Nilishamaliza mimi,sina muda wa kubishana,matokeo yake ni magomvi.Amini MUNGU unayetaka,kama unataka kumwabudu MUNGU wa Freemasons ambaye ni Shetani sawa tu.Ndipo wanapofaulu kuwahamisha kwenye reli .hakuna mjadala wowote wala ubishani kuwa Mungu yupo .ila aabudiwe vipi na ni nani ndo mgogoro.
Kokote aliko Mungu ni shahidi wangu kuwa nafasi yake umetumika sana kudidimiza wanadamu .ziko hata falme ziliwahi dumu kwa kutengeneza mungu wa uongo na ukihoji wanajibu kama ww ooh hataniwi mara ni mkali.
MUNGU ambae hataki tuhoji jinsi sahihi ya kumendea atakuwa basi mdhaifu sana.
NAni kwambia Mungu wa freemason ni shetani??? Ushauri wa bure usipende kusikiliza watu wa kahawa wanaoamini kuna utajiri wa kujiunga na freemasonry .acha pia kusikiza hawa wachungaji wauza mafuta ya upakoNilishamaliza mimi,sina muda wa kubishana,matokeo yake ni magomvi.Amini MUNGU unayetaka,kama unataka kumwabudu MUNGU wa Freemasons ambaye ni Shetani sawa tu.
MUNGU wa Freemasons ni Shetani,kama hujui pole,chini ya degree tatu hamuambiwi.NAni kwambia Mungu wa freemason ni shetani??? Ushauri wa bure usipende kusikiliza watu wa kahawa wanaoamini kuna utajiri wa kujiunga na freemasonry .acha pia kusikiza hawa wachungaji wauza mafuta ya upako
Sawa tubaki na aman kuwa na siku njemaMUNGU wa Freemasons ni Shetani,kama hujui pole,chini ya degree tatu hamuambiwi.
🙏Sawa tubaki na aman kuwa na siku njema