Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

Status
Not open for further replies.
Nilishamaliza mimi,sina muda wa kubishana,matokeo yake ni magomvi.Amini MUNGU unayetaka,kama unataka kumwabudu MUNGU wa Freemasons ambaye ni Shetani sawa tu.
 
Nilishamaliza mimi,sina muda wa kubishana,matokeo yake ni magomvi.Amini MUNGU unayetaka,kama unataka kumwabudu MUNGU wa Freemasons ambaye ni Shetani sawa tu.
NAni kwambia Mungu wa freemason ni shetani??? Ushauri wa bure usipende kusikiliza watu wa kahawa wanaoamini kuna utajiri wa kujiunga na freemasonry .acha pia kusikiza hawa wachungaji wauza mafuta ya upako
 
NAni kwambia Mungu wa freemason ni shetani??? Ushauri wa bure usipende kusikiliza watu wa kahawa wanaoamini kuna utajiri wa kujiunga na freemasonry .acha pia kusikiza hawa wachungaji wauza mafuta ya upako
MUNGU wa Freemasons ni Shetani,kama hujui pole,chini ya degree tatu hamuambiwi.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…