Freemasons katika siasa na dini

Freemasons katika siasa na dini

Sasa kwanini unapoteza muda kuponda dini za wengine huoni kama wewe ni punguani hazimo,.maana wasema kila mtu atahukumiwa peke yake, jaribu kupunguza ujinga

Huo muda unaopoteza kufatilia dini za wengine ungetumia kumsoma mwokozi wako elen G white
kuambiwa ukweli ni kupondwa? basi biblia ndio itakuwa ya kwanza kuwaponda, kwa tafsiri ysko

Zab 115:4-8 SUV​

Sanamu zao ni fedha na dhahabu, Kazi ya mikono ya wanadamu. Zina vinywa lakini hazisemi, Zina macho lakini hazioni, Zina masikio lakini hazisikii, Zina pua lakini hazisikii harufu, Mikono lakini hazishiki, miguu lakini haziendi, Wala hazitoi sauti kwa koo zake. Wazifanyao watafanana nazo, Kila mmoja anayezitumainia.

Yeremia 10


2Mwenyezi-Mungu asema hivi:
“Msijifunze mienendo ya mataifa mengine,
wala msishangazwe na ishara za mbinguni;
yaacheni mataifa mengine yashangazwe nazo.
3Maana, mila za dini za watu hawa ni za uongo.
Mtu hukata mti msituni
fundi akachonga kinyago cha mungu kwa shoka.
4Kisha watu hukipamba kwa fedha na dhahabu
wakakipigilia misumari kwa nyundo
ili kisije kikaanguka.
5Vinyago vyao ni kama vinyago vya kutishia ndege

katika shamba la matango,
1619456433006.png

1619456457405.png

1619456483066.png

1619456496365.png
 
Katika karne ile ya kumi na tatu kilinzishwa chombo cha papa cha kutisha mno - yaani, ile Inkwizisheni (Inquisition) [Mahakama ya Kanisa Katoliki ya kukomesha uasi, hasa katika karne ile ya 15 na 16; pia inaitwa ‘Ofisi Takatifu’ ambayo inaendeshwa na Majesuti

(Jesuits) au Chama cha Yesu (Society of Jesus)] ni chama cha KIKATILI SANA
Sikutegemea kama hivi ndivyo ungejibu maswali niliyoyauliza hapo juu.

Tufahamu hii taasisi (inquisition) ilianzishwa wakati gani? Kwanini? Na kwa malengo gani?

Muhimu zaidi ni kuwa, kwanini Kanisa katoliki lilianzisha taasisi hii?

Kanisa katoliki walipata wapi mamlaka au waliruhusiwa na nani kuanzisha taasisi ya kupambana na kuondosha uzushi dhidi ya imani na maadili duniani? Hili ni muhimu sana kulielewa kwa kina kuliko hata hiyo taasisi yenyewe (inquisition).

Ni vizuri tukajifunza elimu ya vitu na kuwa na uelewa wa mambo.

Suala hapa ni Kanisa katoliki ni nini na linasimamia ni nini. Tukielewa hili tutafahamu ukweli wa mambo.

Wasiwasi hapa ni kuwa hatuna elimu ya vitu na uelewa wa mambo kwahiyo hatufahamu kanisa katoliki ni nini. Kwa sababu hiyo tunapotoshwa na kuishi uzushi.

Makosa ni haya: Makrelo kama mtu mmoja anafanya makosa. Lakini makosa hayo hayawi Kanisa katoliki limefanya makosa.

Kanisa haliwezi kufanya makosa na halikosei kwasabu lenyewe sio mamlaka ya kibinadamu lakini linashughulika na binadamu.

Sisi, hasa waafrika tunapenda sana uzushi kuliko ukweli. Uzushi ni hatari zaidi kama ulivyo upotovu. Mambo haya mawili ni mauaji mabaya zaidi wakati wote yasipodhibitiwa.

Angalia Afrika, kwa mfano ni mamlioni ya watu wanakufa kwa imani potofu na uzushi? Hili umeliangalia kwa kina ukaona ukweli wake?

Ndio Papa, Mtakatifu Yohana Paulo II, aliwahi kuomba radhi kwa makosa yaliofanywa na makrelo katika vipindi mbalimbali katika Kanisa, lakini hilo sio kanisa bali watu ndio walitenda uovu huo.

Nitasema pia juu ya shirika la Ma-Jesuits.
 
Sikutegemea kama hivi ndivyo ungejibu maswali niliyoyauliza hapo juu.

Tufahamu hii taasisi (inquisition) ilianzishwa wakati gani? Kwanini? Na kwa malengo gani?

Muhimu zaidi ni kuwa, kwanini Kanisa katoliki lilianzisha taasisi hii?

Kanisa katoliki walipata wapi mamlaka au waliruhusiwa na nani kuanzisha taasisi ya kupambana na kuondosha uzushi dhidi ya imani na maadili duniani? Hili ni muhimu sana kulielewa kwa kina kuliko hata hiyo taasisi yenyewe (inquisition).

Ni vizuri tukajifunza elimu ya vitu na kuwa na uelewa wa mambo.

Suala hapa ni Kanisa katoliki ni nini na linasimamia ni nini. Tukielewa hili tutafahamu ukweli wa mambo.

Wasiwasi hapa ni kuwa hatuna elimu ya vitu na uelewa wa mambo kwahiyo hatufahamu kanisa katoliki ni nini. Kwa sababu hiyo tunapotoshwa na kuishi uzushi.

Makosa ni haya: Makrelo kama mtu mmoja anafanya makosa. Lakini makosa hayo hayawi Kanisa katoliki limefanya makosa.

Kanisa haliwezi kufanya makosa na halikosei kwasabu lenyewe sio mamlaka ya kibinadamu lakini linashughulika na binadamu.

Sisi, hasa waafrika tunapenda sana uzushi kuliko ukweli. Uzushi ni hatari zaidi kama ulivyo upotovu. Mambo haya mawili ni mauaji mabaya zaidi wakati wote yasipodhibitiwa.

Angalia Afrika, kwa mfano ni mamlioni ya watu wanakufa kwa imani potofu na uzushi? Hili umeliangalia kwa kina ukaona ukweli wake?

Ndio Papa, Mtakatifu Yohana Paulo II, aliwahi kuomba radhi kwa makosa yaliofanywa na makrelo katika vipindi mbalimbali katika Kanisa, lakini hilo sio kanisa bali watu ndio walitenda uovu huo.

Nitasema pia juu ya shirika la Ma-Jesuits.
Na ndiyo maana biblia ni tishio kubwa sana kwa kanisa la Romani Katholiki.wanajua kwamba watafichuliwa na maandiko matakatifu ambayo huendana kabisa na jinsi matukio ya kihistoria yailivyo .Na ndiyo maana miaka iliyopita RC ilifanya iwezavyo ili kuficha biblia hata isipatikane mikononi mwa watu. Baada ya uvumbuzi wa uchapishaji,walijikuta hawawezi kuificha tena.

Hivyo waliamua kupotosha maandiko kwenye biblia katika juhudi za kuficha ukweli. Na ndiyo maana leo hii unaona biblia za kishenzi ambazo kweli ya Mungu imetupiliwa mbali au imebatilishwa.

Hata hivyo mwovu hawezi kuruhusiwa kabisa kufuta kweli yote ya Mungu katika mandiko matakatifu. Mpaka sasa Biblia yenye usalama kwa kipindi hiki,ambayo ina mapungufu madogo tena ambayo mengi yao ni katika matumizi ya “alama za uandishi” ni biblia ya “King James”. Mungu atukuzwe kwa kulilinda neno lake kwa ajili ya wamchao. Litukuzwe jina lake kwa kuwa bado tunaweza pata mafundisho na mahusia ya Mungu kama neno lisemavyo; “Elekeza moyo wako kusikiliza mafundisho; Tega masikio yako kusikia maneno ya maarifa.” Mithali 23:12.

Kwa hivyo basi hata ukichunguza vitabu vya kihistoria ukaangalia na sifa za ile pembe ndogo hakuna kitu kingine isipokuwa ni Upapa ndio unaoendana na sifa hizo kwa uhakika.

“ ni marufuku kwa mtu wa kawaida kusoma agano la kale wala jipya. Wakuu wa wilaya watahusika kuwatafuta kwa umakini wazushi wote katika makazi yao na hata mafichoni ili kuwashughulikia kikamilifu”. Council Tolosanion, Pope Gregory IX, Anno.Chr.1229.

1619458604792.png
 
Sikutegemea kama hivi ndivyo ungejibu maswali niliyoyauliza hapo juu.

Tufahamu hii taasisi (inquisition) ilianzishwa wakati gani? Kwanini? Na kwa malengo gani?

Muhimu zaidi ni kuwa, kwanini Kanisa katoliki lilianzisha taasisi hii?

Kanisa katoliki walipata wapi mamlaka au waliruhusiwa na nani kuanzisha taasisi ya kupambana na kuondosha uzushi dhidi ya imani na maadili duniani? Hili ni muhimu sana kulielewa kwa kina kuliko hata hiyo taasisi yenyewe (inquisition).

Ni vizuri tukajifunza elimu ya vitu na kuwa na uelewa wa mambo.

Suala hapa ni Kanisa katoliki ni nini na linasimamia ni nini. Tukielewa hili tutafahamu ukweli wa mambo.

Wasiwasi hapa ni kuwa hatuna elimu ya vitu na uelewa wa mambo kwahiyo hatufahamu kanisa katoliki ni nini. Kwa sababu hiyo tunapotoshwa na kuishi uzushi.

Makosa ni haya: Makrelo kama mtu mmoja anafanya makosa. Lakini makosa hayo hayawi Kanisa katoliki limefanya makosa.

Kanisa haliwezi kufanya makosa na halikosei kwasabu lenyewe sio mamlaka ya kibinadamu lakini linashughulika na binadamu.

Sisi, hasa waafrika tunapenda sana uzushi kuliko ukweli. Uzushi ni hatari zaidi kama ulivyo upotovu. Mambo haya mawili ni mauaji mabaya zaidi wakati wote yasipodhibitiwa.

Angalia Afrika, kwa mfano ni mamlioni ya watu wanakufa kwa imani potofu na uzushi? Hili umeliangalia kwa kina ukaona ukweli wake?

Ndio Papa, Mtakatifu Yohana Paulo II, aliwahi kuomba radhi kwa makosa yaliofanywa na makrelo katika vipindi mbalimbali katika Kanisa, lakini hilo sio kanisa bali watu ndio walitenda uovu huo.

Nitasema pia juu ya shirika la Ma-Jesuits.
Vatican inatambua vyema kuwa Biblia inaweza kufichua siri zote zinazotendeka humo. Hivyo ilifanya juu chini ili kuhakikisha Biblia haipatikani kwa waumini. Mbaya zaidi ni kwamba watu wengi waliuawa kikatili kwa sababu walikataa kukana kweli walizokuwa wamezisoma katika biblia zao. Na hiyo nayo ni moja ya sifa za hiyo pembe ndogo kama tunavyoshuhudia hapo chini.
Hebu tujikumbushe sifa chache za pembe ndogo tuone kama kweli zinapatana na upapa.

Hebu tuone namna biblia inavyoifichua hiyo mamlaka kama mpinga Kristo.

· Danieli 7:8 “Nikaziangalia sana pembe zake, na tazama, pembe nyingine ikazuka kati yao, nayo ilikuwa ndogo, ambayo mbele yake pembe tatu katika zile za kwanza zikang'olewa kabisa; na tazama, katika pembe hiyo mlikuwa na macho kama macho ya mwanadamu, na kinywa kilichokuwa kikinena maneno makuu.”

· Ufunuo 13:4 “Wakamsujudu yule joka kwa sababu alimpa huyo mnyama uwezo wake; nao wakamsujudu yule mnyama, wakisema, Ni nani afananaye na mnyama huyu? Tena ni nani awezaye kufanya vita naye?”
 
Vatican inatambua vyema kuwa Biblia inaweza kufichua siri zote zinazotendeka humo. Hivyo ilifanya juu chini ili kuhakikisha Biblia haipatikani kwa waumini. Mbaya zaidi ni kwamba watu wengi waliuawa kikatili kwa sababu walikataa kukana kweli walizokuwa wamezisoma katika biblia zao. Na hiyo nayo ni moja ya sifa za hiyo
Unaandika zaidi uzushi. Jaribu kuwa mtu makini.
 
Na ndiyo maana biblia ni tishio kubwa sana kwa kanisa la Romani Katholiki.wanajua kwamba watafichuliwa na maandiko matakatifu ambayo huendana kabisa na jinsi matukio ya kihistoria yailivyo .Na ndiyo maana miaka iliyopita RC ilifanya iwezavyo ili kuficha biblia hata isipatikane mikononi
Hivi sasa, biblia anaruhusiwa kila mtu.

Sasa basi nini ambacho Kanisa katoliki lilificha kimefichuliwa?
 
Hivi sasa, biblia anaruhusiwa kila mtu.

Sasa basi nini ambacho Kanisa katoliki lilificha kimefichuliwa?
kuwa na biblia sio kujua kila kilichomo. Kwa kawaida wahumini wengi wa RC hawajatengenezewa tamaduni ya kujisomea maandiko na kujifunza. wenyewe

NB: sijazungumzia vya siri anazozisemea huyo
 
Nataka kusema kwamba, Ulaya wameitawala Libya,wanajua utamu wa utajiri wake wa mafuta. Ulaya na Marekani ndiyo wenye makampuni makubwa, “Supermajors” ya mafuta hapa duniani. Utawala wa Gaddafi ulitaka kubinafsisha mafuta yote yawe kwa maslahi ya Walibya, ooh…wakamkosea Mzungu.

Freemasons wanatafuta kumiliki chumi za dunia nzima na mafuta ni ‘damu’ inayobeba uhai wa dunia na mataifa yao. Sasa, twajua kwa nini Freemasons waliingiza Libya katika Mhimili wa Uovu(The Axis of Evil) wapate kuishambulia na kumuulia mbali Gaddafi na wapinzani wa sera zao. Na kwa misingi hii hii tujue kwa nini Iran itashambuliwa na Marekani ikileta ubishi wowote. Uingereza, Ujerumani, Hispania, Ufaransa, Italia, Ureno, Uswisi hawa ni vichwa saba katika mnyama wa Ufunuo 13, ufunuo 17, Danieli 7.

Marekani, ni mwanakondoo wa Ufunuo 13:11-18 na hawa wote wanahaha kuhakikisha wanafanya kampeni kali na propaganda kupitia mashirika yao ya habari yenye nguvu duniani, kuwapaka matope watu wasiopendwa,ili wapinduliwe kijeshi na AJENDA YAO YA SIRI itekelezwe.

Katika unabii wa Biblia, katika kitabu cha Danieli 2:43 mataifa haya ya Ulaya yameoneshwa yakiwa yanabebwa na historia ya iliyokuwa Dola ya RUMI. Mataifa haya hufananishwa na vidole vya sanamu ya Nebuchadnezzar, katika sura ya Pili ya Danieli. Ni sawa na pembe 10 za mnyama wa ajabu ambaye ni Rumi katika Danieli 7:7.

Hizi dola 10 za Ulaya, zilizoinuka baada ya dola ya Rumi, zina tabia ile ya Rumi ya Washenzi wa kale(Danieli 7:24). Pembe ndogo(Danieli 7:24,25) ni nguvu isiyo mamlaka ya kisiasa ambayo ilizifukuza Ulaya tawala tatu za Wavandali, Waheruli na Ostrogoths. Nguvu hii ilianza kuitawala Dunia mwaka 538 AD. Huu ndiyo utawala uliohuishwa baadaye na utaitawala dunia nzima na kulazimisha watu kuuabudu(Danieli 7:24,25).

Utawala huu utapewa mamlaka na shetani na mawakala wake,Freemasons,Illuminati,Marekani na washirika wake wa Magharibi, wataunganisha siasa na dini, watalazimisha Mfalme aabudiwe, watakaokataa watawekewa vikwazo vya kiuchumi, watafungwa jela ama kuuliwa. Sasa, demokrasia wanayojidai kueneza iko wapi? Kama watu watalazimishwa kuabudu dini moja, wakikataa wanafungwa, mtu kwa kuwa ni mtawala anajiita Mungu(Danieli 7:25 na Ufunuo 13:1-10) ndiyo demokrasia gani hii? Utawala uliozuka baada ya dola ya Rumi kusambaratishwa na washenzi wa Kaskazini, ukafukuza dola tatu za Wavandali(mwaka 454 AD),Heruli(493 AD) na Ostrogoths(538 AD) na kuanza kutawala dunia kwa jumla ya miaka 1260.

“Pembe Ndogo” yenye macho kama mtu mwanaume, huwakilisha mamlaka itakayoongoza serikali ya Dini na Siasa- Religio-Political Power. Mtawala huyu anaitwa, ‘Mpinga Kristo’ ama Chukizo la Uharibifu lililonenwa na Nabii Danieli(Mathayo 24:15). Katika Ufunuo wa Yohana 17: 5 upo mfano wa utawala huu wenye nguvu na wa ina yake unaoandaliwa kuitawala dunia,kidini,kiuchumi,utamaduni na kila nyanja.

Yohana wa Ufunuo wa Yohana 17:5 ,katika mwaka 96 AD alioneshwa utawala huu wa mseto wa dini na siasa. Akaoneshwa Jiji liitwalo “Babeli ya Siri” likiwa limebebwa na mamlaka(mnyama) za serikali za Ulaya na Marekani. Babeli, ni Jiji la kale sana, zama za Dikteta Nebuchadnezzar, mwaka 6060 BC. Siku hizi, Babeli ni moja ya Maajabu saba ya Dunia,kutokana na utajiri wake wa dhahabu ulioporwa katika mahali walikopindua na kuua, bustani zenye kuning’inia katika kuta ndefu zenye futi za mraba 400.
View attachment 1764275

Bustani hizi zilikuwa juu kutani kiasi cha futi 75 kutoka ardhini. Hii ni nchi ya Wakaldayo wa zamani waliokula nguruwe na kunywa mvinyo kwa wingi. Na kabla ya kula vyakula hivi vya kitajiri, walivitoa sadaka kwa miungu yao mikuu, Bel na Murdoch.

Danieli na vijana wenzake wa Kiebrania waligoma kula chakula hiki na pombe zilizotolewa dhabihu kwa miungu kabla ya kuliwa eti ili kumfanya mlaji awe na nguvu za miungu hii mwilini mwake! Wakasema, kula nguruwe hizi na kunywa pombe ilikuwa kujitia unajisi na chakula cha Mfalme(Danieli 1:1-8).

Babeli, mabaki yake yangalipo hata leo huko kando ya Mito miwili ya Tigris na Euphrates, mchangani-na unaweza kufika kwa treni, ni eneo la utalii siku hizi, sasa ni makao ya mashetani na ndege wachafu kama popo, bundi n.k
View attachment 1764277View attachment 1764278

Jiji hili la siri hufananishwa na mwanamke, katika Ufunuo wa Yohana 17:5-9. Hata jiji la Mwanza, huitwa, “Jiji-Dada” la Wurzburgh, Ujerumani. Kumbe mji hupewa heshima ya mwanamke? Babeli wa mafumbo katika Ufunuo 17:5-9 ni Jiji la Siri, litakalobebwa na Ulaya siku za karibuni,ili kuua watu watakaokataa kumsujudia shetani na Freemasons-ndiye mtawala atakayefuata baada ya Marekani na washirika kuitiisha dunia.

Mwanamke huyu, “Babeli” ndani yake kuna waabuduo sanamu, wala nguruwe,walevi, waabudu jua na mfumo wa sayari zote, wenye imani za kuongea na mizimu(spiritualism) n.k Mwanamke huyu, amezaa watoto, anaitwa ‘MAMA WA MAKAHABA’ na machukizo ya nchi.

Katika Biblia, ukahaba ni pale watu wa Mungu wanapo anza kuungana na waabudu sanamu na miungu,ulevi, ibada ya mizimu na uongo na kuacha usafi na kicho kwa Mungu muumbaji(Hosea 1:2) ‘Uzinzi’ ni kumwacha Mungu na kuabudu sanamu na miungu(Hosea 1:2).

Mji huu Babeli, katika Ufunuo 17:3-11 unabebwa na Ulaya na Marekani, “SUPER POWERS” zenye nyuklia na uchumi mkubwa na wana sera moja. Iran watapigwa na Marekani, Israeli na Ulaya kwa sababu wakiachwa, wakawa na Nyuklia,watapinga kuibeba Babeli hii!! Mji huu Babeli wa siri una ‘Meya’ wake anajiita Mungu duniani na ahera, huwakilisha nambari 666. Mji dada wa Babeli umebeba kikombe cha ulevi wa mafundisho, ndiyo propaganda za uongo duniani ni uchafu katika imani ya kidini, Kiislam, Kiyahudi ama Kikristo.

View attachment 1764280View attachment 1764281
Mji huu Babeli uliua wapinzani wake,maana ulikuwepo zamani,mwaka 538-1798 AD.Ulikoma Feburuari 10 mwaka 1798 baada ya miaka 1260 ukawa mwisho wa Dark Ages. Mwanamke huyu ambaye ni ‘Mji Dada’wa Babeli ya kale, wakati wa Nabii Yohana akiandika kitabu cha Ufunuo(mwaka 96 AD) haukuwepo, na ukafufuka toka kuzimu Feburuari 11 mwaka 1929 AD.(Ufunuo 17:8-9) Mji dada wa Babeli uko juu ya milima saba. Mji ulikoko katika vilima saba Ulaya! Tazama Ufunuo 17:9 UONE SIRI hii, na milima saba pia huwakilisha falme saba za kale, Babeli, Wamedi na Waajemi katika serikali ya mseto, Wagiriki, Rumi ya kipagani, Rumi ya Kikristo, Pembe Ndogo na Serikali Mpya duniani yenye Dini na siasa(Ufunuo 17:9-11)

View attachment 1764283

Naam, Marekani na washirika wanajiandaa kuleta duniani dini mpya ya muungano wa Freemasons,Illuminati n.k Ni mfumo wa dini(system of religion) ambao ni bandia.
Bidhaa bandia(counterfeit) zinaigiza zile bidhaa halisi.Bidhaa feki hufanana na feki, lakini ubora wake ni duni na utazitambua kwa alama yake ya biashara-trade mark- kwa mfano bidhaa feki za Panasonic huitwa,Panasoanic,hukosa ubora wa Panasonic,tujihadhari! Dini counterfeit ina alama(ALAMA YA MNYAMA) mnyama ni mpinga Kristo yaani utawala bandia wa Kristo Duniani.(2Wathesalonike 2:3-4).

Mnyama yaani Mpinga Kristo ni mtawala bandia wa dunia hii(2 Thesalonike 2:3-4) Mpinga Kristo anajifanya Mkristo(1Yohana 2:18,19)Wapinga Kristo hutokea miongoni mwa wakristo, na wana tabia kama za Babeli ya zamani,ulevi, ibada ya sanamu,ulaji wa nguruwe,kiu ya utawala duniani, ibada ya jua nyota na sayari n.k Wapinga Kristo wameacha Injili na kuhubiri siasa makanisani,ili kuwapindua viongozi waliopo kote duniani-wanajidai kuhamasisha demokrasia, na hujihusisha sana na ushoga,ulawiti na ufisadi wa kiroho,ingawa wao hukazania sana watu waache ufisadi!!

Mpinga Kristo ndiye Pembe Ndogo ya Danieli 7:25 na ni mnyama wa Ufunuo 13:1-10. Mfumo wa Ibada bandia, humbeba Mpinga Kristo wa Ufunuo 13,17 Danieli 7:25 na 2Thesalonike 2:2-4.

ubarikiwe kwa kusoma

View attachment 1764282
Mungu akubariki sana kiongozi umetufumbua macho ya rohoni,Ila naomba kuuliza Jambo moja kwenye article yako umekazia sana neno ulaji wa NGURUWE kwani ni dhambi kibiblia??
 
Wasabato majungu hayatawafikisha mbinguni. Shauri yenu
Hoja zenu haziwezi kusimama zenyewe bila kutaja Papa au Roman Catholic
Mimi sio msabato lkn kweli hili naungana na wasabato Roman Catholic ni satanic worshipers
 
Nataka kusema kwamba, Ulaya wameitawala Libya,wanajua utamu wa utajiri wake wa mafuta. Ulaya na Marekani ndiyo wenye makampuni makubwa, “Supermajors” ya mafuta hapa duniani. Utawala wa Gaddafi ulitaka kubinafsisha mafuta yote yawe kwa maslahi ya Walibya, ooh…wakamkosea Mzungu.

Freemasons wanatafuta kumiliki chumi za dunia nzima na mafuta ni ‘damu’ inayobeba uhai wa dunia na mataifa yao. Sasa, twajua kwa nini Freemasons waliingiza Libya katika Mhimili wa Uovu(The Axis of Evil) wapate kuishambulia na kumuulia mbali Gaddafi na wapinzani wa sera zao. Na kwa misingi hii hii tujue kwa nini Iran itashambuliwa na Marekani ikileta ubishi wowote. Uingereza, Ujerumani, Hispania, Ufaransa, Italia, Ureno, Uswisi hawa ni vichwa saba katika mnyama wa Ufunuo 13, ufunuo 17, Danieli 7.

Marekani, ni mwanakondoo wa Ufunuo 13:11-18 na hawa wote wanahaha kuhakikisha wanafanya kampeni kali na propaganda kupitia mashirika yao ya habari yenye nguvu duniani, kuwapaka matope watu wasiopendwa,ili wapinduliwe kijeshi na AJENDA YAO YA SIRI itekelezwe.

Katika unabii wa Biblia, katika kitabu cha Danieli 2:43 mataifa haya ya Ulaya yameoneshwa yakiwa yanabebwa na historia ya iliyokuwa Dola ya RUMI. Mataifa haya hufananishwa na vidole vya sanamu ya Nebuchadnezzar, katika sura ya Pili ya Danieli. Ni sawa na pembe 10 za mnyama wa ajabu ambaye ni Rumi katika Danieli 7:7.

Hizi dola 10 za Ulaya, zilizoinuka baada ya dola ya Rumi, zina tabia ile ya Rumi ya Washenzi wa kale(Danieli 7:24). Pembe ndogo(Danieli 7:24,25) ni nguvu isiyo mamlaka ya kisiasa ambayo ilizifukuza Ulaya tawala tatu za Wavandali, Waheruli na Ostrogoths. Nguvu hii ilianza kuitawala Dunia mwaka 538 AD. Huu ndiyo utawala uliohuishwa baadaye na utaitawala dunia nzima na kulazimisha watu kuuabudu(Danieli 7:24,25).

Utawala huu utapewa mamlaka na shetani na mawakala wake,Freemasons,Illuminati,Marekani na washirika wake wa Magharibi, wataunganisha siasa na dini, watalazimisha Mfalme aabudiwe, watakaokataa watawekewa vikwazo vya kiuchumi, watafungwa jela ama kuuliwa. Sasa, demokrasia wanayojidai kueneza iko wapi? Kama watu watalazimishwa kuabudu dini moja, wakikataa wanafungwa, mtu kwa kuwa ni mtawala anajiita Mungu(Danieli 7:25 na Ufunuo 13:1-10) ndiyo demokrasia gani hii? Utawala uliozuka baada ya dola ya Rumi kusambaratishwa na washenzi wa Kaskazini, ukafukuza dola tatu za Wavandali(mwaka 454 AD),Heruli(493 AD) na Ostrogoths(538 AD) na kuanza kutawala dunia kwa jumla ya miaka 1260.

“Pembe Ndogo” yenye macho kama mtu mwanaume, huwakilisha mamlaka itakayoongoza serikali ya Dini na Siasa- Religio-Political Power. Mtawala huyu anaitwa, ‘Mpinga Kristo’ ama Chukizo la Uharibifu lililonenwa na Nabii Danieli(Mathayo 24:15). Katika Ufunuo wa Yohana 17: 5 upo mfano wa utawala huu wenye nguvu na wa ina yake unaoandaliwa kuitawala dunia,kidini,kiuchumi,utamaduni na kila nyanja.

Yohana wa Ufunuo wa Yohana 17:5 ,katika mwaka 96 AD alioneshwa utawala huu wa mseto wa dini na siasa. Akaoneshwa Jiji liitwalo “Babeli ya Siri” likiwa limebebwa na mamlaka(mnyama) za serikali za Ulaya na Marekani. Babeli, ni Jiji la kale sana, zama za Dikteta Nebuchadnezzar, mwaka 6060 BC. Siku hizi, Babeli ni moja ya Maajabu saba ya Dunia,kutokana na utajiri wake wa dhahabu ulioporwa katika mahali walikopindua na kuua, bustani zenye kuning’inia katika kuta ndefu zenye futi za mraba 400.
View attachment 1764275

Bustani hizi zilikuwa juu kutani kiasi cha futi 75 kutoka ardhini. Hii ni nchi ya Wakaldayo wa zamani waliokula nguruwe na kunywa mvinyo kwa wingi. Na kabla ya kula vyakula hivi vya kitajiri, walivitoa sadaka kwa miungu yao mikuu, Bel na Murdoch.

Danieli na vijana wenzake wa Kiebrania waligoma kula chakula hiki na pombe zilizotolewa dhabihu kwa miungu kabla ya kuliwa eti ili kumfanya mlaji awe na nguvu za miungu hii mwilini mwake! Wakasema, kula nguruwe hizi na kunywa pombe ilikuwa kujitia unajisi na chakula cha Mfalme(Danieli 1:1-8).

Babeli, mabaki yake yangalipo hata leo huko kando ya Mito miwili ya Tigris na Euphrates, mchangani-na unaweza kufika kwa treni, ni eneo la utalii siku hizi, sasa ni makao ya mashetani na ndege wachafu kama popo, bundi n.k
View attachment 1764277View attachment 1764278

Jiji hili la siri hufananishwa na mwanamke, katika Ufunuo wa Yohana 17:5-9. Hata jiji la Mwanza, huitwa, “Jiji-Dada” la Wurzburgh, Ujerumani. Kumbe mji hupewa heshima ya mwanamke? Babeli wa mafumbo katika Ufunuo 17:5-9 ni Jiji la Siri, litakalobebwa na Ulaya siku za karibuni,ili kuua watu watakaokataa kumsujudia shetani na Freemasons-ndiye mtawala atakayefuata baada ya Marekani na washirika kuitiisha dunia.

Mwanamke huyu, “Babeli” ndani yake kuna waabuduo sanamu, wala nguruwe,walevi, waabudu jua na mfumo wa sayari zote, wenye imani za kuongea na mizimu(spiritualism) n.k Mwanamke huyu, amezaa watoto, anaitwa ‘MAMA WA MAKAHABA’ na machukizo ya nchi.

Katika Biblia, ukahaba ni pale watu wa Mungu wanapo anza kuungana na waabudu sanamu na miungu,ulevi, ibada ya mizimu na uongo na kuacha usafi na kicho kwa Mungu muumbaji(Hosea 1:2) ‘Uzinzi’ ni kumwacha Mungu na kuabudu sanamu na miungu(Hosea 1:2).

Mji huu Babeli, katika Ufunuo 17:3-11 unabebwa na Ulaya na Marekani, “SUPER POWERS” zenye nyuklia na uchumi mkubwa na wana sera moja. Iran watapigwa na Marekani, Israeli na Ulaya kwa sababu wakiachwa, wakawa na Nyuklia,watapinga kuibeba Babeli hii!! Mji huu Babeli wa siri una ‘Meya’ wake anajiita Mungu duniani na ahera, huwakilisha nambari 666. Mji dada wa Babeli umebeba kikombe cha ulevi wa mafundisho, ndiyo propaganda za uongo duniani ni uchafu katika imani ya kidini, Kiislam, Kiyahudi ama Kikristo.

View attachment 1764280View attachment 1764281
Mji huu Babeli uliua wapinzani wake,maana ulikuwepo zamani,mwaka 538-1798 AD.Ulikoma Feburuari 10 mwaka 1798 baada ya miaka 1260 ukawa mwisho wa Dark Ages. Mwanamke huyu ambaye ni ‘Mji Dada’wa Babeli ya kale, wakati wa Nabii Yohana akiandika kitabu cha Ufunuo(mwaka 96 AD) haukuwepo, na ukafufuka toka kuzimu Feburuari 11 mwaka 1929 AD.(Ufunuo 17:8-9) Mji dada wa Babeli uko juu ya milima saba. Mji ulikoko katika vilima saba Ulaya! Tazama Ufunuo 17:9 UONE SIRI hii, na milima saba pia huwakilisha falme saba za kale, Babeli, Wamedi na Waajemi katika serikali ya mseto, Wagiriki, Rumi ya kipagani, Rumi ya Kikristo, Pembe Ndogo na Serikali Mpya duniani yenye Dini na siasa(Ufunuo 17:9-11)

View attachment 1764283

Naam, Marekani na washirika wanajiandaa kuleta duniani dini mpya ya muungano wa Freemasons,Illuminati n.k Ni mfumo wa dini(system of religion) ambao ni bandia.
Bidhaa bandia(counterfeit) zinaigiza zile bidhaa halisi.Bidhaa feki hufanana na feki, lakini ubora wake ni duni na utazitambua kwa alama yake ya biashara-trade mark- kwa mfano bidhaa feki za Panasonic huitwa,Panasoanic,hukosa ubora wa Panasonic,tujihadhari! Dini counterfeit ina alama(ALAMA YA MNYAMA) mnyama ni mpinga Kristo yaani utawala bandia wa Kristo Duniani.(2Wathesalonike 2:3-4).

Mnyama yaani Mpinga Kristo ni mtawala bandia wa dunia hii(2 Thesalonike 2:3-4) Mpinga Kristo anajifanya Mkristo(1Yohana 2:18,19)Wapinga Kristo hutokea miongoni mwa wakristo, na wana tabia kama za Babeli ya zamani,ulevi, ibada ya sanamu,ulaji wa nguruwe,kiu ya utawala duniani, ibada ya jua nyota na sayari n.k Wapinga Kristo wameacha Injili na kuhubiri siasa makanisani,ili kuwapindua viongozi waliopo kote duniani-wanajidai kuhamasisha demokrasia, na hujihusisha sana na ushoga,ulawiti na ufisadi wa kiroho,ingawa wao hukazania sana watu waache ufisadi!!

Mpinga Kristo ndiye Pembe Ndogo ya Danieli 7:25 na ni mnyama wa Ufunuo 13:1-10. Mfumo wa Ibada bandia, humbeba Mpinga Kristo wa Ufunuo 13,17 Danieli 7:25 na 2Thesalonike 2:2-4.

ubarikiwe kwa kusoma

View attachment 1764282
Umeandika upumbavu.
 
Hapo kwenye kuabudu masanamu wakatoliki hawawezi kukupa majibu na ukiendelea kuuliza wanaweza kukupiga ngumi ya pua kama sio ya jicho,
Huwezi kuzisoma amri za Mungu halafu hapo hapo ukakiuka tena amri ya pili tu,

Kifupi waumini wao wanajua fika kua wanadanganywa ila wakiwaza kua usiposhiriki kanisani na jumuiya ukifa hawakuziki basi inabidi wajikaze tu.
 
Hizi dini zilizoanzishwa na vikundi vya watu uchochoroni, zimejikita sana kwenye majungu.
Huwezi kuta dini kubwa kama Islamic, roman catholic zinapoteza muda kujadili iman za watu wengine
Tena hao wasabato wamejikita sana kusoma umbea wa elen G white na hadithi zake za uongo kuhusu Freeman

Usabato ndio ufreemason na wanatumika kuvurga dini nyingine
 
Back
Top Bottom