Jackwillpower
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 2,467
- 3,687
- Thread starter
-
- #61
WAKATOLIKI wana mwanadamu waliempa jina lenye wadhifa na wasifu wa Mungu peke yake, yaani " Baba Mtakatifu"(PAPA) Soma: Yohana 17:11Wala mimi simo tena ulimwenguni, lakini hawa wamo ulimwenguni, nami naja kwako. Baba Mtakatifu, kwa jina lako ulilonipa uwalinde hawa, ili wawe na umoja kama sisi tulivyo.Hivi sasa, biblia anaruhusiwa kila mtu.
Sasa basi nini ambacho Kanisa katoliki lilificha kimefichuliwa?
UFREEMASON NDANI YA MAKANISAUsabato ndio ufreemason na wanatumika kuvurga dini nyingine
Woi, kama huijui vizuri dini ya mtu it's better ukae kimya! Unaweza laanika
“Mamlaka ya papa haina mwisho,na ni isiyozuilika; inaweza kuharibu na kumpotezaWasabato wakishashiba maharage ya jumamosi daaaaah
Kwaiyo hayo ndiyo yanakufanya useme ni satanic??“ ni marufuku kwa mtu wa kawaida kusoma agano la kale wala jipya. Wakuu wa wilaya watahusika kuwatafuta kwa umakini wazushi wote katika makazi yao na hata mafichoni ili kuwashughulikia kikamilifu”. Council Tolosanion, Pope Gregory IX, Anno.Chr.1229.
View attachment 1765319
Unaandika kutoka kichwani kwako na sio uhalisia wa mambo! Just dig out mzee“Mamlaka ya papa haina mwisho,na ni isiyozuilika; inaweza kuharibu na kumpoteza
yeyote, kama Innocent III alivyosema.Papa anaweza kumwadhibu mtu yeyote, na mamlaka yake hairuhusu kukata rufaa maana ndiyo ya mwisho katika utendaji; kwa maana papa ndiye mwenyemamlaka zote katika kifua chake kama alivyosema Boniface III.Na kwa kuwa hawezi kukosea, basi yeye ndiye mwamuzi wa kila jambo katika kanisa kwa kutunga miongozo, kuleta kila aina ya fundisho, kuamrisha kila aina ya matakwa yake katika maswala mazima ya imani. Hakuna haki yoyote inayoweza kusimama kinyume yake ikiwa ni ya mtu binafsi au shirika”
Ignaz von Dollinger, “A Letter Addressed to the Archbishop of Munich” 1871; as quoted in MacDoudall, The Action Newman Relations (Fordham University Press) pp.119,120.
Danieli 7:8, “Nikaziangalia sana pembe zake, na tazama, pembe nyingine ikazuka kati yao, nayo ilikuwa ndogo, ambayo mbele yake pembe tatu katika zile za kwanza zikang'olewa kabisa; na tazama, katika pembe hiyo mlikuwa na macho kama macho ya mwanadamu, na kinywa kilichokuwa kikinena maneno makuu.”
Andiko hili la kiunabii linatuonesha kwamba juu ya upapa ataketi mtu mmoja; yaani papa. Na huyu huchukuliwa kama mtu asiyekosea na mwenye mamlaka ya kuamuru chochote na ni lazima kitekelezwe.
Mimi sio Msabato na wala sio muislamu but chunguza kwa umakini sana, Roman Catholic sio dini, ile ni serikali inayoiendesha dunia; serikali yoyote duniani ikosane na RC then utauona mziki wake, ukichunguza sana utagundua ndio hao hao waliuanzisha na UISLAM pale mashariki ya kati. Waislamu watabisha but moja kati ya proves wanaoitumia kuhalalisha UTUME wa Mohamad ni maneno ya padree wa Roman Catholic wa enzi hizo akimuusia mjomba wa Mohamadi ambaye of course ndio alikua mlezi wake; kuna siri nyingi sana hatuzijui kwenye hizi dini zote za dunianiHizi dini zilizoanzishwa na vikundi vya watu uchochoroni, zimejikita sana kwenye majungu.
Huwezi kuta dini kubwa kama Islamic, roman catholic zinapoteza muda kujadili iman za watu wengine
Tena hao wasabato wamejikita sana kusoma umbea wa elen G white na hadithi zake za uongo kuhusu Freeman
Kanisa Katoliki limebadilisha Amri Kumi za Mungu.Kwaiyo hayo ndiyo yanakufanya useme ni satanic??
Unasema wameondoa amri ya pili, nakuuliza hivi niletee amri za waroma zote kumi wanazotumia afu na za hao wasabato nilinganishe kitu.. sitaki uniletee gazeti nataka amri kumi wanazotumia waroma na wanazotumia wasabatoKanisa Katoliki limebadilisha Amri Kumi za Mungu.
Wameondoa amri ya pili kwenye katekisimu ili Waabudu sanamu na kugawa ile ya kumi mara mbili. Pia, wameondoa sehemu ya amri ya nne. Pengine huu ndio udanganyifu mkuu zaidi katika historia ya ulimwengu. Licha ya hili, wapo wengi wanaoamini kwamba Kanisa Katoliki ni kanisa la Kikristo.
Lakini Mkristo lazima amfuate Kristo na wala si kubadilisha chochote ambacho Kristo amesema au kuandika; tofauti na kile ambacho Kanisa Katoliki limefanya, na si tu kuhusiana na sheria ya Mungu. Kwa hiyo tunakubaliana na Luther na Wanamatengenezo, walioona vyema kwamba papa anabeba sifa za mpingaKristo.
Martin Luther huliweka kwa namna: “Hapo awali nilisema kwamba papa alikuwa mwakilishi wa Kristo; sasa natangaza kwamba yeye ni adui mkuu wa Bwana wetu, mtume wa Ibilisi.” (D’Aubigne, kitabu cha 7, sura ya 6).
Ilani ya kipapa ilipomfikia Luther, alisema: “Naidharau na kuishambulia, kuwa ni yenye kufuru na uongo.... Kristo Mwenyewe ndiye anayeshutumiwa humo.... Nafurahia kwa kustahimili maovu hayo kwa ajili ya faida ya kazi bora zaidi. Tayari najisikia kuwa na uhuru mkubwa zaidi moyoni mwangu; kwa vile hatimaye najua kwamba PAPA NI MPINGAKRISTO, NA KWAMBA UTAWALA WAKE NI WA SHETANI MWENYEWE.” (D’Aubigne, kitabu cha 6, sura ya 9).
View attachment 1765328
Upo sahihi mkuu, sio wote watajua ,Mimi sio Msabato na wala sio muislamu but chunguza kwa umakini sana, Roman Catholic sio dini, ile ni serikali inayoiendesha dunia; serikali yoyote duniani ikosane na RC then utauona mziki wake, ukichunguza sana utagundua ndio hao hao waliuanzisha na UISLAM pale mashariki ya kati. Waislamu watabisha but moja kati ya proves wanaoitumia kuhalalisha UTUME wa Mohamad ni maneno ya padree wa Roman Catholic wa enzi hizo akimuusia mjomba wa Mohamadi ambaye of course ndio alikua mlezi wake; kuna siri nyingi sana hatuzijui kwenye hizi dini zote za duniani
NDUGU SOMA KWENYE KATEKISIMU, YAKO THEN UFANANISHE NA BIBLIA, HAPA NIPO MBALI NA KATEKISIMU AU SHAJARA NA MISALE, ZISOME HUMO UFANANISHE NA ZA KUTOKA 20:1-17Unasema wameondoa amri ya pili, nakuuliza hivi niletee amri za waroma zote kumi wanazotumia afu na za hao wasabato nilinganishe kitu.. sitaki uniletee gazeti nataka amri kumi wanazotumia waroma na wanazotumia wasabato
Kwa mujibu wa katekisimu:-Unasema wameondoa amri ya pili, nakuuliza hivi niletee amri za waroma zote kumi wanazotumia afu na za hao wasabato nilinganishe kitu.. sitaki uniletee gazeti nataka amri kumi wanazotumia waroma na wanazotumia wasabato
Wewe si mtu anayejifunza. Umejibu ambacho sijakuuliza. Pia ulichojibu si sahihi.WAKATOLIKI wana mwanadamu waliempa jina lenye wadhifa na wasifu wa Mungu peke yake, yaani " Baba Mtakatifu"(PAPA) Soma: Yohana 17:11Wala mimi simo tena ulimwenguni, lakini hawa wamo ulimwenguni, nami naja kwako. Baba Mtakatifu, kwa jina lako ulilonipa
Wakati mwingine unahoji ukidhani jamii ya humu itakuona GT kumbe unafunua upumbavu wako...yote uliyohoji yako wazi soma theolojia ya RC soma ufunuo (bei bible 7000)Mambo mengi duniani ni propaganda, tena propaganda nyeusi.
Ukiacha hilo la propaganda.
Kuna hili la kitabu cha "Ufunuo" kinasemwa sana.
Sina uhakika kama wanaokilejelea katika madai yao wanamfahamu msingi wake.
Kuna mambo msingi ya kuangalia katika hiki kitabu katika kujua ukweli wake:
Mwandishi wa hiki kitabu ni nani? Alikiandika katika mazingira gani? Lengo lake Lilikuwa ni nini? Aliwandikia nani?
Ni uandishi wa aina gani mwandishi ametumia? Kwa nini? Ujumbe wake ni nini?
Kwa nini kitabu cha ufunuo na sio kitabu kingine katika biblia?
Kwanini Kanisa katoliki linahusishwa na kitabu cha ufunuo? Kwenye hili swali nataka kufahamu: Kanisa katoliki linashughulika na nini na kitabu cha ufunuo kinashugulika na nini?
Kwa maneno mengine, Kanisa katoliki linafundisha nini na kitabu cha ufunuo kinafundisha nini?
Mimi naifahamu theolojia ndio maana natoa hayo maswali. Kwasababu imani si sayansi lakini teolojia ni sayansi ya imani.Wakati mwingine unahoji ukidhani jamii ya humu itakuona GT kumbe unafunua upumbavu wako...yote uliyohoji yako wazi soma theolojia ya RC soma ufunuo (bei bible 7000)
Asante kwa Mada nzitoNataka kusema kwamba, Ulaya wameitawala Libya,wanajua utamu wa utajiri wake wa mafuta. Ulaya na Marekani ndiyo wenye makampuni makubwa, “Supermajors” ya mafuta hapa duniani. Utawala wa Gaddafi ulitaka kubinafsisha mafuta yote yawe kwa maslahi ya Walibya, ooh…wakamkosea Mzungu.
Freemasons wanatafuta kumiliki chumi za dunia nzima na mafuta ni ‘damu’ inayobeba uhai wa dunia na mataifa yao. Sasa, twajua kwa nini Freemasons waliingiza Libya katika Mhimili wa Uovu(The Axis of Evil) wapate kuishambulia na kumuulia mbali Gaddafi na wapinzani wa sera zao. Na kwa misingi hii hii tujue kwa nini Iran itashambuliwa na Marekani ikileta ubishi wowote. Uingereza, Ujerumani, Hispania, Ufaransa, Italia, Ureno, Uswisi hawa ni vichwa saba katika mnyama wa Ufunuo 13, ufunuo 17, Danieli 7.
Marekani, ni mwanakondoo wa Ufunuo 13:11-18 na hawa wote wanahaha kuhakikisha wanafanya kampeni kali na propaganda kupitia mashirika yao ya habari yenye nguvu duniani, kuwapaka matope watu wasiopendwa,ili wapinduliwe kijeshi na AJENDA YAO YA SIRI itekelezwe.
Katika unabii wa Biblia, katika kitabu cha Danieli 2:43 mataifa haya ya Ulaya yameoneshwa yakiwa yanabebwa na historia ya iliyokuwa Dola ya RUMI. Mataifa haya hufananishwa na vidole vya sanamu ya Nebuchadnezzar, katika sura ya Pili ya Danieli. Ni sawa na pembe 10 za mnyama wa ajabu ambaye ni Rumi katika Danieli 7:7.
Hizi dola 10 za Ulaya, zilizoinuka baada ya dola ya Rumi, zina tabia ile ya Rumi ya Washenzi wa kale(Danieli 7:24). Pembe ndogo(Danieli 7:24,25) ni nguvu isiyo mamlaka ya kisiasa ambayo ilizifukuza Ulaya tawala tatu za Wavandali, Waheruli na Ostrogoths. Nguvu hii ilianza kuitawala Dunia mwaka 538 AD. Huu ndiyo utawala uliohuishwa baadaye na utaitawala dunia nzima na kulazimisha watu kuuabudu(Danieli 7:24,25).
Utawala huu utapewa mamlaka na shetani na mawakala wake,Freemasons,Illuminati,Marekani na washirika wake wa Magharibi, wataunganisha siasa na dini, watalazimisha Mfalme aabudiwe, watakaokataa watawekewa vikwazo vya kiuchumi, watafungwa jela ama kuuliwa. Sasa, demokrasia wanayojidai kueneza iko wapi? Kama watu watalazimishwa kuabudu dini moja, wakikataa wanafungwa, mtu kwa kuwa ni mtawala anajiita Mungu(Danieli 7:25 na Ufunuo 13:1-10) ndiyo demokrasia gani hii? Utawala uliozuka baada ya dola ya Rumi kusambaratishwa na washenzi wa Kaskazini, ukafukuza dola tatu za Wavandali(mwaka 454 AD),Heruli(493 AD) na Ostrogoths(538 AD) na kuanza kutawala dunia kwa jumla ya miaka 1260.
“Pembe Ndogo” yenye macho kama mtu mwanaume, huwakilisha mamlaka itakayoongoza serikali ya Dini na Siasa- Religio-Political Power. Mtawala huyu anaitwa, ‘Mpinga Kristo’ ama Chukizo la Uharibifu lililonenwa na Nabii Danieli(Mathayo 24:15). Katika Ufunuo wa Yohana 17: 5 upo mfano wa utawala huu wenye nguvu na wa ina yake unaoandaliwa kuitawala dunia,kidini,kiuchumi,utamaduni na kila nyanja.
Yohana wa Ufunuo wa Yohana 17:5 ,katika mwaka 96 AD alioneshwa utawala huu wa mseto wa dini na siasa. Akaoneshwa Jiji liitwalo “Babeli ya Siri” likiwa limebebwa na mamlaka(mnyama) za serikali za Ulaya na Marekani. Babeli, ni Jiji la kale sana, zama za Dikteta Nebuchadnezzar, mwaka 6060 BC. Siku hizi, Babeli ni moja ya Maajabu saba ya Dunia,kutokana na utajiri wake wa dhahabu ulioporwa katika mahali walikopindua na kuua, bustani zenye kuning’inia katika kuta ndefu zenye futi za mraba 400.
View attachment 1764275
Bustani hizi zilikuwa juu kutani kiasi cha futi 75 kutoka ardhini. Hii ni nchi ya Wakaldayo wa zamani waliokula nguruwe na kunywa mvinyo kwa wingi. Na kabla ya kula vyakula hivi vya kitajiri, walivitoa sadaka kwa miungu yao mikuu, Bel na Murdoch.
Danieli na vijana wenzake wa Kiebrania waligoma kula chakula hiki na pombe zilizotolewa dhabihu kwa miungu kabla ya kuliwa eti ili kumfanya mlaji awe na nguvu za miungu hii mwilini mwake! Wakasema, kula nguruwe hizi na kunywa pombe ilikuwa kujitia unajisi na chakula cha Mfalme(Danieli 1:1-8).
Babeli, mabaki yake yangalipo hata leo huko kando ya Mito miwili ya Tigris na Euphrates, mchangani-na unaweza kufika kwa treni, ni eneo la utalii siku hizi, sasa ni makao ya mashetani na ndege wachafu kama popo, bundi n.k
View attachment 1764277View attachment 1764278
Jiji hili la siri hufananishwa na mwanamke, katika Ufunuo wa Yohana 17:5-9. Hata jiji la Mwanza, huitwa, “Jiji-Dada” la Wurzburgh, Ujerumani. Kumbe mji hupewa heshima ya mwanamke? Babeli wa mafumbo katika Ufunuo 17:5-9 ni Jiji la Siri, litakalobebwa na Ulaya siku za karibuni,ili kuua watu watakaokataa kumsujudia shetani na Freemasons-ndiye mtawala atakayefuata baada ya Marekani na washirika kuitiisha dunia.
Mwanamke huyu, “Babeli” ndani yake kuna waabuduo sanamu, wala nguruwe,walevi, waabudu jua na mfumo wa sayari zote, wenye imani za kuongea na mizimu(spiritualism) n.k Mwanamke huyu, amezaa watoto, anaitwa ‘MAMA WA MAKAHABA’ na machukizo ya nchi.
Katika Biblia, ukahaba ni pale watu wa Mungu wanapo anza kuungana na waabudu sanamu na miungu,ulevi, ibada ya mizimu na uongo na kuacha usafi na kicho kwa Mungu muumbaji(Hosea 1:2) ‘Uzinzi’ ni kumwacha Mungu na kuabudu sanamu na miungu(Hosea 1:2).
Mji huu Babeli, katika Ufunuo 17:3-11 unabebwa na Ulaya na Marekani, “SUPER POWERS” zenye nyuklia na uchumi mkubwa na wana sera moja. Iran watapigwa na Marekani, Israeli na Ulaya kwa sababu wakiachwa, wakawa na Nyuklia,watapinga kuibeba Babeli hii!! Mji huu Babeli wa siri una ‘Meya’ wake anajiita Mungu duniani na ahera, huwakilisha nambari 666. Mji dada wa Babeli umebeba kikombe cha ulevi wa mafundisho, ndiyo propaganda za uongo duniani ni uchafu katika imani ya kidini, Kiislam, Kiyahudi ama Kikristo.
View attachment 1764280View attachment 1764281
Mji huu Babeli uliua wapinzani wake,maana ulikuwepo zamani,mwaka 538-1798 AD.Ulikoma Feburuari 10 mwaka 1798 baada ya miaka 1260 ukawa mwisho wa Dark Ages. Mwanamke huyu ambaye ni ‘Mji Dada’wa Babeli ya kale, wakati wa Nabii Yohana akiandika kitabu cha Ufunuo(mwaka 96 AD) haukuwepo, na ukafufuka toka kuzimu Feburuari 11 mwaka 1929 AD.(Ufunuo 17:8-9) Mji dada wa Babeli uko juu ya milima saba. Mji ulikoko katika vilima saba Ulaya! Tazama Ufunuo 17:9 UONE SIRI hii, na milima saba pia huwakilisha falme saba za kale, Babeli, Wamedi na Waajemi katika serikali ya mseto, Wagiriki, Rumi ya kipagani, Rumi ya Kikristo, Pembe Ndogo na Serikali Mpya duniani yenye Dini na siasa(Ufunuo 17:9-11)
View attachment 1764283
Naam, Marekani na washirika wanajiandaa kuleta duniani dini mpya ya muungano wa Freemasons,Illuminati n.k Ni mfumo wa dini(system of religion) ambao ni bandia.
Bidhaa bandia(counterfeit) zinaigiza zile bidhaa halisi.Bidhaa feki hufanana na feki, lakini ubora wake ni duni na utazitambua kwa alama yake ya biashara-trade mark- kwa mfano bidhaa feki za Panasonic huitwa,Panasoanic,hukosa ubora wa Panasonic,tujihadhari! Dini counterfeit ina alama(ALAMA YA MNYAMA) mnyama ni mpinga Kristo yaani utawala bandia wa Kristo Duniani.(2Wathesalonike 2:3-4).
Mnyama yaani Mpinga Kristo ni mtawala bandia wa dunia hii(2 Thesalonike 2:3-4) Mpinga Kristo anajifanya Mkristo(1Yohana 2:18,19)Wapinga Kristo hutokea miongoni mwa wakristo, na wana tabia kama za Babeli ya zamani,ulevi, ibada ya sanamu,ulaji wa nguruwe,kiu ya utawala duniani, ibada ya jua nyota na sayari n.k Wapinga Kristo wameacha Injili na kuhubiri siasa makanisani,ili kuwapindua viongozi waliopo kote duniani-wanajidai kuhamasisha demokrasia, na hujihusisha sana na ushoga,ulawiti na ufisadi wa kiroho,ingawa wao hukazania sana watu waache ufisadi!!
Mpinga Kristo ndiye Pembe Ndogo ya Danieli 7:25 na ni mnyama wa Ufunuo 13:1-10. Mfumo wa Ibada bandia, humbeba Mpinga Kristo wa Ufunuo 13,17 Danieli 7:25 na 2Thesalonike 2:2-4.
ubarikiwe kwa kusoma
View attachment 1764282
Mwinjilisti Machota umeibukia huku?Nataka kusema kwamba, Ulaya wameitawala Libya,wanajua utamu wa utajiri wake wa mafuta. Ulaya na Marekani ndiyo wenye makampuni makubwa, “Supermajors” ya mafuta hapa duniani. Utawala wa Gaddafi ulitaka kubinafsisha mafuta yote yawe kwa maslahi ya Walibya, ooh…wakamkosea Mzungu.
Freemasons wanatafuta kumiliki chumi za dunia nzima na mafuta ni ‘damu’ inayobeba uhai wa dunia na mataifa yao. Sasa, twajua kwa nini Freemasons waliingiza Libya katika Mhimili wa Uovu(The Axis of Evil) wapate kuishambulia na kumuulia mbali Gaddafi na wapinzani wa sera zao. Na kwa misingi hii hii tujue kwa nini Iran itashambuliwa na Marekani ikileta ubishi wowote. Uingereza, Ujerumani, Hispania, Ufaransa, Italia, Ureno, Uswisi hawa ni vichwa saba katika mnyama wa Ufunuo 13, ufunuo 17, Danieli 7.
Marekani, ni mwanakondoo wa Ufunuo 13:11-18 na hawa wote wanahaha kuhakikisha wanafanya kampeni kali na propaganda kupitia mashirika yao ya habari yenye nguvu duniani, kuwapaka matope watu wasiopendwa,ili wapinduliwe kijeshi na AJENDA YAO YA SIRI itekelezwe.
Katika unabii wa Biblia, katika kitabu cha Danieli 2:43 mataifa haya ya Ulaya yameoneshwa yakiwa yanabebwa na historia ya iliyokuwa Dola ya RUMI. Mataifa haya hufananishwa na vidole vya sanamu ya Nebuchadnezzar, katika sura ya Pili ya Danieli. Ni sawa na pembe 10 za mnyama wa ajabu ambaye ni Rumi katika Danieli 7:7.
Hizi dola 10 za Ulaya, zilizoinuka baada ya dola ya Rumi, zina tabia ile ya Rumi ya Washenzi wa kale(Danieli 7:24). Pembe ndogo(Danieli 7:24,25) ni nguvu isiyo mamlaka ya kisiasa ambayo ilizifukuza Ulaya tawala tatu za Wavandali, Waheruli na Ostrogoths. Nguvu hii ilianza kuitawala Dunia mwaka 538 AD. Huu ndiyo utawala uliohuishwa baadaye na utaitawala dunia nzima na kulazimisha watu kuuabudu(Danieli 7:24,25).
Utawala huu utapewa mamlaka na shetani na mawakala wake,Freemasons,Illuminati,Marekani na washirika wake wa Magharibi, wataunganisha siasa na dini, watalazimisha Mfalme aabudiwe, watakaokataa watawekewa vikwazo vya kiuchumi, watafungwa jela ama kuuliwa. Sasa, demokrasia wanayojidai kueneza iko wapi? Kama watu watalazimishwa kuabudu dini moja, wakikataa wanafungwa, mtu kwa kuwa ni mtawala anajiita Mungu(Danieli 7:25 na Ufunuo 13:1-10) ndiyo demokrasia gani hii? Utawala uliozuka baada ya dola ya Rumi kusambaratishwa na washenzi wa Kaskazini, ukafukuza dola tatu za Wavandali(mwaka 454 AD),Heruli(493 AD) na Ostrogoths(538 AD) na kuanza kutawala dunia kwa jumla ya miaka 1260.
“Pembe Ndogo” yenye macho kama mtu mwanaume, huwakilisha mamlaka itakayoongoza serikali ya Dini na Siasa- Religio-Political Power. Mtawala huyu anaitwa, ‘Mpinga Kristo’ ama Chukizo la Uharibifu lililonenwa na Nabii Danieli(Mathayo 24:15). Katika Ufunuo wa Yohana 17: 5 upo mfano wa utawala huu wenye nguvu na wa ina yake unaoandaliwa kuitawala dunia,kidini,kiuchumi,utamaduni na kila nyanja.
Yohana wa Ufunuo wa Yohana 17:5 ,katika mwaka 96 AD alioneshwa utawala huu wa mseto wa dini na siasa. Akaoneshwa Jiji liitwalo “Babeli ya Siri” likiwa limebebwa na mamlaka(mnyama) za serikali za Ulaya na Marekani. Babeli, ni Jiji la kale sana, zama za Dikteta Nebuchadnezzar, mwaka 6060 BC. Siku hizi, Babeli ni moja ya Maajabu saba ya Dunia,kutokana na utajiri wake wa dhahabu ulioporwa katika mahali walikopindua na kuua, bustani zenye kuning’inia katika kuta ndefu zenye futi za mraba 400.
View attachment 1764275
Bustani hizi zilikuwa juu kutani kiasi cha futi 75 kutoka ardhini. Hii ni nchi ya Wakaldayo wa zamani waliokula nguruwe na kunywa mvinyo kwa wingi. Na kabla ya kula vyakula hivi vya kitajiri, walivitoa sadaka kwa miungu yao mikuu, Bel na Murdoch.
Danieli na vijana wenzake wa Kiebrania waligoma kula chakula hiki na pombe zilizotolewa dhabihu kwa miungu kabla ya kuliwa eti ili kumfanya mlaji awe na nguvu za miungu hii mwilini mwake! Wakasema, kula nguruwe hizi na kunywa pombe ilikuwa kujitia unajisi na chakula cha Mfalme(Danieli 1:1-8).
Babeli, mabaki yake yangalipo hata leo huko kando ya Mito miwili ya Tigris na Euphrates, mchangani-na unaweza kufika kwa treni, ni eneo la utalii siku hizi, sasa ni makao ya mashetani na ndege wachafu kama popo, bundi n.k
View attachment 1764277View attachment 1764278
Jiji hili la siri hufananishwa na mwanamke, katika Ufunuo wa Yohana 17:5-9. Hata jiji la Mwanza, huitwa, “Jiji-Dada” la Wurzburgh, Ujerumani. Kumbe mji hupewa heshima ya mwanamke? Babeli wa mafumbo katika Ufunuo 17:5-9 ni Jiji la Siri, litakalobebwa na Ulaya siku za karibuni,ili kuua watu watakaokataa kumsujudia shetani na Freemasons-ndiye mtawala atakayefuata baada ya Marekani na washirika kuitiisha dunia.
Mwanamke huyu, “Babeli” ndani yake kuna waabuduo sanamu, wala nguruwe,walevi, waabudu jua na mfumo wa sayari zote, wenye imani za kuongea na mizimu(spiritualism) n.k Mwanamke huyu, amezaa watoto, anaitwa ‘MAMA WA MAKAHABA’ na machukizo ya nchi.
Katika Biblia, ukahaba ni pale watu wa Mungu wanapo anza kuungana na waabudu sanamu na miungu,ulevi, ibada ya mizimu na uongo na kuacha usafi na kicho kwa Mungu muumbaji(Hosea 1:2) ‘Uzinzi’ ni kumwacha Mungu na kuabudu sanamu na miungu(Hosea 1:2).
Mji huu Babeli, katika Ufunuo 17:3-11 unabebwa na Ulaya na Marekani, “SUPER POWERS” zenye nyuklia na uchumi mkubwa na wana sera moja. Iran watapigwa na Marekani, Israeli na Ulaya kwa sababu wakiachwa, wakawa na Nyuklia,watapinga kuibeba Babeli hii!! Mji huu Babeli wa siri una ‘Meya’ wake anajiita Mungu duniani na ahera, huwakilisha nambari 666. Mji dada wa Babeli umebeba kikombe cha ulevi wa mafundisho, ndiyo propaganda za uongo duniani ni uchafu katika imani ya kidini, Kiislam, Kiyahudi ama Kikristo.
View attachment 1764280View attachment 1764281
Mji huu Babeli uliua wapinzani wake,maana ulikuwepo zamani,mwaka 538-1798 AD.Ulikoma Feburuari 10 mwaka 1798 baada ya miaka 1260 ukawa mwisho wa Dark Ages. Mwanamke huyu ambaye ni ‘Mji Dada’wa Babeli ya kale, wakati wa Nabii Yohana akiandika kitabu cha Ufunuo(mwaka 96 AD) haukuwepo, na ukafufuka toka kuzimu Feburuari 11 mwaka 1929 AD.(Ufunuo 17:8-9) Mji dada wa Babeli uko juu ya milima saba. Mji ulikoko katika vilima saba Ulaya! Tazama Ufunuo 17:9 UONE SIRI hii, na milima saba pia huwakilisha falme saba za kale, Babeli, Wamedi na Waajemi katika serikali ya mseto, Wagiriki, Rumi ya kipagani, Rumi ya Kikristo, Pembe Ndogo na Serikali Mpya duniani yenye Dini na siasa(Ufunuo 17:9-11)
View attachment 1764283
Naam, Marekani na washirika wanajiandaa kuleta duniani dini mpya ya muungano wa Freemasons,Illuminati n.k Ni mfumo wa dini(system of religion) ambao ni bandia.
Bidhaa bandia(counterfeit) zinaigiza zile bidhaa halisi.Bidhaa feki hufanana na feki, lakini ubora wake ni duni na utazitambua kwa alama yake ya biashara-trade mark- kwa mfano bidhaa feki za Panasonic huitwa,Panasoanic,hukosa ubora wa Panasonic,tujihadhari! Dini counterfeit ina alama(ALAMA YA MNYAMA) mnyama ni mpinga Kristo yaani utawala bandia wa Kristo Duniani.(2Wathesalonike 2:3-4).
Mnyama yaani Mpinga Kristo ni mtawala bandia wa dunia hii(2 Thesalonike 2:3-4) Mpinga Kristo anajifanya Mkristo(1Yohana 2:18,19)Wapinga Kristo hutokea miongoni mwa wakristo, na wana tabia kama za Babeli ya zamani,ulevi, ibada ya sanamu,ulaji wa nguruwe,kiu ya utawala duniani, ibada ya jua nyota na sayari n.k Wapinga Kristo wameacha Injili na kuhubiri siasa makanisani,ili kuwapindua viongozi waliopo kote duniani-wanajidai kuhamasisha demokrasia, na hujihusisha sana na ushoga,ulawiti na ufisadi wa kiroho,ingawa wao hukazania sana watu waache ufisadi!!
Mpinga Kristo ndiye Pembe Ndogo ya Danieli 7:25 na ni mnyama wa Ufunuo 13:1-10. Mfumo wa Ibada bandia, humbeba Mpinga Kristo wa Ufunuo 13,17 Danieli 7:25 na 2Thesalonike 2:2-4.
ubarikiwe kwa kusoma
View attachment 1764282
KWANZA ASANTE KWA MASWALI MAZURI1. Mnyama mana yake ni utawala au dola, Pembe ni mfalme je na Kichwa ni nini? Kwanini unataja vichwa saba ktk yulr mnyama wa Ufunuo kama tawala za ulaya? Je kichwa maana yake ni utawala?
KIPINDI YOHANA ANAONESHWA HAYA MAAONO TAIFA LA USA LILIKUWA HALIJAANZISHWA WALA KUPEWA JINA, SASA TUTAJUAJE NI USA NA SIO ETHIOPIA AU DJIBOUT? Twende tufatilie sifa zitakazotusaidia ambazo zitafiti kwa USA tu...2. Yule mnyama afananae na Mwanakondoo,anayeinuka kutoka ktk nchi ..niambie ni wapi katika biblia imeandikwa kwamba ni Marekani?? Kwani nini isiwe Djibout au Ethiopia.
Hapana utakuwa umenifananishaMwinjilisti Machota umeibukia huku?
ZILE TAWALA NNE KUTOKA BABELI HADI RUMI YA KIPAGANI ZILIPITA, LAKINI KUMBUKA BAADA YA RUMI YA KIPAGANI INATOKEA KATIKATI YAKE PEMBE NDOGO AMBAYO NDIYO RUMI YA KIDINI.... BAADA YA HAPO UFALME WA MWISHO KABISA NI UFALME WA YESU AMBAO DANIELI ALIONA JIWE LISILOFANYWA KWA MIKONO LINASAMBARATISHA FALME ZOTE3. Kwa sasa nyakati hizi yunazoishi sisi tuko ktk utawala upi wa dunia? Yaani mnyama yupi kati ya Simba, Dubu, chui na huyo mwingine anayetodautiana na wengine wote mwenye meno kama ya chuma na nguvu nyingi?