Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Jamaa ni mweupe sana kuna sehemu huko kamezeshwa mambo anakuja kujiaibisha hukuKma hujui kitu ni bora kuuliza mana hapa inaonesha ni jinisi gni ulivokua huujui Uislamu hlf nilikwambia ww unakua na majibu yko tyr ndo mna hutki kunielewa
haya sasa tuje apo uliposema kuhusu izo aya saba
Aya saba zenye kusomwa mara kwa mara ni Suratul fatiha ambayo inasomwa kwenye kila swala na kwenye kila rakaa
Nikuulize swali dogo tuu
Ni zipi aya alizoshushiwa mtume mwanzo?q
hlf kma untka kuelimishwa kuhusu Uislamu sema ufundishwe sio unakaririshwa chuki uko hlf unameza kma zilivo
Hii yako ni kwa mujibu wa wakatoliki wa roma..........nenda kwa wa orthodox utaambiwa kitu tofauti kabisa..........jua kwanza maana ya hayo maneno catholic na orthodox....kila kitu kipo humo..........kila eneo lilikua na askofu wake mkuu na hadi sasa hiko kitu kinaendelea kwenye katoliki ya orthodox askofu(papa) wa afrika hana mamlaka kabisa na askofu (papa) wa ulaya, hio ya papa wa roma kua na nguvu kwenye kanisa lote ni mifumo ya warumi ambayo ndo walikua wanataka kuilazimisha kwenye kanisa la mwanzo kabisa wenzao wakaamua kutengana nao na hadi sasa mkatoliki wa orthodox yeyote anaamini warumi ni wakristo waliotoka kwenye ukweli na wao ndo wanaoshikilia ukweli wa kanisa la mwanzo na ndio maana wakajiita orthodox...................bado historia huifahamu au unajichanganya
Wote Waorthodoksi ni Wakristo, lakini sio Wakristo wote ni Waorthodoksi. Wafuasi, wameunganishwa na kukiri kwa dini hii ya ulimwengu, wamegawanywa kwa sehemu ya mwelekeo wake tofauti, ambayo moja ni Orthodoxy. Kuelewa jinsi Orthodoxy inatofautiana na Ukristo, lazima mtu ageukie historia ya kuibuka kwa dini ya ulimwengu.
Tofauti kubwa katika maoni ya kijamii, kisiasa na kidini yalisababisha kutengwa kwa dini moja kuwa Katoliki Katoliki na Orthodox, ambayo mwanzoni iliitwa Katoliki ya Mashariki. Kichwa cha kanisa la kwanza alikuwa Papa, wa pili alikuwa mzalendo. Kutengwa kwao kwa kila mmoja kutoka kwa imani ya kawaida kulisababisha mgawanyiko wa Ukristo. Mchakato huo ulianza mnamo 1054 na kumalizika mnamo 1204 na kuanguka kwa Konstantinople.
KWAHIYO UKATOLIKI ULIKUWEPO ,ILA ULIKUJA KUGAWANYIKA
ORTHODOX NA ROMAN CATHOLIC NI DUGU MOJA, NDIO MAANA KUNA WAKATOLIKI WA ORTHODOX
BI KHADIJA KABLA YA KUSILIMU ALIKUWA DINI GANI NA DHEHEBU GANI?
SI KWELI UNADANGANYA, PAULO MAFUNDISHO YKAE NI KWA MATAIFA., LEO KWAKUWA TU YANAENDA KINYUME NA MNACHOFNAYA UNADAI HAYAWAHUSU,
SASA HUKO KUNENA MNAKOFANYA LEO MMEKUTOA WAPI? MBON AHATUONI KWENYE MAANDIKO
AU NAPO HAPAWAHUSU ....
Hakuna dhehebu la hovyo kama wasabato badala ya kuhubiri ufalme wa Mungu wako bize kuattack madhehebu mengine, kipindi Niko o level nilikua narafiki yangu ni msabato nilikua naudhuhuria lesson ni kuuponda ukatoliki na wanaosali jumapili mwanzo mwisho hakuna kipya wanachojifunzaRandom bullshit from Sda, japo mmezunguka sana ila lengo kuu ilikua kwa Wakatoliki. Endeeleni kutanadama RC maana bila kufanya hivyo nyie si lolote🤗
KWAHIYO HUU UTARATIBU WENU WA KUNENA MMEUTOA WPI IKIWA KUPITIA PAULO MNADAI HAUWAHUSU ULIWAHUSU ALIOWAANDIKIA
AWALI ULIKIMBILIA PALE SIKU YA PENTECOSTE, LAKINI PALE ILIKUWA NI KWA KUSUDI MAALUMU NA UTARATIBU WA PALE NI TOFAUTI NA TUKIONACHO LEO
“Na walikuwako Yerusalemu Wayahudi wakikaa, watu watauwa, watu wa kila taifa chini ya mbingu.” “Waparthi na Wamedi na Waelami, nao wakaao Mesopotamia, Uyahudi na Kapadokia, Ponto na Asia, Frigia na Pamflia, Misri na pande za Libia karibu na Kirene, na wageni watokao Rumi, Wayahudi na waongofu, Wakrete na Waarabu.” Mdo. 2:5,9-11.
Walikuwepo watu wa kabila nyingi na Mungu alitaka kila mtu asikie na kuelewa ujumbe uliokuwa ukitolewa na Mitume. Hatimaye watu hawa wangerudi makwao wakiwa na Habari Njema ya wokovu.
Ninazo, Usabato umeundwa na machizi, kwa ajili ya machizi na ni UCHIZI, conspiracy theories kibao. Hujiulizi kwa nini mnafundishwa chuki dhidi ya kanisa la kweli? hamjui ata historia ya kanisa, mpo na ma conspiracy ya manabii wa uongo. Kina Hellen kutwa kutabiri mwisho wa dunia na haukutokea kwa tarehe zao, ni chizi tu ndio atawaelewa wasabato.wewe huna hoja ila unamatusi na jazba,uliyoongea , huna ushahidi nikikwambia leta
Yani wao ni mawakala wa shetani haswa, Hawajui ata historia yao. Waulize james smith ni nani? na alikuwa freemason tena anajulikana ni freemason, wao sasa wanajikuta wanajuaaa.Hakuna dhehebu la hovyo kama wasabato badala ya kuhubiri ufalme wa Mungu wako bize kuattack madhehebu mengine, kipindi Niko o level nilikua narafiki yangu ni msabato nilikua naudhuhuria lesson ni kuuponda ukatoliki na wanaosali jumapili mwanzo mwisho hakuna kipya wanachojifunza
Mpaka unajiuliza unapata faida mbona Kuna mambo mengi ya kuhubiri, wanapoteza mda kuwaongelea freemasons ni kukubali kwamba wananguvu sana kitu ambacho sio kweli kwa wanao muamin Mungu
Hana hoja uyo zaidi ya chukiJamaa ni mweupe sana kuna sehemu huko kamezeshwa mambo anakuja kujiaibisha huku
TUNAZUNGUMZIA KARAMA YA KUNENA KWA LUGHA, USIBADILI MADA JOMBAHaya maandiko unayazungumziaje maana wasamaria nao walikuwa mataifa
MATENDO 8
14 Na mitume waliokuwako Yerusalemu, waliposikia ya kwamba Samaria imelikubali neno la Mungu, wakawapelekea Petro na Yohana;
15 ambao waliposhuka, wakawaombea wampokee Roho Mtakatifu;
16 kwa maana bado hajawashukia hata mmoja wao, ila wamebatizwa tu kwa jina lake Bwana Yesu.
17 Ndipo wakaweka mikono yao juu yao, nao wakampokea Roho Mtakatifu.
Sijaona sehemu hapo imeandikwa wakaweka mikono yao juu ya watu watatu tu.
MBONA MADA IPO WAZI, JIBU MASWALI NILIYOKUULIZA ,MBONA UNAKIMBIA MASWALIKwahiyo unamaanisha kunena kwa lugha ya Roho Mtakatifu hapo ni kunena kwa lugha ya makabila haya ya kwetu au makabila ya wapi? Hebu fafanua kwanza hapo halafu nije na mimi kukujibu vizuri.
INAONESHA JINSI GANI ULIVYO MWEUPE, NILITAKA KUKU IGNORE ILA NGOJA NIKUJIBU , JOSEPH SMITH NA USABATO WAPI NA WAPI?Yani wao ni mawakala wa shetani haswa, Hawajui ata historia yao. Waulize james smith ni nani? na alikuwa freemason tena anajulikana ni freemason, wao sasa wanajikuta wanajuaaa.
Mimi siwezi kujikweza, kama mm ni mweupe, heri wewe uliye mweusiJamaa ni mweupe sana kuna sehemu huko kamezeshwa mambo anakuja kujiaibisha huku
ulichokuwa unabisha nini? halafu unajitapa mimi ni mweupe, leta ushahidi sasa kuwa khadija alikuwa mkatoliki wa ordhodox, sio maneno yako tu,Hapo kwa Khadija kwa miaka hio kama alikua ni mkristo alikua ni katoliki ila sio katoliki ya roma maana hayo maeneo hadi kwa sasa ni ngome za orthodox
wewe nitakupuuza maana huna ukijuacho, umejaa chuki dhidi ya wasabato ,na utakufa na hiyo chukiYani wao ni mawakala wa shetani haswa, Hawajui ata historia yao. Waulize james smith ni nani? na alikuwa freemason tena anajulikana ni freemason, wao sasa wanajikuta wanajuaaa.
ulivyokuja mbio mbio kutetea huku kunena kwa lugha za mashetani kufanywko leo na walokole ka kina mwamposa , n.k nikaweka kambi , nikakupa maandiko ulipoona yanakubana umelala mbele , sasa hivi unataka kubadili mada yale maswali uyakimbie, maana huo utaratibu haujui umetoka wapiKwahiyo unamaanisha kunena kwa lugha ya Roho Mtakatifu hapo ni kunena kwa lugha ya makabila haya ya kwetu au makabila ya wapi? Hebu fafanua kwanza hapo halafu nije na mimi kukujibu vizuri.
tulia ufundishwe wewe si ulisema uislamu ndio dini ya haki,Hana hoja uyo zaidi ya chuki
NAJUA UNATAKA KUKIMBIA MASWALI,YANGU HILO NALIJUA KABISA ULIKUJA MBIO MBIO NIKAFURAHI TUFANYE MJADALA CHA AJABU MASWLI UMEGOM AKUJIBU, NA ULIKUWA UNADAI NIULIZE TUHaya maandiko unayazungumziaje maana wasamaria nao walikuwa mataifa
MATENDO 8
14 Na mitume waliokuwako Yerusalemu, waliposikia ya kwamba Samaria imelikubali neno la Mungu, wakawapelekea Petro na Yohana;
15 ambao waliposhuka, wakawaombea wampokee Roho Mtakatifu;
16 kwa maana bado hajawashukia hata mmoja wao, ila wamebatizwa tu kwa jina lake Bwana Yesu.
17 Ndipo wakaweka mikono yao juu yao, nao wakampokea Roho Mtakatifu.
Sijaona sehemu hapo imeandikwa wakaweka mikono yao juu ya watu watatu tu.
William Miller je? moja wa founders wa adventist movement. Hamsomi historia yenu ee. Nyie ndio mashetani hasa.INAONESHA JINSI GANI ULIVYO MWEUPE, NILITAKA KUKU IGNORE ILA NGOJA NIKUJIBU , JOSEPH SMITH NA USABATO WAPI NA WAPI?
KWENYE MADA NIMEMGUSIA JOSEPH SMITH KAMA MWANZILISH WA KANISA LA MORMON, SASA SMITH NA SDA WAPI NA WAPI....NDIO MAANA NIMEAMUA KUKU IGNORE
muislamu na injili wapi na wapi?Kama hadi hapo hujajua ni ipi we rudi kwenye vitini vyako
umeshakimbilia tena kwa william miller, huyo hadi anakufa ni mbaptist, rudi kwa anayekudanganya akueleze vzr,na hakuwahi kuwa freemason, wewe ni wakupuuzwa hujui unachosimamia , unakomaa smith alikuwa sda, wakati kafariki 1884, ngoja niwajibu wenzakoWilliam Miller je? moja wa founders wa adventist movement. Hamsomi historia yenu ee. Nyie ndio mashetani hasa.