Freemasons ndani ya Makanisa

Freemasons ndani ya Makanisa

Kma hujui kitu ni bora kuuliza mana hapa inaonesha ni jinisi gni ulivokua huujui Uislamu hlf nilikwambia ww unakua na majibu yko tyr ndo mna hutki kunielewa

haya sasa tuje apo uliposema kuhusu izo aya saba
Aya saba zenye kusomwa mara kwa mara ni Suratul fatiha ambayo inasomwa kwenye kila swala na kwenye kila rakaa

Nikuulize swali dogo tuu
Ni zipi aya alizoshushiwa mtume mwanzo?q

hlf kma untka kuelimishwa kuhusu Uislamu sema ufundishwe sio unakaririshwa chuki uko hlf unameza kma zilivo
Jamaa ni mweupe sana kuna sehemu huko kamezeshwa mambo anakuja kujiaibisha huku
 
bado historia huifahamu au unajichanganya

Wote Waorthodoksi ni Wakristo, lakini sio Wakristo wote ni Waorthodoksi. Wafuasi, wameunganishwa na kukiri kwa dini hii ya ulimwengu, wamegawanywa kwa sehemu ya mwelekeo wake tofauti, ambayo moja ni Orthodoxy. Kuelewa jinsi Orthodoxy inatofautiana na Ukristo, lazima mtu ageukie historia ya kuibuka kwa dini ya ulimwengu.


Tofauti kubwa katika maoni ya kijamii, kisiasa na kidini yalisababisha kutengwa kwa dini moja kuwa Katoliki Katoliki na Orthodox, ambayo mwanzoni iliitwa Katoliki ya Mashariki. Kichwa cha kanisa la kwanza alikuwa Papa, wa pili alikuwa mzalendo. Kutengwa kwao kwa kila mmoja kutoka kwa imani ya kawaida kulisababisha mgawanyiko wa Ukristo. Mchakato huo ulianza mnamo 1054 na kumalizika mnamo 1204 na kuanguka kwa Konstantinople.


KWAHIYO UKATOLIKI ULIKUWEPO ,ILA ULIKUJA KUGAWANYIKA

ORTHODOX NA ROMAN CATHOLIC NI DUGU MOJA, NDIO MAANA KUNA WAKATOLIKI WA ORTHODOX


BI KHADIJA KABLA YA KUSILIMU ALIKUWA DINI GANI NA DHEHEBU GANI?
Hii yako ni kwa mujibu wa wakatoliki wa roma..........nenda kwa wa orthodox utaambiwa kitu tofauti kabisa..........jua kwanza maana ya hayo maneno catholic na orthodox....kila kitu kipo humo..........kila eneo lilikua na askofu wake mkuu na hadi sasa hiko kitu kinaendelea kwenye katoliki ya orthodox askofu(papa) wa afrika hana mamlaka kabisa na askofu (papa) wa ulaya, hio ya papa wa roma kua na nguvu kwenye kanisa lote ni mifumo ya warumi ambayo ndo walikua wanataka kuilazimisha kwenye kanisa la mwanzo kabisa wenzao wakaamua kutengana nao na hadi sasa mkatoliki wa orthodox yeyote anaamini warumi ni wakristo waliotoka kwenye ukweli na wao ndo wanaoshikilia ukweli wa kanisa la mwanzo na ndio maana wakajiita orthodox...................
Hapo kwa Khadija kwa miaka hio kama alikua ni mkristo alikua ni katoliki ila sio katoliki ya roma maana hayo maeneo hadi kwa sasa ni ngome za orthodox
 
SI KWELI UNADANGANYA, PAULO MAFUNDISHO YKAE NI KWA MATAIFA., LEO KWAKUWA TU YANAENDA KINYUME NA MNACHOFNAYA UNADAI HAYAWAHUSU,


SASA HUKO KUNENA MNAKOFANYA LEO MMEKUTOA WAPI? MBON AHATUONI KWENYE MAANDIKO

AU NAPO HAPAWAHUSU ....

Haya maandiko unayazungumziaje maana wasamaria nao walikuwa mataifa
MATENDO 8
14 Na mitume waliokuwako Yerusalemu, waliposikia ya kwamba Samaria imelikubali neno la Mungu, wakawapelekea Petro na Yohana;

15 ambao waliposhuka, wakawaombea wampokee Roho Mtakatifu;

16 kwa maana bado hajawashukia hata mmoja wao, ila wamebatizwa tu kwa jina lake Bwana Yesu.

17 Ndipo wakaweka mikono yao juu yao, nao wakampokea Roho Mtakatifu.


Sijaona sehemu hapo imeandikwa wakaweka mikono yao juu ya watu watatu tu.
 
Random bullshit from Sda, japo mmezunguka sana ila lengo kuu ilikua kwa Wakatoliki. Endeeleni kutanadama RC maana bila kufanya hivyo nyie si lolote🤗
Hakuna dhehebu la hovyo kama wasabato badala ya kuhubiri ufalme wa Mungu wako bize kuattack madhehebu mengine, kipindi Niko o level nilikua narafiki yangu ni msabato nilikua naudhuhuria lesson ni kuuponda ukatoliki na wanaosali jumapili mwanzo mwisho hakuna kipya wanachojifunza

Mpaka unajiuliza unapata faida mbona Kuna mambo mengi ya kuhubiri, wanapoteza mda kuwaongelea freemasons ni kukubali kwamba wananguvu sana kitu ambacho sio kweli kwa wanao muamin Mungu
 
KWAHIYO HUU UTARATIBU WENU WA KUNENA MMEUTOA WPI IKIWA KUPITIA PAULO MNADAI HAUWAHUSU ULIWAHUSU ALIOWAANDIKIA

AWALI ULIKIMBILIA PALE SIKU YA PENTECOSTE, LAKINI PALE ILIKUWA NI KWA KUSUDI MAALUMU NA UTARATIBU WA PALE NI TOFAUTI NA TUKIONACHO LEO


“Na walikuwako Yerusalemu Wayahudi wakikaa, watu watauwa, watu wa kila taifa chini ya mbingu.” “Waparthi na Wamedi na Waelami, nao wakaao Mesopotamia, Uyahudi na Kapadokia, Ponto na Asia, Frigia na Pamflia, Misri na pande za Libia karibu na Kirene, na wageni watokao Rumi, Wayahudi na waongofu, Wakrete na Waarabu.” Mdo. 2:5,9-11.

Walikuwepo watu wa kabila nyingi na Mungu alitaka kila mtu asikie na kuelewa ujumbe uliokuwa ukitolewa na Mitume. Hatimaye watu hawa wangerudi makwao wakiwa na Habari Njema ya wokovu.

Kwahiyo unamaanisha kunena kwa lugha ya Roho Mtakatifu hapo ni kunena kwa lugha ya makabila haya ya kwetu au makabila ya wapi? Hebu fafanua kwanza hapo halafu nije na mimi kukujibu vizuri.
 
wewe huna hoja ila unamatusi na jazba,uliyoongea , huna ushahidi nikikwambia leta
Ninazo, Usabato umeundwa na machizi, kwa ajili ya machizi na ni UCHIZI, conspiracy theories kibao. Hujiulizi kwa nini mnafundishwa chuki dhidi ya kanisa la kweli? hamjui ata historia ya kanisa, mpo na ma conspiracy ya manabii wa uongo. Kina Hellen kutwa kutabiri mwisho wa dunia na haukutokea kwa tarehe zao, ni chizi tu ndio atawaelewa wasabato.
 
Hakuna dhehebu la hovyo kama wasabato badala ya kuhubiri ufalme wa Mungu wako bize kuattack madhehebu mengine, kipindi Niko o level nilikua narafiki yangu ni msabato nilikua naudhuhuria lesson ni kuuponda ukatoliki na wanaosali jumapili mwanzo mwisho hakuna kipya wanachojifunza

Mpaka unajiuliza unapata faida mbona Kuna mambo mengi ya kuhubiri, wanapoteza mda kuwaongelea freemasons ni kukubali kwamba wananguvu sana kitu ambacho sio kweli kwa wanao muamin Mungu
Yani wao ni mawakala wa shetani haswa, Hawajui ata historia yao. Waulize james smith ni nani? na alikuwa freemason tena anajulikana ni freemason, wao sasa wanajikuta wanajuaaa.
 
Haya maandiko unayazungumziaje maana wasamaria nao walikuwa mataifa
MATENDO 8
14 Na mitume waliokuwako Yerusalemu, waliposikia ya kwamba Samaria imelikubali neno la Mungu, wakawapelekea Petro na Yohana;

15 ambao waliposhuka, wakawaombea wampokee Roho Mtakatifu;

16 kwa maana bado hajawashukia hata mmoja wao, ila wamebatizwa tu kwa jina lake Bwana Yesu.

17 Ndipo wakaweka mikono yao juu yao, nao wakampokea Roho Mtakatifu.


Sijaona sehemu hapo imeandikwa wakaweka mikono yao juu ya watu watatu tu.
TUNAZUNGUMZIA KARAMA YA KUNENA KWA LUGHA, USIBADILI MADA JOMBA

HUKO KUNENA MNAKOFANYA LEO MMEKUTOA WAPI? MBON AHATUONI KWENYE MAANDIKO

AU NAPO HAPAWAHUSU .
 
Kwahiyo unamaanisha kunena kwa lugha ya Roho Mtakatifu hapo ni kunena kwa lugha ya makabila haya ya kwetu au makabila ya wapi? Hebu fafanua kwanza hapo halafu nije na mimi kukujibu vizuri.
MBONA MADA IPO WAZI, JIBU MASWALI NILIYOKUULIZA ,MBONA UNAKIMBIA MASWALI

SASA KAMA HAYO MAKABILA WALIELEWA LUGHA ZAO , UNADHANI NI LUGHA GANI HIZO? NI HIZI SHIKAROBOBOSHIKASHIKKKK?


JIBU MASWALI

SASA HUKO KUNENA MNAKOFANYA LEO MMEKUTOA WAPI? MBON AHATUONI KWENYE MAANDIKO

AU NAPO HAPAWAHUSU .
 
Yani wao ni mawakala wa shetani haswa, Hawajui ata historia yao. Waulize james smith ni nani? na alikuwa freemason tena anajulikana ni freemason, wao sasa wanajikuta wanajuaaa.
INAONESHA JINSI GANI ULIVYO MWEUPE, NILITAKA KUKU IGNORE ILA NGOJA NIKUJIBU , JOSEPH SMITH NA USABATO WAPI NA WAPI?


KWENYE MADA NIMEMGUSIA JOSEPH SMITH KAMA MWANZILISH WA KANISA LA MORMON, SASA SMITH NA SDA WAPI NA WAPI....NDIO MAANA NIMEAMUA KUKU IGNORE
 
Hapo kwa Khadija kwa miaka hio kama alikua ni mkristo alikua ni katoliki ila sio katoliki ya roma maana hayo maeneo hadi kwa sasa ni ngome za orthodox
ulichokuwa unabisha nini? halafu unajitapa mimi ni mweupe, leta ushahidi sasa kuwa khadija alikuwa mkatoliki wa ordhodox, sio maneno yako tu,


Nukuu muhimu tunayoweza
kuichukua kutoka kwa Ignatius wa Loyola ni hii:
“That we may be altogether of the same mind and in conformity with the Church herself,
if she shall have defined anything to be black which appears to our eyes to be white, we
ought in like manner to pronounce it to be black. For we must undoubtingly believe, that
the Spirit of our Lord Jesus Christ, and the Spirit of the Orthodox Church His Spouse, by
which Spirit we are governed and directed to Salvation, is the same.” [Ignatius Loyola,
Spiritual Exercises, Rule 13 Henry Bettenson, ed., Documents of the Christian Church,
2nd ed. (London: Oxford University Press, 1963), p. 260.]

“Kwamba wote tuwe na nia moja na kukubaliana na kanisa, kama limetafsiri kitu
chochote kuwa ni cheusi wakati kinaonekana machoni mwetu kuwa ni cheupe, tunapaswa
kukitangaza kuwa ni cheusi. Maana bila shaka tunapaswa kuamini, kwamba roho wa
bwana wetu Yesu kristo, na roho wa kanisa la Orthodox ndugu yake, roho ambaye
anatuongoza katika wokovu, ni yule yule.” [Ignatius Loyola, Spiritual Exercises, Rule 13
Henry Bettenson, ed., Documents of the Christian Church, 2nd ed. (London: Oxford
University Press, 1963), p. 260.]
Kwa mujibu wa Ignatius Loyola, kanisa Katoliki na kanisa la Orthodox ni ndugu
mmoja na wote wanaongozwa na roho mmoja.
 
Yani wao ni mawakala wa shetani haswa, Hawajui ata historia yao. Waulize james smith ni nani? na alikuwa freemason tena anajulikana ni freemason, wao sasa wanajikuta wanajuaaa.
wewe nitakupuuza maana huna ukijuacho, umejaa chuki dhidi ya wasabato ,na utakufa na hiyo chuki

joseph smith sio msabato wala hajawahi kuwa msabato, huyo ni msali jumapili, mwanzilishi wa mormon church, kutoka freemason ,aliyekudanganya alikuwa msabato kamuulize vzr

Joseph Smith Jr. (December 23, 1805 – June 27, 1844) was an American religious leader and founder of Mormonism and the Latter Day Saint movement.
 
Kwahiyo unamaanisha kunena kwa lugha ya Roho Mtakatifu hapo ni kunena kwa lugha ya makabila haya ya kwetu au makabila ya wapi? Hebu fafanua kwanza hapo halafu nije na mimi kukujibu vizuri.
ulivyokuja mbio mbio kutetea huku kunena kwa lugha za mashetani kufanywko leo na walokole ka kina mwamposa , n.k nikaweka kambi , nikakupa maandiko ulipoona yanakubana umelala mbele , sasa hivi unataka kubadili mada yale maswali uyakimbie, maana huo utaratibu haujui umetoka wapi
 
Haya maandiko unayazungumziaje maana wasamaria nao walikuwa mataifa
MATENDO 8
14 Na mitume waliokuwako Yerusalemu, waliposikia ya kwamba Samaria imelikubali neno la Mungu, wakawapelekea Petro na Yohana;

15 ambao waliposhuka, wakawaombea wampokee Roho Mtakatifu;

16 kwa maana bado hajawashukia hata mmoja wao, ila wamebatizwa tu kwa jina lake Bwana Yesu.

17 Ndipo wakaweka mikono yao juu yao, nao wakampokea Roho Mtakatifu.


Sijaona sehemu hapo imeandikwa wakaweka mikono yao juu ya watu watatu tu.
NAJUA UNATAKA KUKIMBIA MASWALI,YANGU HILO NALIJUA KABISA ULIKUJA MBIO MBIO NIKAFURAHI TUFANYE MJADALA CHA AJABU MASWLI UMEGOM AKUJIBU, NA ULIKUWA UNADAI NIULIZE TU

Kwanza karama ya kunena kwa lugha sio kila mtu anayo kama tuonavyo kwenu, na utaratibu wake umeelezwa vzr na paulo, wewe unaleta maandiko yasiyohusihana kabisa


“Lakini kila mmoja hupewa ufunuo wa Roho kwa kufaidiana. Maana mtu mmoja kwa Roho apewa neno la hekima; na mwingine neno la maarifa, apendavyo Roho yeye yule; mwingine imani katika Roho yeye yule; na mwingine karama za kuponya katika Roho yule mmoja; na mwingine matendo ya miujiza; na mwingine unabii; na mwingine kupambanua roho; mwingine aina za lugha; na mwingine tafsiri za lugha.” 1 Kor. 12:7-10.

Je, waumini wote hupata karama moja tu?​

“Lakini kazi hizi zote huzitenda Roho huyo mmoja, yeye yule, akimgawia kila mtu peke yake kama apendavyo yeye.” “Je! wote ni mitume? wote ni manabii? wote ni waalimu? wote wanatenda miujiza? wote wana karama za kuponya wagonjwa? wote wanena kwa lugha? wote wafasiri? Takeni sana karama zilizo kuu. Hata hivyo nawaonyesha njia iliyo bora.” “Nijaposema kwa lugha za wanadamu na za malaika, kama sina upendo, nimekuwa shaba iliayo na upatu uvumao. Tena nijapokuwa na unabii, na kujua siri zote na maarifa yote, nijapokuwa na imani timilifu kiasi cha kuweza kuhamisha milima, kama sina upendo, si kitu mimi. Tena nikitoa mali zangu zote kuwalisha maskini, tena nikijitoa mwili wangu niungue moto, kama sina upendo, hainifaidii kitu.” 1 Kor. 12:11, 29-31; 13:1-3.

Roho Mtakatifu hugawa karama kwa kila mtu kama apendavyo yeye, lakini hawapatii watu wote karama moja, zinatofautiana.
 
INAONESHA JINSI GANI ULIVYO MWEUPE, NILITAKA KUKU IGNORE ILA NGOJA NIKUJIBU , JOSEPH SMITH NA USABATO WAPI NA WAPI?


KWENYE MADA NIMEMGUSIA JOSEPH SMITH KAMA MWANZILISH WA KANISA LA MORMON, SASA SMITH NA SDA WAPI NA WAPI....NDIO MAANA NIMEAMUA KUKU IGNORE
William Miller je? moja wa founders wa adventist movement. Hamsomi historia yenu ee. Nyie ndio mashetani hasa.
 
Kama hadi hapo hujajua ni ipi we rudi kwenye vitini vyako
muislamu na injili wapi na wapi?

BAADA YA KIFO CHA MUHAMMAD ABDULLAH MUTTALIB MWAKA 632/633 MASWAHABA WALIVIFUTA HIVYO VITABU VYOTE
✔
TORATI
✔
INJILI
✔
ZABURI
NA VITABU VYA MANABII WENGINE NA. MITUME
USHAHIDI HUU HAPA MASWAHABA WALIONDOA VITABU VYA TORATI, ZABURI, INJILI NA VITABU VYA MANABII NA VITABU WENGINE NDANI YA QUR-AN:
✔
QURAN 2:107 Aya yo yote Tunayoifuta au kuisahaulisha Tunaleta iliyo bora kuliko ile au iliyo mfano wake; je, hujui kwamba Mwenyezi Mungu Anao uwezo juu ya kila kitu?(MAULAWI SHER ALI 1945)
Swali kama maswahaba hawakufuta hivyo vitabu nambie Je Allah Swt ndiye alifuta vitabu na aya kwa MJIBUWA QURAN 2:107? Na alifuta akiwa wapi na kwa nini asahau aya za vitabu? Maana Nabii Yeremia aliwatabiri watu kama nyinyi
YEREMIA 8:8 Mwasemaje, Sisi tuna akili, na torati ya Bwana tunayo pamoja nasi? Lakini, tazama, kalamu yenye uongo ya waandishi imeifanya kuwa uongo.
👆
👆
👆
👆
👆
👆

NAOMBA VITABU HIVI NDANI YA. QURAN YENU NA TUONYESHE VINA SURA NGAPI KILA KIMOJA? KWENYE QURAN YENYE SURA 114?
✔
Torati
✔
Injili
✔
Zaburi


ASALAAM ALEIKUM
1644404956725.png
 
William Miller je? moja wa founders wa adventist movement. Hamsomi historia yenu ee. Nyie ndio mashetani hasa.
umeshakimbilia tena kwa william miller, huyo hadi anakufa ni mbaptist, rudi kwa anayekudanganya akueleze vzr,na hakuwahi kuwa freemason, wewe ni wakupuuzwa hujui unachosimamia , unakomaa smith alikuwa sda, wakati kafariki 1884, ngoja niwajibu wenzako
 
Back
Top Bottom