Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Watu wangu waqnaangamia kwa kukosa maarifa.
Hebu i scan hiyo barua kisha tutumie hapa jukwaani
Hebu i scan hiyo barua kisha tutumie hapa jukwaani
Nipo sehemu kijijini nimefungua kijiwe cha internet ,kuna kijana (anaonekana hayupo vizuri kimaisha) wiki iliopita alikuja kuniulizia mambo ya Freemasons kwenye internet nikamwambia anaweza akagoogle kupata taarifa zao .... sasa leo karudi amepata hela ya internet ,akanikabidhi hela na barua ndefu kawaandikia Freemasons anataka kujiunga wamsaidie maisha ni magumu na yupo tayari kwa chochote watakachotaka....hivi kama mtu yupo tayari kufanya chochote ili usaidiwe kuna usalama kweli!!!!
Nimeshindwa hata nimwambie nini huyu kijana.......!!!!!!!!!!!