Freemasons katika siasa na dini

Freemasons katika siasa na dini

Hivi sasa, biblia anaruhusiwa kila mtu.

Sasa basi nini ambacho Kanisa katoliki lilificha kimefichuliwa?
WAKATOLIKI wana mwanadamu waliempa jina lenye wadhifa na wasifu wa Mungu peke yake, yaani " Baba Mtakatifu"(PAPA) Soma: Yohana 17:11Wala mimi simo tena ulimwenguni, lakini hawa wamo ulimwenguni, nami naja kwako. Baba Mtakatifu, kwa jina lako ulilonipa uwalinde hawa, ili wawe na umoja kama sisi tulivyo.


Umeona hiyo aya inavobainisha kuwa "Baba Mtakatifu" ni jina la Mungu? Lakini Wakatoliki wana babao mtakatifu mwingine!!!!!? KUFURU!.
1619445308655.png
 
Usabato ndio ufreemason na wanatumika kuvurga dini nyingine
UFREEMASON NDANI YA MAKANISA

IBADA ZA SANAMU MAKANISANI
Zab 115:4-8 SUV
Sanamu zao ni fedha na dhahabu, Kazi ya mikono ya wanadamu. Zina vinywa lakini hazisemi, Zina macho lakini hazioni, Zina masikio lakini hazisikii, Zina pua lakini hazisikii harufu, Mikono lakini hazishiki, miguu lakini haziendi, Wala hazitoi sauti kwa koo zake. Wazifanyao watafanana nazo, Kila mmoja anayezitumainia.

Yeremia 10

2Mwenyezi-Mungu asema hivi:
“Msijifunze mienendo ya mataifa mengine,
wala msishangazwe na ishara za mbinguni;
yaacheni mataifa mengine yashangazwe nazo.
3Maana, mila za dini za watu hawa ni za uongo.
Mtu hukata mti msituni
fundi akachonga kinyago cha mungu kwa shoka.
4Kisha watu hukipamba kwa fedha na dhahabu
wakakipigilia misumari kwa nyundo
ili kisije kikaanguka.
5Vinyago vyao ni kama vinyago vya kutishia ndege

katika shamba la matango,

1619501313067.png
 
Woi, kama huijui vizuri dini ya mtu it's better ukae kimya! Unaweza laanika


“ ni marufuku kwa mtu wa kawaida kusoma agano la kale wala jipya. Wakuu wa wilaya watahusika kuwatafuta kwa umakini wazushi wote katika makazi yao na hata mafichoni ili kuwashughulikia kikamilifu”. Council Tolosanion, Pope Gregory IX, Anno.Chr.1229.

1619501717450.png
 
Wasabato wakishashiba maharage ya jumamosi daaaaah
“Mamlaka ya papa haina mwisho,na ni isiyozuilika; inaweza kuharibu na kumpoteza
yeyote, kama Innocent III alivyosema.Papa anaweza kumwadhibu mtu yeyote, na mamlaka yake hairuhusu kukata rufaa maana ndiyo ya mwisho katika utendaji; kwa maana papa ndiye mwenyemamlaka zote katika kifua chake kama alivyosema Boniface III.Na kwa kuwa hawezi kukosea, basi yeye ndiye mwamuzi wa kila jambo katika kanisa kwa kutunga miongozo, kuleta kila aina ya fundisho, kuamrisha kila aina ya matakwa yake katika maswala mazima ya imani. Hakuna haki yoyote inayoweza kusimama kinyume yake ikiwa ni ya mtu binafsi au shirika”
Ignaz von Dollinger, “A Letter Addressed to the Archbishop of Munich” 1871; as quoted in MacDoudall, The Action Newman Relations (Fordham University Press) pp.119,120.


Danieli 7:8, “Nikaziangalia sana pembe zake, na tazama, pembe nyingine ikazuka kati yao, nayo ilikuwa ndogo, ambayo mbele yake pembe tatu katika zile za kwanza zikang'olewa kabisa; na tazama, katika pembe hiyo mlikuwa na macho kama macho ya mwanadamu, na kinywa kilichokuwa kikinena maneno makuu.”


Andiko hili la kiunabii linatuonesha kwamba juu ya upapa ataketi mtu mmoja; yaani papa. Na huyu huchukuliwa kama mtu asiyekosea na mwenye mamlaka ya kuamuru chochote na ni lazima kitekelezwe.
 
“Mamlaka ya papa haina mwisho,na ni isiyozuilika; inaweza kuharibu na kumpoteza
yeyote, kama Innocent III alivyosema.Papa anaweza kumwadhibu mtu yeyote, na mamlaka yake hairuhusu kukata rufaa maana ndiyo ya mwisho katika utendaji; kwa maana papa ndiye mwenyemamlaka zote katika kifua chake kama alivyosema Boniface III.Na kwa kuwa hawezi kukosea, basi yeye ndiye mwamuzi wa kila jambo katika kanisa kwa kutunga miongozo, kuleta kila aina ya fundisho, kuamrisha kila aina ya matakwa yake katika maswala mazima ya imani. Hakuna haki yoyote inayoweza kusimama kinyume yake ikiwa ni ya mtu binafsi au shirika”
Ignaz von Dollinger, “A Letter Addressed to the Archbishop of Munich” 1871; as quoted in MacDoudall, The Action Newman Relations (Fordham University Press) pp.119,120.


Danieli 7:8, “Nikaziangalia sana pembe zake, na tazama, pembe nyingine ikazuka kati yao, nayo ilikuwa ndogo, ambayo mbele yake pembe tatu katika zile za kwanza zikang'olewa kabisa; na tazama, katika pembe hiyo mlikuwa na macho kama macho ya mwanadamu, na kinywa kilichokuwa kikinena maneno makuu.”


Andiko hili la kiunabii linatuonesha kwamba juu ya upapa ataketi mtu mmoja; yaani papa. Na huyu huchukuliwa kama mtu asiyekosea na mwenye mamlaka ya kuamuru chochote na ni lazima kitekelezwe.
Unaandika kutoka kichwani kwako na sio uhalisia wa mambo! Just dig out mzee
 
Hizi dini zilizoanzishwa na vikundi vya watu uchochoroni, zimejikita sana kwenye majungu.
Huwezi kuta dini kubwa kama Islamic, roman catholic zinapoteza muda kujadili iman za watu wengine
Tena hao wasabato wamejikita sana kusoma umbea wa elen G white na hadithi zake za uongo kuhusu Freeman
Mimi sio Msabato na wala sio muislamu but chunguza kwa umakini sana, Roman Catholic sio dini, ile ni serikali inayoiendesha dunia; serikali yoyote duniani ikosane na RC then utauona mziki wake, ukichunguza sana utagundua ndio hao hao waliuanzisha na UISLAM pale mashariki ya kati. Waislamu watabisha but moja kati ya proves wanaoitumia kuhalalisha UTUME wa Mohamad ni maneno ya padree wa Roman Catholic wa enzi hizo akimuusia mjomba wa Mohamadi ambaye of course ndio alikua mlezi wake; kuna siri nyingi sana hatuzijui kwenye hizi dini zote za duniani
 
Kwaiyo hayo ndiyo yanakufanya useme ni satanic??
Kanisa Katoliki limebadilisha Amri Kumi za Mungu.

Wameondoa amri ya pili kwenye katekisimu ili Waabudu sanamu na kugawa ile ya kumi mara mbili. Pia, wameondoa sehemu ya amri ya nne. Pengine huu ndio udanganyifu mkuu zaidi katika historia ya ulimwengu. Licha ya hili, wapo wengi wanaoamini kwamba Kanisa Katoliki ni kanisa la Kikristo.

Lakini Mkristo lazima amfuate Kristo na wala si kubadilisha chochote ambacho Kristo amesema au kuandika; tofauti na kile ambacho Kanisa Katoliki limefanya, na si tu kuhusiana na sheria ya Mungu. Kwa hiyo tunakubaliana na Luther na Wanamatengenezo, walioona vyema kwamba papa anabeba sifa za mpingaKristo.

Martin Luther huliweka kwa namna: “Hapo awali nilisema kwamba papa alikuwa mwakilishi wa Kristo; sasa natangaza kwamba yeye ni adui mkuu wa Bwana wetu, mtume wa Ibilisi.” (D’Aubigne, kitabu cha 7, sura ya 6).

Ilani ya kipapa ilipomfikia Luther, alisema: “Naidharau na kuishambulia, kuwa ni yenye kufuru na uongo.... Kristo Mwenyewe ndiye anayeshutumiwa humo.... Nafurahia kwa kustahimili maovu hayo kwa ajili ya faida ya kazi bora zaidi. Tayari najisikia kuwa na uhuru mkubwa zaidi moyoni mwangu; kwa vile hatimaye najua kwamba PAPA NI MPINGAKRISTO, NA KWAMBA UTAWALA WAKE NI WA SHETANI MWENYEWE.” (D’Aubigne, kitabu cha 6, sura ya 9).
1619502617976.png
 
Kanisa Katoliki limebadilisha Amri Kumi za Mungu.

Wameondoa amri ya pili kwenye katekisimu ili Waabudu sanamu na kugawa ile ya kumi mara mbili. Pia, wameondoa sehemu ya amri ya nne. Pengine huu ndio udanganyifu mkuu zaidi katika historia ya ulimwengu. Licha ya hili, wapo wengi wanaoamini kwamba Kanisa Katoliki ni kanisa la Kikristo.

Lakini Mkristo lazima amfuate Kristo na wala si kubadilisha chochote ambacho Kristo amesema au kuandika; tofauti na kile ambacho Kanisa Katoliki limefanya, na si tu kuhusiana na sheria ya Mungu. Kwa hiyo tunakubaliana na Luther na Wanamatengenezo, walioona vyema kwamba papa anabeba sifa za mpingaKristo.

Martin Luther huliweka kwa namna: “Hapo awali nilisema kwamba papa alikuwa mwakilishi wa Kristo; sasa natangaza kwamba yeye ni adui mkuu wa Bwana wetu, mtume wa Ibilisi.” (D’Aubigne, kitabu cha 7, sura ya 6).

Ilani ya kipapa ilipomfikia Luther, alisema: “Naidharau na kuishambulia, kuwa ni yenye kufuru na uongo.... Kristo Mwenyewe ndiye anayeshutumiwa humo.... Nafurahia kwa kustahimili maovu hayo kwa ajili ya faida ya kazi bora zaidi. Tayari najisikia kuwa na uhuru mkubwa zaidi moyoni mwangu; kwa vile hatimaye najua kwamba PAPA NI MPINGAKRISTO, NA KWAMBA UTAWALA WAKE NI WA SHETANI MWENYEWE.” (D’Aubigne, kitabu cha 6, sura ya 9).
View attachment 1765328
Unasema wameondoa amri ya pili, nakuuliza hivi niletee amri za waroma zote kumi wanazotumia afu na za hao wasabato nilinganishe kitu.. sitaki uniletee gazeti nataka amri kumi wanazotumia waroma na wanazotumia wasabato
 
Mimi sio Msabato na wala sio muislamu but chunguza kwa umakini sana, Roman Catholic sio dini, ile ni serikali inayoiendesha dunia; serikali yoyote duniani ikosane na RC then utauona mziki wake, ukichunguza sana utagundua ndio hao hao waliuanzisha na UISLAM pale mashariki ya kati. Waislamu watabisha but moja kati ya proves wanaoitumia kuhalalisha UTUME wa Mohamad ni maneno ya padree wa Roman Catholic wa enzi hizo akimuusia mjomba wa Mohamadi ambaye of course ndio alikua mlezi wake; kuna siri nyingi sana hatuzijui kwenye hizi dini zote za duniani
Upo sahihi mkuu, sio wote watajua ,

ukweli ni kwamba ilifanyika DIVIDE AND RULE , wanaosoma historia wanajua uislamu umeanzishwa na Roma

Pia inajulikana wazi kwamba kiti cha upapa kilitoka katika upagani wa Uislamu; Alexander Hislop, akizungumza juu ya kiti cha enzi cha Petro au kiti cha enzi anachokalia Papa, anasema

“wakati askari wa Ufaransa chini ya Jemedari Bonaparte walipoimiliki Roma mwaka 1795, walikuta nyuma yake, kwa Kiarabu, sentensi hii inayojulikana sana kutoka kwenye Korani, “Hakuna mungu ila Mwenyezi Mungu, na Mohhomed ni Mtume Wake” — (The Two Babylons, Page 213, Chapter 6, Religious Orders, Section L).
 
Unasema wameondoa amri ya pili, nakuuliza hivi niletee amri za waroma zote kumi wanazotumia afu na za hao wasabato nilinganishe kitu.. sitaki uniletee gazeti nataka amri kumi wanazotumia waroma na wanazotumia wasabato
NDUGU SOMA KWENYE KATEKISIMU, YAKO THEN UFANANISHE NA BIBLIA, HAPA NIPO MBALI NA KATEKISIMU AU SHAJARA NA MISALE, ZISOME HUMO UFANANISHE NA ZA KUTOKA 20:1-17

1619503382139.png
 
Unasema wameondoa amri ya pili, nakuuliza hivi niletee amri za waroma zote kumi wanazotumia afu na za hao wasabato nilinganishe kitu.. sitaki uniletee gazeti nataka amri kumi wanazotumia waroma na wanazotumia wasabato
Kwa mujibu wa katekisimu:-
1.Usiabudu miungu wengine.
2. Usiape bure kwa jina la Mungu wako.
3. Shika Kitakatifu Siku ya Mungu wako
4. Waheshimu Baba na Mama, upate miaka mingi na heri duniani.
5. Usiue
6. Usizini
7. Usiibe
8. Usiseme uongo
9. Usitamani mwanamke asiye mke wako.
10. Usitamani mali ya watu.

Kwa mujibu wa biblia:
Kutoka 20:1-17
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹ Mungu akanena maneno haya yote akasema,
² Mimi ni Bwana, Mungu wako, niliyekutoa katika nchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa.
³ Usiwe na miungu mingine ila mimi.
Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia.
⁵ Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,
⁶ nami nawarehemu maelfu elfu wanipendao, na kuzishika amri zangu.
Usilitaje bure jina la Bwana, Mungu wako, maana Bwana hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure.
⁸ Ikumbuke siku ya Sabato uitakase.

⁹ Siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote;
¹⁰ lakini siku ya saba ni Sabato ya Bwana, Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yo yote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako.
¹¹ Maana, kwa siku sita Bwana alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo Bwana akaibarikia siku ya Sabato akaitakasa.
¹² Waheshimu baba yako na mama yako; siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na Bwana, Mungu wako.
¹³ Usiue.
¹⁴ Usizini.
¹⁵ Usiibe.
¹⁶ Usimshuhudie jirani yako uongo.
¹⁷ Usiitamani nyumba ya jirani yako, usimtamani mke wa jirani yako; wala mtumwa wake, wala mjakazi wake, wala ng'ombe wake, wala punda wake, wala cho chote alicho nacho jirani yako
.
 
WAKATOLIKI wana mwanadamu waliempa jina lenye wadhifa na wasifu wa Mungu peke yake, yaani " Baba Mtakatifu"(PAPA) Soma: Yohana 17:11Wala mimi simo tena ulimwenguni, lakini hawa wamo ulimwenguni, nami naja kwako. Baba Mtakatifu, kwa jina lako ulilonipa
Wewe si mtu anayejifunza. Umejibu ambacho sijakuuliza. Pia ulichojibu si sahihi.

Jaribu kujifunza, tafuta elimu ya vitu. Mambo yako wazi sio kufanya ubishi.
 
Mambo mengi duniani ni propaganda, tena propaganda nyeusi.

Ukiacha hilo la propaganda.

Kuna hili la kitabu cha "Ufunuo" kinasemwa sana.

Sina uhakika kama wanaokilejelea katika madai yao wanamfahamu msingi wake.

Kuna mambo msingi ya kuangalia katika hiki kitabu katika kujua ukweli wake:

Mwandishi wa hiki kitabu ni nani? Alikiandika katika mazingira gani? Lengo lake Lilikuwa ni nini? Aliwandikia nani?

Ni uandishi wa aina gani mwandishi ametumia? Kwa nini? Ujumbe wake ni nini?

Kwa nini kitabu cha ufunuo na sio kitabu kingine katika biblia?

Kwanini Kanisa katoliki linahusishwa na kitabu cha ufunuo? Kwenye hili swali nataka kufahamu: Kanisa katoliki linashughulika na nini na kitabu cha ufunuo kinashugulika na nini?

Kwa maneno mengine, Kanisa katoliki linafundisha nini na kitabu cha ufunuo kinafundisha nini?
Wakati mwingine unahoji ukidhani jamii ya humu itakuona GT kumbe unafunua upumbavu wako...yote uliyohoji yako wazi soma theolojia ya RC soma ufunuo (bei bible 7000)
 
Wakati mwingine unahoji ukidhani jamii ya humu itakuona GT kumbe unafunua upumbavu wako...yote uliyohoji yako wazi soma theolojia ya RC soma ufunuo (bei bible 7000)
Mimi naifahamu theolojia ndio maana natoa hayo maswali. Kwasababu imani si sayansi lakini teolojia ni sayansi ya imani.

Wewe umeruhusu mwili ushinde akili ndio sababu unasema hayo unaoyasema.

Watu wanaofanya mambo ili jamii iwaone ni wapumbavu.

Mtu anaefahamu mambo hawezi kusema "soma teolojia ya RC." Duniani hakuna kitu kinaitwa Roman Catholic (RC), ila Catholic Church.
 
Nataka kusema kwamba, Ulaya wameitawala Libya,wanajua utamu wa utajiri wake wa mafuta. Ulaya na Marekani ndiyo wenye makampuni makubwa, “Supermajors” ya mafuta hapa duniani. Utawala wa Gaddafi ulitaka kubinafsisha mafuta yote yawe kwa maslahi ya Walibya, ooh…wakamkosea Mzungu.

Freemasons wanatafuta kumiliki chumi za dunia nzima na mafuta ni ‘damu’ inayobeba uhai wa dunia na mataifa yao. Sasa, twajua kwa nini Freemasons waliingiza Libya katika Mhimili wa Uovu(The Axis of Evil) wapate kuishambulia na kumuulia mbali Gaddafi na wapinzani wa sera zao. Na kwa misingi hii hii tujue kwa nini Iran itashambuliwa na Marekani ikileta ubishi wowote. Uingereza, Ujerumani, Hispania, Ufaransa, Italia, Ureno, Uswisi hawa ni vichwa saba katika mnyama wa Ufunuo 13, ufunuo 17, Danieli 7.

Marekani, ni mwanakondoo wa Ufunuo 13:11-18 na hawa wote wanahaha kuhakikisha wanafanya kampeni kali na propaganda kupitia mashirika yao ya habari yenye nguvu duniani, kuwapaka matope watu wasiopendwa,ili wapinduliwe kijeshi na AJENDA YAO YA SIRI itekelezwe.

Katika unabii wa Biblia, katika kitabu cha Danieli 2:43 mataifa haya ya Ulaya yameoneshwa yakiwa yanabebwa na historia ya iliyokuwa Dola ya RUMI. Mataifa haya hufananishwa na vidole vya sanamu ya Nebuchadnezzar, katika sura ya Pili ya Danieli. Ni sawa na pembe 10 za mnyama wa ajabu ambaye ni Rumi katika Danieli 7:7.

Hizi dola 10 za Ulaya, zilizoinuka baada ya dola ya Rumi, zina tabia ile ya Rumi ya Washenzi wa kale(Danieli 7:24). Pembe ndogo(Danieli 7:24,25) ni nguvu isiyo mamlaka ya kisiasa ambayo ilizifukuza Ulaya tawala tatu za Wavandali, Waheruli na Ostrogoths. Nguvu hii ilianza kuitawala Dunia mwaka 538 AD. Huu ndiyo utawala uliohuishwa baadaye na utaitawala dunia nzima na kulazimisha watu kuuabudu(Danieli 7:24,25).

Utawala huu utapewa mamlaka na shetani na mawakala wake,Freemasons,Illuminati,Marekani na washirika wake wa Magharibi, wataunganisha siasa na dini, watalazimisha Mfalme aabudiwe, watakaokataa watawekewa vikwazo vya kiuchumi, watafungwa jela ama kuuliwa. Sasa, demokrasia wanayojidai kueneza iko wapi? Kama watu watalazimishwa kuabudu dini moja, wakikataa wanafungwa, mtu kwa kuwa ni mtawala anajiita Mungu(Danieli 7:25 na Ufunuo 13:1-10) ndiyo demokrasia gani hii? Utawala uliozuka baada ya dola ya Rumi kusambaratishwa na washenzi wa Kaskazini, ukafukuza dola tatu za Wavandali(mwaka 454 AD),Heruli(493 AD) na Ostrogoths(538 AD) na kuanza kutawala dunia kwa jumla ya miaka 1260.

“Pembe Ndogo” yenye macho kama mtu mwanaume, huwakilisha mamlaka itakayoongoza serikali ya Dini na Siasa- Religio-Political Power. Mtawala huyu anaitwa, ‘Mpinga Kristo’ ama Chukizo la Uharibifu lililonenwa na Nabii Danieli(Mathayo 24:15). Katika Ufunuo wa Yohana 17: 5 upo mfano wa utawala huu wenye nguvu na wa ina yake unaoandaliwa kuitawala dunia,kidini,kiuchumi,utamaduni na kila nyanja.

Yohana wa Ufunuo wa Yohana 17:5 ,katika mwaka 96 AD alioneshwa utawala huu wa mseto wa dini na siasa. Akaoneshwa Jiji liitwalo “Babeli ya Siri” likiwa limebebwa na mamlaka(mnyama) za serikali za Ulaya na Marekani. Babeli, ni Jiji la kale sana, zama za Dikteta Nebuchadnezzar, mwaka 6060 BC. Siku hizi, Babeli ni moja ya Maajabu saba ya Dunia,kutokana na utajiri wake wa dhahabu ulioporwa katika mahali walikopindua na kuua, bustani zenye kuning’inia katika kuta ndefu zenye futi za mraba 400.
View attachment 1764275

Bustani hizi zilikuwa juu kutani kiasi cha futi 75 kutoka ardhini. Hii ni nchi ya Wakaldayo wa zamani waliokula nguruwe na kunywa mvinyo kwa wingi. Na kabla ya kula vyakula hivi vya kitajiri, walivitoa sadaka kwa miungu yao mikuu, Bel na Murdoch.

Danieli na vijana wenzake wa Kiebrania waligoma kula chakula hiki na pombe zilizotolewa dhabihu kwa miungu kabla ya kuliwa eti ili kumfanya mlaji awe na nguvu za miungu hii mwilini mwake! Wakasema, kula nguruwe hizi na kunywa pombe ilikuwa kujitia unajisi na chakula cha Mfalme(Danieli 1:1-8).

Babeli, mabaki yake yangalipo hata leo huko kando ya Mito miwili ya Tigris na Euphrates, mchangani-na unaweza kufika kwa treni, ni eneo la utalii siku hizi, sasa ni makao ya mashetani na ndege wachafu kama popo, bundi n.k
View attachment 1764277View attachment 1764278

Jiji hili la siri hufananishwa na mwanamke, katika Ufunuo wa Yohana 17:5-9. Hata jiji la Mwanza, huitwa, “Jiji-Dada” la Wurzburgh, Ujerumani. Kumbe mji hupewa heshima ya mwanamke? Babeli wa mafumbo katika Ufunuo 17:5-9 ni Jiji la Siri, litakalobebwa na Ulaya siku za karibuni,ili kuua watu watakaokataa kumsujudia shetani na Freemasons-ndiye mtawala atakayefuata baada ya Marekani na washirika kuitiisha dunia.

Mwanamke huyu, “Babeli” ndani yake kuna waabuduo sanamu, wala nguruwe,walevi, waabudu jua na mfumo wa sayari zote, wenye imani za kuongea na mizimu(spiritualism) n.k Mwanamke huyu, amezaa watoto, anaitwa ‘MAMA WA MAKAHABA’ na machukizo ya nchi.

Katika Biblia, ukahaba ni pale watu wa Mungu wanapo anza kuungana na waabudu sanamu na miungu,ulevi, ibada ya mizimu na uongo na kuacha usafi na kicho kwa Mungu muumbaji(Hosea 1:2) ‘Uzinzi’ ni kumwacha Mungu na kuabudu sanamu na miungu(Hosea 1:2).

Mji huu Babeli, katika Ufunuo 17:3-11 unabebwa na Ulaya na Marekani, “SUPER POWERS” zenye nyuklia na uchumi mkubwa na wana sera moja. Iran watapigwa na Marekani, Israeli na Ulaya kwa sababu wakiachwa, wakawa na Nyuklia,watapinga kuibeba Babeli hii!! Mji huu Babeli wa siri una ‘Meya’ wake anajiita Mungu duniani na ahera, huwakilisha nambari 666. Mji dada wa Babeli umebeba kikombe cha ulevi wa mafundisho, ndiyo propaganda za uongo duniani ni uchafu katika imani ya kidini, Kiislam, Kiyahudi ama Kikristo.

View attachment 1764280View attachment 1764281
Mji huu Babeli uliua wapinzani wake,maana ulikuwepo zamani,mwaka 538-1798 AD.Ulikoma Feburuari 10 mwaka 1798 baada ya miaka 1260 ukawa mwisho wa Dark Ages. Mwanamke huyu ambaye ni ‘Mji Dada’wa Babeli ya kale, wakati wa Nabii Yohana akiandika kitabu cha Ufunuo(mwaka 96 AD) haukuwepo, na ukafufuka toka kuzimu Feburuari 11 mwaka 1929 AD.(Ufunuo 17:8-9) Mji dada wa Babeli uko juu ya milima saba. Mji ulikoko katika vilima saba Ulaya! Tazama Ufunuo 17:9 UONE SIRI hii, na milima saba pia huwakilisha falme saba za kale, Babeli, Wamedi na Waajemi katika serikali ya mseto, Wagiriki, Rumi ya kipagani, Rumi ya Kikristo, Pembe Ndogo na Serikali Mpya duniani yenye Dini na siasa(Ufunuo 17:9-11)

View attachment 1764283

Naam, Marekani na washirika wanajiandaa kuleta duniani dini mpya ya muungano wa Freemasons,Illuminati n.k Ni mfumo wa dini(system of religion) ambao ni bandia.
Bidhaa bandia(counterfeit) zinaigiza zile bidhaa halisi.Bidhaa feki hufanana na feki, lakini ubora wake ni duni na utazitambua kwa alama yake ya biashara-trade mark- kwa mfano bidhaa feki za Panasonic huitwa,Panasoanic,hukosa ubora wa Panasonic,tujihadhari! Dini counterfeit ina alama(ALAMA YA MNYAMA) mnyama ni mpinga Kristo yaani utawala bandia wa Kristo Duniani.(2Wathesalonike 2:3-4).

Mnyama yaani Mpinga Kristo ni mtawala bandia wa dunia hii(2 Thesalonike 2:3-4) Mpinga Kristo anajifanya Mkristo(1Yohana 2:18,19)Wapinga Kristo hutokea miongoni mwa wakristo, na wana tabia kama za Babeli ya zamani,ulevi, ibada ya sanamu,ulaji wa nguruwe,kiu ya utawala duniani, ibada ya jua nyota na sayari n.k Wapinga Kristo wameacha Injili na kuhubiri siasa makanisani,ili kuwapindua viongozi waliopo kote duniani-wanajidai kuhamasisha demokrasia, na hujihusisha sana na ushoga,ulawiti na ufisadi wa kiroho,ingawa wao hukazania sana watu waache ufisadi!!

Mpinga Kristo ndiye Pembe Ndogo ya Danieli 7:25 na ni mnyama wa Ufunuo 13:1-10. Mfumo wa Ibada bandia, humbeba Mpinga Kristo wa Ufunuo 13,17 Danieli 7:25 na 2Thesalonike 2:2-4.

ubarikiwe kwa kusoma

View attachment 1764282
Asante kwa Mada nzito

Ktk hoja za unabii biblia inajitafsiri yenyewe. Naomba majibu ya maswali yangu

1. Mnyama mana yake ni utawala au dola, Pembe ni mfalme je na Kichwa ni nini? Kwanini unataja vichwa saba ktk yulr mnyama wa Ufunuo kama tawala za ulaya? Je kichwa maana yake ni utawala?

2. Yule mnyama afananae na Mwanakondoo,anayeinuka kutoka ktk nchi ..niambie ni wapi katika biblia imeandikwa kwamba ni Marekani?? Kwani nini isiwe Djibout au Ethiopia.

3. Kwa sasa nyakati hizi yunazoishi sisi tuko ktk utawala upi wa dunia? Yaani mnyama yupi kati ya Simba, Dubu, chui na huyo mwingine anayetodautiana na wengine wote mwenye meno kama ya chuma na nguvu nyingi?

5. Ktk biblia ni wapi imeandikwa kuwa Mnyama wa kwanza wa Ufunuo anayepewa Nguvu na kiti cha enzi na yule Joka ni Rumi? Maana tujuavyo sasa hatuna utawala wa rumi unaotawala dunia.

6. Freemason, illuminat vimetajwa wapi ktk biblia?? Umeongeza mwenyewe au?

7. Huyu Nabii wa uongo anayetajwa kuunda sanamu ya mnyama na kuipulizia pumzi hadi ikanena; kauli hii ina maana gani? Kwamba sanamu kweli itaundwa na Nabii wa uongo?

8. Mnyama wa kwnza ktk ufunuo ni mtu au ufalme? Nabii wa uongo ni Mtu au ufalme?
 
Nataka kusema kwamba, Ulaya wameitawala Libya,wanajua utamu wa utajiri wake wa mafuta. Ulaya na Marekani ndiyo wenye makampuni makubwa, “Supermajors” ya mafuta hapa duniani. Utawala wa Gaddafi ulitaka kubinafsisha mafuta yote yawe kwa maslahi ya Walibya, ooh…wakamkosea Mzungu.

Freemasons wanatafuta kumiliki chumi za dunia nzima na mafuta ni ‘damu’ inayobeba uhai wa dunia na mataifa yao. Sasa, twajua kwa nini Freemasons waliingiza Libya katika Mhimili wa Uovu(The Axis of Evil) wapate kuishambulia na kumuulia mbali Gaddafi na wapinzani wa sera zao. Na kwa misingi hii hii tujue kwa nini Iran itashambuliwa na Marekani ikileta ubishi wowote. Uingereza, Ujerumani, Hispania, Ufaransa, Italia, Ureno, Uswisi hawa ni vichwa saba katika mnyama wa Ufunuo 13, ufunuo 17, Danieli 7.

Marekani, ni mwanakondoo wa Ufunuo 13:11-18 na hawa wote wanahaha kuhakikisha wanafanya kampeni kali na propaganda kupitia mashirika yao ya habari yenye nguvu duniani, kuwapaka matope watu wasiopendwa,ili wapinduliwe kijeshi na AJENDA YAO YA SIRI itekelezwe.

Katika unabii wa Biblia, katika kitabu cha Danieli 2:43 mataifa haya ya Ulaya yameoneshwa yakiwa yanabebwa na historia ya iliyokuwa Dola ya RUMI. Mataifa haya hufananishwa na vidole vya sanamu ya Nebuchadnezzar, katika sura ya Pili ya Danieli. Ni sawa na pembe 10 za mnyama wa ajabu ambaye ni Rumi katika Danieli 7:7.

Hizi dola 10 za Ulaya, zilizoinuka baada ya dola ya Rumi, zina tabia ile ya Rumi ya Washenzi wa kale(Danieli 7:24). Pembe ndogo(Danieli 7:24,25) ni nguvu isiyo mamlaka ya kisiasa ambayo ilizifukuza Ulaya tawala tatu za Wavandali, Waheruli na Ostrogoths. Nguvu hii ilianza kuitawala Dunia mwaka 538 AD. Huu ndiyo utawala uliohuishwa baadaye na utaitawala dunia nzima na kulazimisha watu kuuabudu(Danieli 7:24,25).

Utawala huu utapewa mamlaka na shetani na mawakala wake,Freemasons,Illuminati,Marekani na washirika wake wa Magharibi, wataunganisha siasa na dini, watalazimisha Mfalme aabudiwe, watakaokataa watawekewa vikwazo vya kiuchumi, watafungwa jela ama kuuliwa. Sasa, demokrasia wanayojidai kueneza iko wapi? Kama watu watalazimishwa kuabudu dini moja, wakikataa wanafungwa, mtu kwa kuwa ni mtawala anajiita Mungu(Danieli 7:25 na Ufunuo 13:1-10) ndiyo demokrasia gani hii? Utawala uliozuka baada ya dola ya Rumi kusambaratishwa na washenzi wa Kaskazini, ukafukuza dola tatu za Wavandali(mwaka 454 AD),Heruli(493 AD) na Ostrogoths(538 AD) na kuanza kutawala dunia kwa jumla ya miaka 1260.

“Pembe Ndogo” yenye macho kama mtu mwanaume, huwakilisha mamlaka itakayoongoza serikali ya Dini na Siasa- Religio-Political Power. Mtawala huyu anaitwa, ‘Mpinga Kristo’ ama Chukizo la Uharibifu lililonenwa na Nabii Danieli(Mathayo 24:15). Katika Ufunuo wa Yohana 17: 5 upo mfano wa utawala huu wenye nguvu na wa ina yake unaoandaliwa kuitawala dunia,kidini,kiuchumi,utamaduni na kila nyanja.

Yohana wa Ufunuo wa Yohana 17:5 ,katika mwaka 96 AD alioneshwa utawala huu wa mseto wa dini na siasa. Akaoneshwa Jiji liitwalo “Babeli ya Siri” likiwa limebebwa na mamlaka(mnyama) za serikali za Ulaya na Marekani. Babeli, ni Jiji la kale sana, zama za Dikteta Nebuchadnezzar, mwaka 6060 BC. Siku hizi, Babeli ni moja ya Maajabu saba ya Dunia,kutokana na utajiri wake wa dhahabu ulioporwa katika mahali walikopindua na kuua, bustani zenye kuning’inia katika kuta ndefu zenye futi za mraba 400.
View attachment 1764275

Bustani hizi zilikuwa juu kutani kiasi cha futi 75 kutoka ardhini. Hii ni nchi ya Wakaldayo wa zamani waliokula nguruwe na kunywa mvinyo kwa wingi. Na kabla ya kula vyakula hivi vya kitajiri, walivitoa sadaka kwa miungu yao mikuu, Bel na Murdoch.

Danieli na vijana wenzake wa Kiebrania waligoma kula chakula hiki na pombe zilizotolewa dhabihu kwa miungu kabla ya kuliwa eti ili kumfanya mlaji awe na nguvu za miungu hii mwilini mwake! Wakasema, kula nguruwe hizi na kunywa pombe ilikuwa kujitia unajisi na chakula cha Mfalme(Danieli 1:1-8).

Babeli, mabaki yake yangalipo hata leo huko kando ya Mito miwili ya Tigris na Euphrates, mchangani-na unaweza kufika kwa treni, ni eneo la utalii siku hizi, sasa ni makao ya mashetani na ndege wachafu kama popo, bundi n.k
View attachment 1764277View attachment 1764278

Jiji hili la siri hufananishwa na mwanamke, katika Ufunuo wa Yohana 17:5-9. Hata jiji la Mwanza, huitwa, “Jiji-Dada” la Wurzburgh, Ujerumani. Kumbe mji hupewa heshima ya mwanamke? Babeli wa mafumbo katika Ufunuo 17:5-9 ni Jiji la Siri, litakalobebwa na Ulaya siku za karibuni,ili kuua watu watakaokataa kumsujudia shetani na Freemasons-ndiye mtawala atakayefuata baada ya Marekani na washirika kuitiisha dunia.

Mwanamke huyu, “Babeli” ndani yake kuna waabuduo sanamu, wala nguruwe,walevi, waabudu jua na mfumo wa sayari zote, wenye imani za kuongea na mizimu(spiritualism) n.k Mwanamke huyu, amezaa watoto, anaitwa ‘MAMA WA MAKAHABA’ na machukizo ya nchi.

Katika Biblia, ukahaba ni pale watu wa Mungu wanapo anza kuungana na waabudu sanamu na miungu,ulevi, ibada ya mizimu na uongo na kuacha usafi na kicho kwa Mungu muumbaji(Hosea 1:2) ‘Uzinzi’ ni kumwacha Mungu na kuabudu sanamu na miungu(Hosea 1:2).

Mji huu Babeli, katika Ufunuo 17:3-11 unabebwa na Ulaya na Marekani, “SUPER POWERS” zenye nyuklia na uchumi mkubwa na wana sera moja. Iran watapigwa na Marekani, Israeli na Ulaya kwa sababu wakiachwa, wakawa na Nyuklia,watapinga kuibeba Babeli hii!! Mji huu Babeli wa siri una ‘Meya’ wake anajiita Mungu duniani na ahera, huwakilisha nambari 666. Mji dada wa Babeli umebeba kikombe cha ulevi wa mafundisho, ndiyo propaganda za uongo duniani ni uchafu katika imani ya kidini, Kiislam, Kiyahudi ama Kikristo.

View attachment 1764280View attachment 1764281
Mji huu Babeli uliua wapinzani wake,maana ulikuwepo zamani,mwaka 538-1798 AD.Ulikoma Feburuari 10 mwaka 1798 baada ya miaka 1260 ukawa mwisho wa Dark Ages. Mwanamke huyu ambaye ni ‘Mji Dada’wa Babeli ya kale, wakati wa Nabii Yohana akiandika kitabu cha Ufunuo(mwaka 96 AD) haukuwepo, na ukafufuka toka kuzimu Feburuari 11 mwaka 1929 AD.(Ufunuo 17:8-9) Mji dada wa Babeli uko juu ya milima saba. Mji ulikoko katika vilima saba Ulaya! Tazama Ufunuo 17:9 UONE SIRI hii, na milima saba pia huwakilisha falme saba za kale, Babeli, Wamedi na Waajemi katika serikali ya mseto, Wagiriki, Rumi ya kipagani, Rumi ya Kikristo, Pembe Ndogo na Serikali Mpya duniani yenye Dini na siasa(Ufunuo 17:9-11)

View attachment 1764283

Naam, Marekani na washirika wanajiandaa kuleta duniani dini mpya ya muungano wa Freemasons,Illuminati n.k Ni mfumo wa dini(system of religion) ambao ni bandia.
Bidhaa bandia(counterfeit) zinaigiza zile bidhaa halisi.Bidhaa feki hufanana na feki, lakini ubora wake ni duni na utazitambua kwa alama yake ya biashara-trade mark- kwa mfano bidhaa feki za Panasonic huitwa,Panasoanic,hukosa ubora wa Panasonic,tujihadhari! Dini counterfeit ina alama(ALAMA YA MNYAMA) mnyama ni mpinga Kristo yaani utawala bandia wa Kristo Duniani.(2Wathesalonike 2:3-4).

Mnyama yaani Mpinga Kristo ni mtawala bandia wa dunia hii(2 Thesalonike 2:3-4) Mpinga Kristo anajifanya Mkristo(1Yohana 2:18,19)Wapinga Kristo hutokea miongoni mwa wakristo, na wana tabia kama za Babeli ya zamani,ulevi, ibada ya sanamu,ulaji wa nguruwe,kiu ya utawala duniani, ibada ya jua nyota na sayari n.k Wapinga Kristo wameacha Injili na kuhubiri siasa makanisani,ili kuwapindua viongozi waliopo kote duniani-wanajidai kuhamasisha demokrasia, na hujihusisha sana na ushoga,ulawiti na ufisadi wa kiroho,ingawa wao hukazania sana watu waache ufisadi!!

Mpinga Kristo ndiye Pembe Ndogo ya Danieli 7:25 na ni mnyama wa Ufunuo 13:1-10. Mfumo wa Ibada bandia, humbeba Mpinga Kristo wa Ufunuo 13,17 Danieli 7:25 na 2Thesalonike 2:2-4.

ubarikiwe kwa kusoma

View attachment 1764282
Mwinjilisti Machota umeibukia huku?
 
1. Mnyama mana yake ni utawala au dola, Pembe ni mfalme je na Kichwa ni nini? Kwanini unataja vichwa saba ktk yulr mnyama wa Ufunuo kama tawala za ulaya? Je kichwa maana yake ni utawala?
KWANZA ASANTE KWA MASWALI MAZURI

Ufunuo 17:9-11 “Hapo ndipo penye akili zenye hekima. Vile vichwa saba ni milima saba anayokalia mwanamke huyo. Navyo ni wafalme saba. Watano wamekwisha kuanguka, na mmoja yupo, na mwingine hajaja bado. Naye atakapokuja imempasa kukaa muda mchache. Na yule mnyama aliyekuwako naye hayuko, yeye ndiye wa nane, naye ni mmoja wa wale saba, naye aenenda kwenye uharibifu.”


Katika siku chache nyuma, wakati nilipojaribu kutafsiri unabii huu sikuzingatia wakati/muda sahihi. Na siyo mimi pekee yangu, kuna watu wengi wanaokosea kutafsiri unabii huu kwa sababu ya kutozingatia wakati/muda sahihi ambao unabii huu unahusika.

Jinsi nilivyotafsiri unabii huu, kama vile ambavyo na watu wengi hutafsiri. Nilitumia wakati ambao Yohana alikuwa akiishi, na wakati huo ufalme uliokuwa ukitawala ulikuwa ni ufalme wa dola la Rumi ya kipagani. Hivyo jibu la unabii huu ambalo ningepata lilikuwa kama ifuatavyo.

Ufunuo 17:10 “Navyo ni wafalme saba. Watano wamekwisha kuanguka, na mmoja yupo, na mwingine hajaja bado. Naye atakapokuja imempasa kukaa muda mchache.”

Ukichukulia wakati/muda ambao Yohana aliona maono haya, utaona kuwa yule mfalme anayetajwa kuwa “na mmoja yupo” ni ufalme wa Rumi ya kipagani, ambao ulikuwa ukitawala wakati yohana alipoona maono haya. Hivyo, wale wafalme watano walioanguka watakuwa ni falme tano zilizokuwa zimepita ambazo ni Misri, Ashuru, Babeli, Umedi&Uajemi, na Ugiriki. Na yule mfalme mwingine ambaye hajaja bado atakuwa ni utawala wa Upapa uliopata nguvu kuanzia 538 BK., nao baada ya kuanza ungetawala kwa muda mchache.

Ufunuo 17:11 “Na yule mnyama aliyekuwako naye hayuko, yeye ndiye wa nane, naye ni mmoja wa wale saba, naye aenenda kwenye uharibifu.”

Mnyama aliyekuwako naye hayuko ni upapa ambao ulitawala tangu 538 BK, hadi ulipopata jeraha la mauti mwaka 1798 BK.,

Mnyama aliyekuwako, ni upapa uliotawala tangu mwaka 538BK hadi 1798BK, ulipopata jeraha la mauti.

…naye hayuko, tangu mwaka 1798BK ulipopata jeraha la mauti hadi 1929BK wakati wa kusaini katika ikulu ya Leteran.

Hivyo, kwa jinsi kama hii ingeonyesha kwamba mfalme wa nane angekuwa ni Upapa baada ya kupona jeraha lake la mauti mwaka 1929 BK.
2. Yule mnyama afananae na Mwanakondoo,anayeinuka kutoka ktk nchi ..niambie ni wapi katika biblia imeandikwa kwamba ni Marekani?? Kwani nini isiwe Djibout au Ethiopia.
KIPINDI YOHANA ANAONESHWA HAYA MAAONO TAIFA LA USA LILIKUWA HALIJAANZISHWA WALA KUPEWA JINA, SASA TUTAJUAJE NI USA NA SIO ETHIOPIA AU DJIBOUT? Twende tufatilie sifa zitakazotusaidia ambazo zitafiti kwa USA tu...

Ufunuo 13:11-12 “Kisha nikaona mnyama mwingine, akipanda juu kutoka katika nchi; naye alikuwa na pembe mbili mfano wa Mwana-Kondoo, akanena kama joka. Naye atumia uwezo wote wa mnyama yule wa kwanza mbele yake. Naye aifanya dunia na wote wakaao ndani yake wamsujudie mnyama wa kwanza, ambaye jeraha lake la mauti lilipona.”


Je mnyama huyu wa pili anaeifanya dunia na wote waikaao wamsujudie yule mnyama wa kwanza aliyepata jeraha la mauti ni nani? Ili kumtambua mnyama wa pili, ni lazima kwanza tumtambue kwanza mnyama wa kwanza.

Mnyama wa kwanza aliyepata jeraha la mauti ni kanisa la Romani Katoliki na Upapa.

Kutoka katika nchi(sehemu kavu) ni kinyume cha kutoka katika bahari(sehemu yenye maji). “bahari” inawakilisha “sehemu yenye watu wengi tofauti”, hivyo “nchi” ni kinyume chake na inawakilisha “eneo lisilo na watu wengi.” Jambo hili linafaa kwa taifa la Marekani, liliinuka mwishoni mwa karne ya 18, miaka ya 1776BK likiwa na watu wachache. Mwandishi mmoja aliandika kuwa taifa la Marekani…

“Siri ya kuja kwake kutoka katika sehemu tupu, kama mbengu ya kimya kimya tulikua hadi kufikia kuwa dola.” -Vandeman, GeorgeDestination Life, (Mountain View: Pacific Press Pub. Assoc., 1980), p. 74

…Angekuwa na sifa za mwana-kondoo, lakini angenena kama joka.

“‘’ Pembe mfano wa mwana-kondoo zinaashiria ujana, na umakini, na zinawakilisha uhuru wa kiraia na kidini.

Karibu kila mmoja anafahamu historia hii. Wakati wa utawala wa Upapa mwaka 538-1798BK, uliua Wakristo wa Kiprotestanti zaidi ya milioni 100,000000, hivyo wakati wa miaka ya 1776BK Wakristo wengi walikimbilia katika nchi ya Marekani ambako kulikuwa na uhuru wa kuabudu. Kwa hakika hali hii ya uhuru wa kuabudu, na kutetea haki na uhuru wa dini, ndiyo inawakilishwa na kuwa na “pembe mbili mfano wa mwana-kondoo.” Karibu kila mmoja anajua Wakristo wa kweli katika Maandiko huwakilishwa kama “kondoo,” lakini Wakristo wa uongo huwakilishwa kama “mbwa-mwitu.” Hivyo, taifa la marekani liliwakilishwa kwa mfano wa mwana-kondoo kwa kitendo kabisa cha Wakristo wa kweli walioteswa na Upapa kukimbilia huko, na kwa kitendo cha taifa lenyewe kulinda uhuru wa dini kwa ajili ya watu wa Mungu.

Lakini Ufunuo 13:11 inasema tena kuwa, taifa hili hili lenye mfano wa mwana-kondoo litanena kama joka.

Joka = Shetani/ibilisi

Ufunuo 13:9 “Yule joka akatupwa, yule mkubwa, nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye ulimwengu wote; akatupwa hata nchi, na malaika zake wakatupwa pamoja naye.”

Kama taifa la Marekani lingekuja kunena kama joka, hii inaashiria kwamba lingekuja kufanya mambo ya kishetani yasiyopendeza mbele za Mungu. Taifa la Marekani lina pembe mbili kama za mwana-kondo, lakini linanena kama joka. Ukiangalia hatua za taifa la Marekani; matendo yake, na maneno yake utaona kabisa kuwa taifa hili linanena kama joka. Jinsi linavyoua watu katika vita, linavyoua watu kwa kutumia sumu, linavyotoa amri kwa mataifa mengine yafanye kama linavyotaka lenyewe, hii ni wazi taifa la Marekani linafanya mambo mengi ya kishetani. Lakini unabii hauishii hapa, bali unasema zaidi kuwa taifa la Marekani (mnyama wa 2), na Vaticani (mnyama wa 1) wataungana ili kulazimisha alama ya mnyama.

NITAENDELEA BAADAE NA MASWALI ,MENGINE
 
3. Kwa sasa nyakati hizi yunazoishi sisi tuko ktk utawala upi wa dunia? Yaani mnyama yupi kati ya Simba, Dubu, chui na huyo mwingine anayetodautiana na wengine wote mwenye meno kama ya chuma na nguvu nyingi?
ZILE TAWALA NNE KUTOKA BABELI HADI RUMI YA KIPAGANI ZILIPITA, LAKINI KUMBUKA BAADA YA RUMI YA KIPAGANI INATOKEA KATIKATI YAKE PEMBE NDOGO AMBAYO NDIYO RUMI YA KIDINI.... BAADA YA HAPO UFALME WA MWISHO KABISA NI UFALME WA YESU AMBAO DANIELI ALIONA JIWE LISILOFANYWA KWA MIKONO LINASAMBARATISHA FALME ZOTE

1619500139977.png



1619500108741.png


KUJUA TUPO KIPINDI GANI ITAKUBIDI USOME Ufunuo 17:7-18

Hapa pia tunaona Yohana anaonyeshwa siri ya yule mnyama ambaye ndio yule yule aliyeonyeshwa katika ile sura ya 13 ambaye ana vichwa 7 na pembe 10, isipokuwa hapa zile pembe 10 zinaonanekana hazina vilemba ikiwa na maana hazijapokea ufalme bado, na ndio maana tukisoma mstari wa 12 inasema watakuja kupokea ufalme(yaani kuvikwa vilemba) saa moja na yule mnyama.

Kumbuka vile vichwa saba, ni FALME 7, ambazo shetani alizikalia kuutesa au kutaka kuungamiza kabisa uzao wa Mungu, ambazo ni 1) MISRI 2)ASHURU 3)BABELI 4)UMEDI & UAJEMI 5) UYUNANI 6) RUMI-ya-KIPAGANI 7) RUMI-ya KIPAPA...



Lakini tunaona hapo wakati Yohana anaonyeshwa maono hayo aliona watano wameshakwisha anguka, na mmoja yupo na mwingine hajaja bado. Kumbuka wakati ule Yohana anapewa haya maono AD 90 ,utawala uliokuwa unaitawala dunia wakati ule ni RUMI ya kipagani, kwahiyo zile tawala tano za kwanza zilikuwa zimeshapita yaani Misri, Ashuru, Babeli, Umedi&uajemi pamoja na Uyunani. Hivyo ule wa Urumi ndio uliokuwepo na ndio ule uliomsulibisha KRISTO.

Na kama alivyoambiwa mmoja bado hajaja(ambaye ni wa 7), Na kwamba atakapokuja itampasa akae muda mchache, sasa huo si mwingine bali ni ule utawala wa RUMI ya kidini chini ya upapa ulioongoza dunia nzima kuanzia kile kipindi cha karne ya 4, ni ule ule tu wa RUMI sema hapa umegeuka ukawa wa kidini chini ya upapa.

Tukiendelea kusoma mstari wa 11 inasema.." Na yule mnyama aliyekuwako naye hayuko, yeye ndiye wa nane, naye ni mmoja wa wale saba, naye aenenda kwenye uharibifu.".Hivyo tunaona mnyama mwingine wa 8 anajitokeza hapo, lakini biblia inasema huyu wa 8 ndio yule yule wa 7, hii ikiwa na maana kuwa ni kile kile kichwa cha saba isipokuwa kimebadilisha taswira, kwasababu yule mnyama tayari anavyo vichwa saba hawezi akawa tena na vichwa nane,

Na huyu mnyama wa 8 biblia inasema ambaye alikuwako naye hayupo naye anaenda kwenye uharibifu, tukirudi kwenye historia tunamwona huyu mnyama (ambaye ndio kile kichwa cha 7 -Rumi ya kidini chini ya Upapa wa Kanisa Katoliki) ulikuwa na nguvu kipindi kile cha utawala wake, lakini baadaye ulikuja kutiwa jeraha la mauti na wale wanamatengezo, hivyo nguvu zake za kutawala dunia nzima zilikufa, lakini tunaona lile jeraha lilianza kupona tena, kuanzia kile kipindi cha vita vya pili vya dunia mpaka leo linaendelea kupona, utakapofika wakati atakaporejeshewa nguvu zake tena alizopoteza ndipo atakapoingia katika UHARIBIFU, naye ataitawala dunia kwa kipindi kifupi cha miaka mitatu na nusu ndio kile kipindi cha dhiki kuu, ndio maana biblia inasema alikuwepo naye hayupo, naye anajiandaa kwenda kwenye uharibifu. Kwasababu hapo mwanzo alishawahi kutawala na atakuja kutawala tena.

Sasa Zile pembe 10 za yule mnyama ambayo ni yale mataifa 10 ya ULAYA(EU), Biblia inasema yatakuja kupata nguvu wakati mmoja na yule mnyama. Na haya ndiyo mpinga-kristo PAPA atakayoyatumia kuwatesa wale ambao hawataipokea chapa ya mnyama katika kile kipindi cha dhiki kuu.

Lakini mstari 16 tunaona jambo lingine.." Na zile pembe kumi ulizoziona, na huyo mnyama, hao watamchukia yule kahaba, nao watamfanya kuwa mkiwa na uchi, watamla nyama yake, watamteketeza kabisa kwa moto."

Mwisho wa yote baada ya dhiki kuu kukaribia kuisha yale mataifa 10 ya Ulaya yatagundua kuwa utawala wa mpinga-kristo(PAPA) Chini ya kanisa katoliki hauna manufaa yoyote wala haujasaidia chochote kutimiza matakwa yao, na suluhu zao za AMANI, sasa kwa pamoja yatamchukia yule mwanamke(yaani PAPA) na Makao yake VATICAN na kumwangamiza kabisa, hiyo ndio HUKUMU ya YULE KAHABA MKUU kama mstari wa kwanza unavyosema.
 
Back
Top Bottom