Freemasons na siri ya namba 255

Freemasons na siri ya namba 255

Freemasons ni kikundi cha siri kinacho ratibu na kuongoza kila kitu katika hii dunia. Kikundi hicho cha siri huratibu mambo yake kwa kushirikiana na baadhi ya wawakilishi wake wachache katika kila nchi. Unaweza kuona mambo yakiwa yanaendelea kutokea katika dunia kama kawaida lakini kuna siri kubwa iliyo nyuma ya pazia, amini nakwambia kwamba mambo hayo hayajiendei yenyewe, bali wapo wanayofanya mambo hayo yaende kama yalivyo. Freemasonry kikundi cha siri huratibu mambo yote nyuma ya pazia.

Freemasons hutumia code za siri zilizofichika nyuma ya jambo unaloliona la kawaida ama kudhani kwamba limetokea kwa bahati nasibu tu, si hivyo bali ni mipango kabambe iliyosukwa kwa ajili ya kutekeleza azma yao ya kuongoza na kuitawala dunia kwa siri kubwa huku wakitekeleza malengo yao waliyo yakusudia.

Siri ya Namba 255
Namba 255 ni utambulisho wa nchi ya Tanzania kwenye upigaji wa simu za kimataifa, kwa mfano kama mtu akipiga simu kutoka nje ya Tanzania basi atalazimika kuanza na +255 na kisha kuendelea na namba nyingine, hivyo kwa lugha nyingine naweza kusema namba hii ndio utambulisho wa nchi ya Tanzania kimataifa.

Je, unadhani imekuwa ni coincidence kwa nchi ya Tanzania kupewa namba hii 255 yenye maajabu ya kila namna? La hasha, namba hii imetolewa wakijua fika siri iliyopo kwenye namba hii na hivyo kupitia namba hii 255 taifa la Tanzania limewekwa kwenye mikono ya freemasons.

Katika freemasonry, namba zina maana maalum na mara nyingi hutumika kuwakilisha dhana ya kimaadili na kiroho iliyofichika. angalia uchambuzi huu wa namba hii 255.

Mfumo wa Computer
Katika mfumo wa computer taarifa huwekwa kwa mfumo wa bytes, na kwahivyo namba 255 ni namba ya mwisho (maximum) inayoweza kuwakilishwa na byte moja (8 bits). Kwa mfano katika Computer byte moja inaweza kuwa na thamani yoyote kati ya 0 hadi 255. Hapo tunaona kwamba namba 255 inamaanisha ukamilifu na utoshelevu.

Katika mfumo rangi wa RGB (Red, Green, Blue) katika computer, thamani ya juu kabisa katika rangi ni 255. Code ya RGB (255,255,255) inawakilisha rangi nyeupe. kwahivyo inaonyesha kwamba namba 255 ni namba kubwa na yenye heshima kwa sababu rangi nyeupe ni rangi ya juu kabisa ikiwakilisha mchanganyiko wa rangi zote zilizopo duniani.

Katika Mahesabu
Ukichukua 2+5+5 = 12: Namba 12 ina umuhimu mkubwa katika mafundisho ya freemasonry, ikiwa na maana ya ukamilifu na utaratibu (Kama vile mwaka una miezi 12 na makabila 12 ya wana wa Israeli). Hivyo hapa kwa muktadha huu tumeona pia namba hii 255 ikionesha ukamilifu na utoshelevu.

Ukichukua namba 12 na kuichambua utapata 1 na 2, sasa 1+2=3: hapa tunapata siri nyingine iliyofichika kwenye namba hii 255, kwani namba 3 ni mojawapo ya namba muhimu katika freemasonry, inawakilisha utatu na ushirikiano ya nguvu tatu kuu yaani Hekima Nguvu na Uzuri, ama utatu mtakatifu katika ukristo.

Hitimisho
Kwa hivyo kupitia namba hii 255 tumeona kwamba namba hii inawakilisha taifa la Tanzania na namba hii ni namba iliyotolewa na freemasons kuwakilisha tabia na sifa za taifa hili la Tanzania. Kwa maana halisi ni kwamba namba hii imebeba ukamilifu na utoshelevu, kuna mambo mengi ya siri sijaweza kuyaeleza kwenye uzi huu kutokana na unyeti wake.

Nakaribisha maoni na maswali.
Mi naomba nkutukane. We ni FALA
 
Mtoa mada,
Mambo uliyoyaeleza kuhusuana na namba 255 kwa nini umeya associate ya freemasonry??
1. Rangi nyeupe ina maana pia katika ulimwengu wa nuru
2. Namba 3 pia ina maana katika ulimwengu wa nuru, ikiwakilisha utatu mtakatifu
3. Namba 12 pia ina maana katika ulimwengu wa nuru.. nenda kasome historia ya wana wa Israel.

Hivyo, sijaona hoja yakinifu ya kuhusisha na mambo ya freemasonry

Mwisho kabisa, hata kama ni kweli, Why Tanzania!?? Elezea tukuelewe
 
Freemasons ni kikundi cha siri kinacho ratibu na kuongoza kila kitu katika hii dunia. Kikundi hicho cha siri huratibu mambo yake kwa kushirikiana na baadhi ya wawakilishi wake wachache katika kila nchi. Unaweza kuona mambo yakiwa yanaendelea kutokea katika dunia kama kawaida lakini kuna siri kubwa iliyo nyuma ya pazia, amini nakwambia kwamba mambo hayo hayajiendei yenyewe, bali wapo wanayofanya mambo hayo yaende kama yalivyo. Freemasonry kikundi cha siri huratibu mambo yote nyuma ya pazia.

Freemasons hutumia code za siri zilizofichika nyuma ya jambo unaloliona la kawaida ama kudhani kwamba limetokea kwa bahati nasibu tu, si hivyo bali ni mipango kabambe iliyosukwa kwa ajili ya kutekeleza azma yao ya kuongoza na kuitawala dunia kwa siri kubwa huku wakitekeleza malengo yao waliyo yakusudia.

Siri ya Namba 255
Namba 255 ni utambulisho wa nchi ya Tanzania kwenye upigaji wa simu za kimataifa, kwa mfano kama mtu akipiga simu kutoka nje ya Tanzania basi atalazimika kuanza na +255 na kisha kuendelea na namba nyingine, hivyo kwa lugha nyingine naweza kusema namba hii ndio utambulisho wa nchi ya Tanzania kimataifa.

Je, unadhani imekuwa ni coincidence kwa nchi ya Tanzania kupewa namba hii 255 yenye maajabu ya kila namna? La hasha, namba hii imetolewa wakijua fika siri iliyopo kwenye namba hii na hivyo kupitia namba hii 255 taifa la Tanzania limewekwa kwenye mikono ya freemasons.

Katika freemasonry, namba zina maana maalum na mara nyingi hutumika kuwakilisha dhana ya kimaadili na kiroho iliyofichika. angalia uchambuzi huu wa namba hii 255.

Mfumo wa Computer
Katika mfumo wa computer taarifa huwekwa kwa mfumo wa bytes, na kwahivyo namba 255 ni namba ya mwisho (maximum) inayoweza kuwakilishwa na byte moja (8 bits). Kwa mfano katika Computer byte moja inaweza kuwa na thamani yoyote kati ya 0 hadi 255. Hapo tunaona kwamba namba 255 inamaanisha ukamilifu na utoshelevu.

Katika mfumo rangi wa RGB (Red, Green, Blue) katika computer, thamani ya juu kabisa katika rangi ni 255. Code ya RGB (255,255,255) inawakilisha rangi nyeupe. kwahivyo inaonyesha kwamba namba 255 ni namba kubwa na yenye heshima kwa sababu rangi nyeupe ni rangi ya juu kabisa ikiwakilisha mchanganyiko wa rangi zote zilizopo duniani.

Katika Mahesabu
Ukichukua 2+5+5 = 12: Namba 12 ina umuhimu mkubwa katika mafundisho ya freemasonry, ikiwa na maana ya ukamilifu na utaratibu (Kama vile mwaka una miezi 12 na makabila 12 ya wana wa Israeli). Hivyo hapa kwa muktadha huu tumeona pia namba hii 255 ikionesha ukamilifu na utoshelevu.

Ukichukua namba 12 na kuichambua utapata 1 na 2, sasa 1+2=3: hapa tunapata siri nyingine iliyofichika kwenye namba hii 255, kwani namba 3 ni mojawapo ya namba muhimu katika freemasonry, inawakilisha utatu na ushirikiano ya nguvu tatu kuu yaani Hekima Nguvu na Uzuri, ama utatu mtakatifu katika ukristo.

Hitimisho
Kwa hivyo kupitia namba hii 255 tumeona kwamba namba hii inawakilisha taifa la Tanzania na namba hii ni namba iliyotolewa na freemasons kuwakilisha tabia na sifa za taifa hili la Tanzania. Kwa maana halisi ni kwamba namba hii imebeba ukamilifu na utoshelevu, kuna mambo mengi ya siri sijaweza kuyaeleza kwenye uzi huu kutokana na unyeti wake.

Nakaribisha maoni na maswali.
Hizi zote ni habari za kupangwa na watu tu.

Hapa huna a naturally occuring ratio hata moja.
 
Mtoa mada natamani nikupe mwangaza na ukweli kuhusu Freemasonry, lakini siruhusiwi kwa sababu nilisha apa kiapo kuwa ibaki Siri, siwezi kutoa Siri au kufanya yale makosa ya makusudi kama Steven Charles kanumba. Pia wewe ni raia wa kawaida hivyo hupaswi kujua haya mambo mazito katika ulimwengu wa Siri.
 
Mtoa mada natamani nikupe mwangaza na ukweli kuhusu Freemasonry, lakini siruhusiwi kwa sababu nilisha apa kiapo kuwa ibaki Siri, siwezi kutoa Siri au kufanya yale makosa ya makusudi kama Steven Charles kanumba. Pia wewe ni raia wa kawaida hivyo hupaswi kujua haya mambo mazito katika ulimwengu wa Siri.
Unamtisha Sio?
 
Tanzania ni taifa ni taifa Baba au taifa teule la Muumba baada ya Israel au mashariki ya kati kumkataa Yesu, na vikundi vyote vya siri (falme na mamlaka) vinajua ila havisemi ili watu waendlee kuamini uongo.

Mathayo 21:43
Kwa sababu hiyo nawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake.
 
Tanzania ni taifa ni taifa Baba au taifa teule la Muumba baada ya Israel au mashariki ya kati kumkataa Yesu, na vikundi vyote vya siri (falme na mamlaka) vinajua ila havisemi ili watu waendlee kuamini uongo.

Mathayo 21:43
Kwa sababu hiyo nawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake.
[emoji1787]
 
Tanzania ni taifa ni taifa Baba au taifa teule la Muumba baada ya Israel au mashariki ya kati kumkataa Yesu, na vikundi vyote vya siri (falme na mamlaka) vinajua ila havisemi ili watu waendlee kuamini uongo.

Mathayo 21:43
Kwa sababu hiyo nawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake.
Kama kweli Tanzania ni taifa teule lakini tupo hivi siku akitukataa itakuwaje sasa?taifa teule haiwezi kuwa na wananchi wenye ujinga mwingi kiasi hiki😂😂😂
 
Kama kweli Tanzania ni taifa teule lakini tupo hivi siku akitukataa itakuwaje sasa?taifa teule haiwezi kuwa na wananchi wenye ujinga mwingi kiasi hiki😂😂😂
Muumba haangalii kama watu na wanadamu wasngaliavyo ndo maana akasema.

1korintho 1:27
27 bali Mungu aliyachagua mambo mapumbavu ya dunia awaaibishe wenye hekima; tena Mungu alivichagua vitu dhaifu vya dunia ili aviaibishe vyenye nguvu;

28 tena Mungu alivichagua vitu vinyonge vya dunia na vilivyodharauliwa, naam, vitu ambavyo haviko, ili avibatilishe vile vilivyoko;

29 mwenye mwili awaye yote asije akajisifu mbele za Mungu.



[emoji1787]
 
Back
Top Bottom