Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

Status
Not open for further replies.
Ndipo wanapofaulu kuwahamisha kwenye reli .hakuna mjadala wowote wala ubishani kuwa Mungu yupo .ila aabudiwe vipi na ni nani ndo mgogoro.
Kokote aliko Mungu ni shahidi wangu kuwa nafasi yake umetumika sana kudidimiza wanadamu .ziko hata falme ziliwahi dumu kwa kutengeneza mungu wa uongo na ukihoji wanajibu kama ww ooh hataniwi mara ni mkali.
MUNGU ambae hataki tuhoji jinsi sahihi ya kumendea atakuwa basi mdhaifu sana.
Nilishamaliza mimi,sina muda wa kubishana,matokeo yake ni magomvi.Amini MUNGU unayetaka,kama unataka kumwabudu MUNGU wa Freemasons ambaye ni Shetani sawa tu.
 
Nilishamaliza mimi,sina muda wa kubishana,matokeo yake ni magomvi.Amini MUNGU unayetaka,kama unataka kumwabudu MUNGU wa Freemasons ambaye ni Shetani sawa tu.
NAni kwambia Mungu wa freemason ni shetani??? Ushauri wa bure usipende kusikiliza watu wa kahawa wanaoamini kuna utajiri wa kujiunga na freemasonry .acha pia kusikiza hawa wachungaji wauza mafuta ya upako
 
NAni kwambia Mungu wa freemason ni shetani??? Ushauri wa bure usipende kusikiliza watu wa kahawa wanaoamini kuna utajiri wa kujiunga na freemasonry .acha pia kusikiza hawa wachungaji wauza mafuta ya upako
MUNGU wa Freemasons ni Shetani,kama hujui pole,chini ya degree tatu hamuambiwi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom