Hela na barua yake nimemrudishia na amesikitika kainama kama dakika tano hivi nilivomwambia hawezi kujiunga......
huku ni bush japo sio kivile, hata mtaji wa barafu sidhani kama anaeza kuwa nao, make alinambia anaenda kutafuta hela wiki imepita ndo karudi na buku leo!!!
yaani wiki nzima kaja na buku duh!
yaani mimi ningekuwa wewe ningemwambia wamekubali na ningemsainisha vimkataba ukuda na kupga picha yake na kuiingiza kwenye net(kwa njia yoyote hata fb)mixer maneno ya frmasn hapo lazma anikubali, af namwambia njoo baada ya siku 2 ombi lako linashughulikiwa so plz wait....Akija sasa kijana kazi imeanza rasmi ombi lako limekubaliwa
ila wamesema kalete jogoo mkubwa ndan ya siku 3 uwe umemleta si ulisema upo tayar kwa lolote sasa fanya hivyo usipoleta tu unakufa wewe! Namdanganya namwambia kuwa f.mason hawatoi kafara ya mtu(hata kama wanatoa) mpaka ukiuke masharti yao lkn kwa sasa wanaangalia uaminifu wako. hapo hapo wakuu jamaa atakimbia kuchakarika kutafuta jogoo
siku ya tatu; namwambia safi sana tena leo waliniulizia kuwa kama umefika, sasa kaa na kuku wako nikupige picha niwatumie kuwa umekuwa mtiifu plz wait jamaa wanakuombea
baada ya mda namwambia wamesema kuku wao mrudishe sokon ulipomtoa tena kwa kumuuza au mpeleke kamuuze mjini hata kwa wahindi,migahawan,hotelin popote pale lkn lazima uuze kwa bei
mara mbili ya uliyomnunulia tena zoezi lifanyike ndan ya siku 1 uwe hapa yaani hapa na hizo fedha laa sivyo utanza kuota manyoya ya jogoo (hapo namlalamikia ajabu kuwa kaniingiza kwenye matatatizo)
akiludi na hela namwambia jamaa wanakuona wamenipigia smu usku kuwa umeshauza na wamesema walikuwa wanakuona ila wao ndo wamekupa nyota ya kuuza,
sasa namuuliza unajua ulipomtoa huyo kuku kama jb Ndyo! Sasa nenda na hiyo hela kanunue jogoo wa2 na upitilize hukohuko ukawauze
uj hapa na hela mara 2 ya uliyonunulia kuku kila m1 uje hapa kusaini tu! Zoez lifanyke wthn 2days!, na namwambia hamna kuila hiyo hela kama ni msos kula ulichokuwa unakula hakuna kula hat 10 mpaka utakapo ruhusiwa!!
Akirudi namwambia nenda mara ya mwisho kanunue kuku wa4 na ukawauze atakayekataa kununua kuku bei kubwa usimbembeleze kwa7babu wewe ushakuwa tajir mkubwa mf. Si unawaona wasanii hafanyi shoo hela ndogo, si unaona mali za bakhresa hazna punguzo sokon!
Akirudi namwambia sana nenda kanunue kuku nane ukiuza waweza kula na chakula cha mchana hukohuko mjini na namwambia sasa waweza kwenda kwenye hotel na migahawa kuchikua order af utakuwa unakuja kuripot tu! Nampa mifano ya uongo si unamuona fulan ni f.mason lkn anajshuhulisha.
Nadhan mpaka hapo ntakuwa nimemsaidia sana, natumia njia hiyo kutokana na akili yake fnyu ilivyolenga ntatumia ujinga kumfundisha(nadhan hata kule rehab wanapowaachisha watu kuvuta dawa za kulevya wanayo madawa kwaajil kuwapa vctms kidogokidogo ili kuwafanya wasiwe arosto zaidi) af akishafanikiwa namweleza hakuna mafanikio mazuri na yanayoduma kwa kutoa kafara. Nakuw nakula viela vyake vya soda tu!!!
Na Mungu amsaidie sana!!
Lakn kama ningekuwa SALT!!!
yaani wiki nzima kaja na buku duh!
yaani mimi ningekuwa wewe ningemwambia wamekubali na ningemsainisha vimkataba ukuda na kupga picha yake na kuiingiza kwenye net(kwa njia yoyote hata fb)mixer maneno ya frmasn hapo lazma anikubali, af namwambia njoo baada ya siku 2 ombi lako linashughulikiwa so plz wait....Akija sasa kijana kazi imeanza rasmi ombi lako limekubaliwa
ila wamesema kalete jogoo mkubwa ndan ya siku 3 uwe umemleta si ulisema upo tayar kwa lolote sasa fanya hivyo usipoleta tu unakufa wewe! Namdanganya namwambia kuwa f.mason hawatoi kafara ya mtu(hata kama wanatoa) mpaka ukiuke masharti yao lkn kwa sasa wanaangalia uaminifu wako. hapo hapo wakuu jamaa atakimbia kuchakarika kutafuta jogoo
siku ya tatu; namwambia safi sana tena leo waliniulizia kuwa kama umefika, sasa kaa na kuku wako nikupige picha niwatumie kuwa umekuwa mtiifu plz wait jamaa wanakuombea
baada ya mda namwambia wamesema kuku wao mrudishe sokon ulipomtoa tena kwa kumuuza au mpeleke kamuuze mjini hata kwa wahindi,migahawan,hotelin popote pale lkn lazima uuze kwa bei
mara mbili ya uliyomnunulia tena zoezi lifanyike ndan ya siku 1 uwe hapa yaani hapa na hizo fedha laa sivyo utanza kuota manyoya ya jogoo (hapo namlalamikia ajabu kuwa kaniingiza kwenye matatatizo)
akiludi na hela namwambia jamaa wanakuona wamenipigia smu usku kuwa umeshauza na wamesema walikuwa wanakuona ila wao ndo wamekupa nyota ya kuuza,
sasa namuuliza unajua ulipomtoa huyo kuku kama jb Ndyo! Sasa nenda na hiyo hela kanunue jogoo wa2 na upitilize hukohuko ukawauze
uj hapa na hela mara 2 ya uliyonunulia kuku kila m1 uje hapa kusaini tu! Zoez lifanyke wthn 2days!, na namwambia hamna kuila hiyo hela kama ni msos kula ulichokuwa unakula hakuna kula hat 10 mpaka utakapo ruhusiwa!!
Akirudi namwambia nenda mara ya mwisho kanunue kuku wa4 na ukawauze atakayekataa kununua kuku bei kubwa usimbembeleze kwa7babu wewe ushakuwa tajir mkubwa mf. Si unawaona wasanii hafanyi shoo hela ndogo, si unaona mali za bakhresa hazna punguzo sokon!
Akirudi namwambia sana nenda kanunue kuku nane ukiuza waweza kula na chakula cha mchana hukohuko mjini na namwambia sasa waweza kwenda kwenye hotel na migahawa kuchikua order af utakuwa unakuja kuripot tu! Nampa mifano ya uongo si unamuona fulan ni f.mason lkn anajshuhulisha.
Nadhan mpaka hapo ntakuwa nimemsaidia sana, natumia njia hiyo kutokana na akili yake fnyu ilivyolenga ntatumia ujinga kumfundisha(nadhan hata kule rehab wanapowaachisha watu kuvuta dawa za kulevya wanayo madawa kwaajil kuwapa vctms kidogokidogo ili kuwafanya wasiwe arosto zaidi) af akishafanikiwa namweleza hakuna mafanikio mazuri na yanayoduma kwa kutoa kafara. Nakuw nakula viela vyake vya soda tu!!!
Na Mungu amsaidie sana!!
Lakn kama ningekuwa SALT!!!
shortcut alwayz ..........?