misingi na mitizamo ya mwingine na sio misingi na mitizamo yake)

Pia mwambie asiamini story za watu na magazetini ni story tu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…