Freemasons ndani ya Makanisa

Freemasons ndani ya Makanisa

ALIYEKWAMBIA UKISHUKIWA ROHO NDIO UNANENA KWA LUGHA NANI?


KWAHIYO WANAOSHUKIWA NA ROHO MTAKATIFU NDIO WANANENA KWA LUGHA?

MIMI NAZUNGUMZIA KUNENA KWA LUGHA , WEWE UNACHANGANYA MAFAILI ETI KUSHUKIWA ROHO, NI VITU VIWILI TOFAUTI

MATENDO 2
4 Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kusema kwa lugha nyingine, kama Roho alivyowajalia kutamka.

Hiyo ndo shida ya kusoma ili ujibu sio ili usome uelewe. Hayo maandiko hapo juu yanajibu hilo swali lako. Haya leta hoja sasa.
 
MATENDO 2
4 Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kusema kwa lugha nyingine, kama Roho alivyowajalia kutamka.

Hiyo ndo shida ya kusoma ili ujibu sio ili usome uelewe. Hayo maandiko hapo juu yanajibu hilo swali lako. Haya leta hoja sasa.
SIO KILA ANAYEJAZWA ROHO ANANENA KWA LUGHA


UNAELEWA HILO?

Matendo 7:55 NEN - Bible.com​



Lakini yeye Stefano, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, alikaza macho mbinguni, akaona utukufu wa Mungu, na Yesu akiwa amesimama mkono wa kuume wa Mungu.
 
Unaelewa nini maandiko yanapozungumzia
"Kila mmoja akanena kwa lugha mpya kwa kadri roho alivyomjalia kunena".

Unataka kusema Roho Mtakatifu akikujia unapaswa unene kichaga, au kimasai au kisukuma. Hebu taja lugha halisi ambayo ndo inafaa kunena kwa Roho Mtakatifu ambayo kwako unapendekeza ndo sahihi. Au wewe unanena kikabila gani? Na ulishawahi kutafsiriwa?
Wakati huo huo uzingatie kuwa wanafunzi wa Yesu wakati wananena kwa lugha mpya katika siku ya Pentekoste, wale ambao hawakuwa wanafunzi wa Yesu(Wayahudi wa ugenini) waliweza kuelewa kila mtu kwa lugha yake. Je mbona kunena kwa lugha kwa siku hizi si kama si kama siku ya Pentekoste?

TAFAKARI MASWALI YAFUATAYO:-

1)Kama lugha iliyonenwa siku ya pentekoste ndiyo ya sasa mbona tunaponena wenzetu hawatuelewi?
2)Kama lugha iliyonenwa siku ya pentekoste ndio lugha tunayonena leo mbona ni baadhi ya makanisa na ni baadhi ya Wakristo ndio wananena kwa lugha badala ya makanisa yote na wakristo wote kama walivyonena wote siku ya pentekoste?
3) Kama lugha ya pentekoste ndiyo ya nyakati za leo mbona hatuoni ndimi kama za moto?
4) Siku ya pentekoste hawakuwekewa mikono ila Roho aliwashukia tu na wakajawa na Roho na kuanza kunena kwa lugha mpya, baada ya kipindi cha pentekoste kupita waliofuatia kama KORNERIO, WASAMARIA, AKIDA WA ETHIOPIA nk wao waliwekewa mikono na mitume na walipoombewa tu lugha ikaanza ndani yao. Je nyakati za leo ndivyo tunavyoombea watu? Nyakati za leo badala ya kuwaombea wakristo ujazo wa Roho Mtakatifu tunawaombea ili wanene kwa lugha.
 
SIO KILA ANAYEJAZWA ROHO ANANENA KWA LUGHA


UNAELEWA HILO?

Matendo 7:55 NEN - Bible.com​



Lakini yeye Stefano, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, alikaza macho mbinguni, akaona utukufu wa Mungu, na Yesu akiwa amesimama mkono wa kuume wa Mungu.

Kumbuka Stephano pale hakuwa kwenye maombi. Baada ya watu walipojaribu kushindana na hekina aliyonayo Stephano walipomshindwa walimpeleka mahakamani wakimsingizia mambo kadha wa kadha, na ndipo walipomuuliza Stephano je mambo hayo ndivyo yalivyo Stephano akaanza kuhubiri. Kazi moja wapo ya Roho Mtakatifu ni kutuongoza, Stephano yeye tayari alikuwa na Roho Mtakatifu ndani yake akimwongoza. Hakuwa anampokea pale Roho Mtakatifu wala hakuwa kwenye maombi.

Ishara mojawapo kwamba umempokea Roho Mtakatifu au umejazwa Roho Mtakatifu ni kunena kwa lugha, ndo maana nimekuletea ushahidi wale wanafunzi walivyojazwa wote walinena. Ina maana hata Stephano alipohubiriwa kuokoka na kumpokea Roho Mtakatifu kwa mara ya kwanza lazima alinena kwa lugha. Ila pale kwenye Matendo 7 Stephano hakuwa kwenye maombi alikuwa anauawa. Na Roho Mtakatifu alikuwa anamwonyesha mauti yake na ndiyo maana akaanza kusema anaona mbingu zimefunguka, anamwona mwana wa Mungu ameketi mkono wa kuume n.k n.k ndipo wakampiga kwa mawe hadi kufa. Na Sauli (Paulo) alikuwa akishuhudia kabla neema yake ya kuokoka ikiwa bado haikumfikia.
 
Kumbuka Stephano pale hakuwa kwenye maombi. Baada ya watu walipojaribu kushindana na hekina aliyonayo Stephano walipomshindwa walimpeleka mahakamani wakimsingizia mambo kadha wa kadha, na ndipo walipomuuliza Stephano je mambo hayo ndivyo yalivyo Stephano akaanza kuhubiri. Kazi moja wapo ya Roho Mtakatifu ni kutuongoza, Stephano yeye tayari alikuwa na Roho Mtakatifu ndani yake akimwongoza. Hakuwa anampokea pale Roho Mtakatifu wala hakuwa kwenye maombi.

Ishara mojawapo kwamba umempokea Roho Mtakatifu au umejazwa Roho Mtakatifu ni kunena kwa lugha, ndo maana nimekuletea ushahidi wale wanafunzi walivyojazwa wote walinena. Ina maana hata Stephano alipohubiriwa kuokoka na kumpokea Roho Mtakatifu kwa mara ya kwanza lazima alinena kwa lugha. Ila pale kwenye Matendo 7 Stephano hakuwa kwenye maombi alikuwa anauawa. Na Roho Mtakatifu alikuwa anamwonyesha mauti yake na ndiyo maana akaanza kusema anaona mbingu zimefunguka, anamwona mwana wa Mungu ameketi mkono wa kuume n.k n.k ndipo wakampiga kwa mawe hadi kufa. Na Sauli (Paulo) alikuwa akishuhudia kabla neema yake ya kuokoka ikiwa bado haikumfikia.
ACHA KUDANGANYA ,SIO KILA MWENYE ROHO MTAKATIFU ANANENA KWA LUGHA

Matendo 7:55 NEN - Bible.com​



Lakini yeye Stefano, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, alikaza macho mbinguni, akaona utukufu wa Mungu, na Yesu akiwa amesimama mkono wa kuume wa Mungu.

WAPI STEPHANO ALINENA KWA LUGHA?? NAOMBA ANDIKO

Yesu Kristo alijaa Roho mtakatifu ndani yake.

WAPI YESU ALINENA KWA LUGHA

Endapo tungemwuliza Mtume yule mkuu Paulo kwamba tamaa yake ilikuwa ni nini kwa muumini, yeye angeweza kusema: “Ufuateni upendo, na kutaka sana karama za rohoni, lakini zaidi kwamba mpate kuhutubu.” 1 Wakorintho14:1-5, KJV. Je, ingekuwa ni kuipanua sana hoja hiyo juu ya uwiano usio na maana kuhusu karama hiyo ya lugha iliyoleta usumbufu mwingi katika makanisa yale ya Kikorintho? Si kila mmoja wetu ambaye angeweza kunena kwa lugha, kwa mujibu wa Paulo. Hata wale waliotakiwa “kutaka sana karama za rohoni” walishauriwa hivi:

“Hata hivyo nawaonyesha njia iliyo bora.” 1 Wakorintho 12:31. Kuwapenda watu wote na kuhubiri bila kuona fahari katika kitu cho chote ila msalaba wake Kristo - hiyo ndiyo njia iliyo bora. Wagalatia 6:14.
 
Ishara mojawapo kwamba umempokea Roho Mtakatifu au umejazwa Roho Mtakatifu ni kunena kwa lugha, ndo maana nimekuletea ushahidi wale wanafunzi walivyojazwa wote walinena.
Si kila mmoja wetu ambaye angeweza kunena kwa lugha, kwa mujibu wa Paulo. Hata wale waliotakiwa “kutaka sana karama za rohoni” walishauriwa hivi:

“Hata hivyo nawaonyesha njia iliyo bora.” 1 Wakorintho 12:31.

Kuwapenda watu wote na kuhubiri bila kuona fahari katika kitu cho chote ila msalaba wake Kristo - hiyo ndiyo njia iliyo bora. Wagalatia 6:14.
 
Ishara mojawapo kwamba umempokea Roho Mtakatifu au umejazwa Roho Mtakatifu ni kunena kwa lugha, ndo maana nimekuletea ushahidi wale wanafunzi walivyojazwa wote walinena
UNADAGANYA SIJUI KWA MANUFAA YA NANI

SIKILIZA BIBLIA ISEMACHO

Kwa hiyo, waumini ni lazima wawe wanaume na wanawake waliojazwa Roho. Warumi 8:9.

Lakini basi, hakuna mahali po pote katika kumbukumbu hizo pamoja na nyinginezo nyingi zinazohusu kazi ya Roho Mtakatifu tunapopata hata dokezo moja dogo sana kuonyesha kwamba aina yo yote ya karama ya lugha ingekuwa ndilo tunda au kipawa cha Roho Mtakatifu ndani ya maisha ya kila muumini.

Badala yake, imeelezwa kwa wazi kabisa kwamba “tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, upole, kiasi.” Wagalatia 5:22,23.
 
Ishara mojawapo kwamba umempokea Roho Mtakatifu au umejazwa Roho Mtakatifu ni kunena kwa lugha, ndo maana nimekuletea ushahidi wale wanafunzi walivyojazwa wote walinena.
hebu chukua wahusika waliojitokeza sana katika kitabu hicho cha Matendo, mbali na Paulo na Petro. Hao, kwa mfano, walikuwa ni Stefano, Yakobo, Agabo, Simeoni, Filipo, Sila, Timotheo, Barnaba, Lidia, Dorka, Krispo, Apolo, Akwila, Prisila, kuwataja wachache tu. Hao walifanya kazi kubwa kwa ajili ya Mungu, lakini hatujui habari yo yote kuhusu uzoefu wao wa “kunena kwa lugha,” zile zinazojulikana au zile zisizojulikana, ndani ya mmojawapo miongoni mwao
 
Wakati huo huo uzingatie kuwa wanafunzi wa Yesu wakati wananena kwa lugha mpya katika siku ya Pentekoste, wale ambao hawakuwa wanafunzi wa Yesu(Wayahudi wa ugenini) waliweza kuelewa kila mtu kwa lugha yake. Je mbona kunena kwa lugha kwa siku hizi si kama si kama siku ya Pentekoste?

TAFAKARI MASWALI YAFUATAYO:-

1)Kama lugha iliyonenwa siku ya pentekoste ndiyo ya sasa mbona tunaponena wenzetu hawatuelewi?
2)Kama lugha iliyonenwa siku ya pentekoste ndio lugha tunayonena leo mbona ni baadhi ya makanisa na ni baadhi ya Wakristo ndio wananena kwa lugha badala ya makanisa yote na wakristo wote kama walivyonena wote siku ya pentekoste?
3) Kama lugha ya pentekoste ndiyo ya nyakati za leo mbona hatuoni ndimi kama za moto?
4) Siku ya pentekoste hawakuwekewa mikono ila Roho aliwashukia tu na wakajawa na Roho na kuanza kunena kwa lugha mpya, baada ya kipindi cha pentekoste kupita waliofuatia kama KORNERIO, WASAMARIA, AKIDA WA ETHIOPIA nk wao waliwekewa mikono na mitume na walipoombewa tu lugha ikaanza ndani yao. Je nyakati za leo ndivyo tunavyoombea watu? Nyakati za leo badala ya kuwaombea wakristo ujazo wa Roho Mtakatifu tunawaombea ili wanene kwa lugha.

Ndiyo maana kila mda nasema Roho Mtakatifu hana limitation wala huwezi ukampangia Roho Mtakatifu unenaje.

Matendo 2

4 Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kusema kwa lugha nyingine, kama Roho alivyowajalia kutamka.

Tafakari tena huo mstari unasema hapo mwishoni "kama Roho alivyowajalia kutamka"

Je, ni kazi yako wewe mwanadamu kumkosoa Roho Mtakatifu kwa jinsi alivyomjalia mwingine kutamka kisa tu wewe huelewi au umeshindwa kutafsiri? Jibu ni Hapana.

Roho Mtakatifu anaweza akakujalia leo utamke kifaransa na akaruhusu mtu anayejua kifaransa atafsiri. Kesho akakujalia kutamka vingine kabisa katika maombi yako labda akataka unene iwe siri yake yeye tu na Baba ( Mungu Baba )

Maana maandiko yanasema Roho Mtakatifu hutuombea kwa kuugua kusikoweza kutamkwa (sikumbuki ni kitabu gani) na kama nilivyosema Roho Mtakatifu anakujalia kwa kadri apendavyo yeye.

Ndipo Paulo akashauri ili basi ufahamu wako uwe na matunda (akiwa na maana kwamba wakati mwingine unanena kwa lugha wewe mwenyewe huelewi wala hakuna wakukutafsiria), akashauri tutenge muda wa kuomba kawaida kwa maneno tunayoyaelewa na vilevile tuwe na muda wa kuomba kwa Roho au kunena kwa lugha ya Roho Mtakatifu.

Hivyo siyo kazi yetu sisi wanadamu kumkosoa Roho Mtakatifu kwa jinsi alivyopenda kujalia mwingine kunena eti kwa kuwa hatuelewi au kwa kuwa tunataka kumlazimisha Roho Mtakatifu amjalie mwingine kunena kwa namna ambayo tunataka sisi.

Tumwache Roho Mtakatifu afanye kazi yake.
 
MATENDO 2
4 Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kusema kwa lugha nyingine, kama Roho alivyowajalia kutamka.

Hiyo ndo shida ya kusoma ili ujibu sio ili usome uelewe. Hayo maandiko hapo juu yanajibu hilo swali lako. Haya leta hoja sasa.
UNADOKOA KAMSTARI EE, SIO KILA MWENYE ROHO MTAKATIFU LAZIMA ANENE KWA LUGHA, HIYO NI MOJA TU YA KARAMA , NDIO MAANA TUNASHANGAA NINYI WOTE MNASEMA MNANENA,

Roho Mtakatifu hugawa karama kwa kila mtu kama apendavyo yeye, lakini hawapatii watu wote karama moja, zinatofautiana.

TWENDE KWENYE MAANDIKO

Lakini kazi hizi zote huzitenda Roho huyo mmoja, yeye yule, akimgawia kila mtu peke yake kama apendavyo yeye.” “Je! wote ni mitume? wote ni manabii? wote ni waalimu? wote wanatenda miujiza? wote wana karama za kuponya wagonjwa? wote wanena kwa lugha? wote wafasiri? Takeni sana karama zilizo kuu. Hata hivyo nawaonyesha njia iliyo bora.” “Nijaposema kwa lugha za wanadamu na za malaika, kama sina upendo, nimekuwa shaba iliayo na upatu uvumao. Tena nijapokuwa na unabii, na kujua siri zote na maarifa yote, nijapokuwa na imani timilifu kiasi cha kuweza kuhamisha milima, kama sina upendo, si kitu mimi. Tena nikitoa mali zangu zote kuwalisha maskini, tena nikijitoa mwili wangu niungue moto, kama sina upendo, hainifaidii kitu.” 1 Kor. 12:11, 29-31; 13:1-3.
 
Ndiyo maana kila mda nasema Roho Mtakatifu hana limitation wala huwezi ukampangia Roho Mtakatifu unenaje.

Matendo 2

4 Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kusema kwa lugha nyingine, kama Roho alivyowajalia kutamka.

Tafakari tena huo mstari unasema hapo mwishoni "kama Roho alivyowajalia kutamka"

Je, ni kazi yako wewe mwanadamu kumkosoa Roho Mtakatifu kwa jinsi alivyomjalia mwingine kutamka kisa tu wewe huelewi au umeshindwa kutafsiri? Jibu ni Hapana.

Roho Mtakatifu anaweza akakujalia leo utamke kifaransa na akaruhusu mtu anayejua kifaransa atafsiri. Kesho akakujalia kutamka vingine kabisa katika maombi yako labda akataka unene iwe siri yake yeye tu na Baba ( Mungu Baba )

Maana maandiko yanasema Roho Mtakatifu hutuombea kwa kuugua kusikoweza kutamkwa (sikumbuki ni kitabu gani) na kama nilivyosema Roho Mtakatifu anakujalia kwa kadri apendavyo yeye.

Ndipo Paulo akashauri ili basi ufahamu wako uwe na matunda (akiwa na maana kwamba wakati mwingine unanena kwa lugha wewe mwenyewe huelewi wala hakuna wakukutafsiria), akashauri tutenge muda wa kuomba kawaida kwa maneno tunayoyaelewa na vilevile tuwe na muda wa kuomba kwa Roho au kunena kwa lugha ya Roho Mtakatifu.

Hivyo siyo kazi yetu sisi wanadamu kumkosoa Roho Mtakatifu kwa jinsi alivyopenda kujalia mwingine kunena eti kwa kuwa hatuelewi au kwa kuwa tunataka kumlazimisha Roho Mtakatifu amjalie mwingine kunena kwa namna ambayo tunataka sisi.

Tumwache Roho Mtakatifu afanye kazi yake.
KUNENA KWA LUGHA HUKU TUNAKOKUONA LEO HUO UTARATIBU WAMETOA WAPI?

HIZO LUGHA MNAZIJUA MAANA YAKE?

HIYO KARAMA ROHO HUITOA APENDAVYO, MBONA KILA MMOJA ANAIKIMBILIA NA KUNENA?

Je, ni karama ipi ambayo tunatakiwa kuitafuta zaidi?​

“Ufuateni upendo, na kutaka sana karama za rohoni, lakini zaidi kwamba mpate kuhutubu.” 1 Kor. 14:1.
 
ACHA KUDANGANYA ,SIO KILA MWENYE ROHO MTAKATIFU ANANENA KWA LUGHA

Matendo 7:55 NEN - Bible.com​



Lakini yeye Stefano, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, alikaza macho mbinguni, akaona utukufu wa Mungu, na Yesu akiwa amesimama mkono wa kuume wa Mungu.

WAPI STEPHANO ALINENA KWA LUGHA?? NAOMBA ANDIKO

Yesu Kristo alijaa Roho mtakatifu ndani yake.

WAPI YESU ALINENA KWA LUGHA

Endapo tungemwuliza Mtume yule mkuu Paulo kwamba tamaa yake ilikuwa ni nini kwa muumini, yeye angeweza kusema: “Ufuateni upendo, na kutaka sana karama za rohoni, lakini zaidi kwamba mpate kuhutubu.” 1 Wakorintho14:1-5, KJV. Je, ingekuwa ni kuipanua sana hoja hiyo juu ya uwiano usio na maana kuhusu karama hiyo ya lugha iliyoleta usumbufu mwingi katika makanisa yale ya Kikorintho? Si kila mmoja wetu ambaye angeweza kunena kwa lugha, kwa mujibu wa Paulo. Hata wale waliotakiwa “kutaka sana karama za rohoni” walishauriwa hivi:

“Hata hivyo nawaonyesha njia iliyo bora.” 1 Wakorintho 12:31. Kuwapenda watu wote na kuhubiri bila kuona fahari katika kitu cho chote ila msalaba wake Kristo - hiyo ndiyo njia iliyo bora. Wagalatia 6:14.

Nilijua utakuja kutaka andiko Stephano alinena wapi kwa lugha. Na mimi nikuulize Je, unaamini Stephano aliokoka na kumpokea Yesu? Ni nani aliyemhumbiria akaokoka nipe historia yake kwenye maandiko.

Ukijudge Bible that way hutatafakari ukaielewa, utakariri. Sio kila kitu lazima kiandikwe Vitabu visingetosha kama Yohana alivyoandika kwenye Ufunuo.

Ila ukitafakari Bible utaielewa utaweza kugundua Aha, kwahiyo hii Matendo 7 inasema Stephano akajaa Roho, kumbe inamaana aliokoka na kumwamini Yesu. Utagundua pia Aha kumbe ina maana kuna siku na yeye aliamini uwepo wa Roho Mtakatifu na akampokea kwa mara ya kwanza.

Utagundua pia, kama Biblia inawataja wanafunzi walipompokea mara ya kwanza Roho Mtakatifu walinena kwa lugha mpya kama ishara, hivyo kwa vyovyote vile Stephano alipitia hii ishara.

Bible ndo inavyotafakariwa hivyo siyo kila kitu lazima uandikiwe. Kwahiyo utataka hadi Biblia iandike jinsi Stephano alivyozaliwa ndo uamini ni kweli alizaliwa na wazazi wake ni flani na flani. Hivyo hatutafika.
 
Nilijua utakuja kutaka andiko Stephano alinena wapi kwa lugha. Na mimi nikuulize Je, unaamini Stephano aliokoka na kumpokea Yesu? Ni nani aliyemhumbiria akaokoka nipe historia yake kwenye maandiko.

Ukijudge Bible that way hutatafakari ukaielewa, utakariri. Sio kila kitu lazima kiandikwe Vitabu visingetosha kama Yohana alivyoandika kwenye Ufunuo.

Ila ukitafakari Bible utaielewa utaweza kugundua Aha, kwahiyo hii Matendo 7 inasema Stephano akajaa Roho, kumbe inamaana aliokoka na kumwamini Yesu. Utagundua pia Aha kumbe ina maana kuna siku na yeye aliamini uwepo wa Roho Mtakatifu na akampokea kwa mara ya kwanza.

Utagundua pia, kama Biblia inawataja wanafunzi walipompokea mara ya kwanza Roho Mtakatifu walinena kwa lugha mpya kama ishara, hivyo kwa vyovyote vile Stephano alipitia hii ishara.

Bible ndo inavyotafakariwa hivyo siyo kila kitu lazima uandikiwe. Kwahiyo utataka hadi Biblia iandike jinsi Stephano alivyozaliwa ndo uamini ni kweli alizaliwa na wazazi wake ni flani na flani. Hivyo hatutafika.
NARUDIA ACHA KUDANGANYA ,SIO KILA MWENYE ROHO MTAKATIFU ANANENA KWA LUGHA

Roho Mtakatifu hugawa karama kwa kila mtu kama apendavyo yeye, lakini hawapatii watu wote karama moja, zinatofautiana.

TWENDE KWENYE MAANDIKO

Lakini kazi hizi zote huzitenda Roho huyo mmoja, yeye yule, akimgawia kila mtu peke yake kama apendavyo yeye.” “Je! wote ni mitume? wote ni manabii? wote ni waalimu? wote wanatenda miujiza? wote wana karama za kuponya wagonjwa? wote wanena kwa lugha? wote wafasiri? Takeni sana karama zilizo kuu. Hata hivyo nawaonyesha njia iliyo bora.” “Nijaposema kwa lugha za wanadamu na za malaika, kama sina upendo, nimekuwa shaba iliayo na upatu uvumao. Tena nijapokuwa na unabii, na kujua siri zote na maarifa yote, nijapokuwa na imani timilifu kiasi cha kuweza kuhamisha milima, kama sina upendo, si kitu mimi. Tena nikitoa mali zangu zote kuwalisha maskini, tena nikijitoa mwili wangu niungue moto, kama sina upendo, hainifaidii kitu.” 1 Kor. 12:11, 29-31; 13:1-3.

Je, ni karama ipi ambayo tunatakiwa kuitafuta zaidi?​

“Ufuateni upendo, na kutaka sana karama za rohoni, lakini zaidi kwamba mpate kuhutubu.” 1 Kor. 14:1.
 
Utagundua pia, kama Biblia inawataja wanafunzi walipompokea mara ya kwanza Roho Mtakatifu walinena kwa lugha mpya kama ishara, hivyo kwa vyovyote vile Stephano alipitia hii ishara.
Tunaambiwa kwamba kila muumini katika Kristo ana Roho Mtakatifu (Warumi 8:9, 1 Wakorintho 12:13; Waefeso 1:13-14 ), lakini si kila muumini hunena lugha ngeni (1 Wakorintho 12:29-31).


1 Wakorintho 12:29-31 BHN​

Je, wote ni mitume? Wote ni manabii? Wote ni waalimu? Wote ni wenye kipaji cha kufanya miujiza? Je, wote ni wenye kipaji cha kuponya? Je, wote ni wenye kipaji cha kusema lugha ngeni? Je, wote hufafanua lugha? Muwe basi, na tamaa ya kupata vipaji muhimu zaidi. Nami sasa nitawaonesheni njia bora zaidi kuliko hizi zote
 
Nilijua utakuja kutaka andiko Stephano alinena wapi kwa lugha. Na mimi nikuulize Je, unaamini Stephano aliokoka na kumpokea Yesu? Ni nani aliyemhumbiria akaokoka nipe historia yake kwenye maandiko.

Ukijudge Bible that way hutatafakari ukaielewa, utakariri. Sio kila kitu lazima kiandikwe Vitabu visingetosha kama Yohana alivyoandika kwenye Ufunuo.

Ila ukitafakari Bible utaielewa utaweza kugundua Aha, kwahiyo hii Matendo 7 inasema Stephano akajaa Roho, kumbe inamaana aliokoka na kumwamini Yesu. Utagundua pia Aha kumbe ina maana kuna siku na yeye aliamini uwepo wa Roho Mtakatifu na akampokea kwa mara ya kwanza.

Utagundua pia, kama Biblia inawataja wanafunzi walipompokea mara ya kwanza Roho Mtakatifu walinena kwa lugha mpya kama ishara, hivyo kwa vyovyote vile Stephano alipitia hii ishara.

Bible ndo inavyotafakariwa hivyo siyo kila kitu lazima uandikiwe. Kwahiyo utataka hadi Biblia iandike jinsi Stephano alivyozaliwa ndo uamini ni kweli alizaliwa na wazazi wake ni flani na flani. Hivyo hatutafika.
Kuzungumza katika lugha hakuna mahali kumewazilishwa kama kitu Wakristo wote wanapaswa kutarajia wakati wao wanampokea Yesu Kristo kama Mwokozi wao na hivyo kubatizwa katika Roho Mtakatifu. Kwa kweli, kati ya matukio yote kubadilika katika Agano Jipya, ni rekodi mbili tu zinazungumzia mazingira ya kunena katika lugha. Lugha ilikuwa zawadi ya kimiujiza ambayo ilikuwa na kusudi maalum kwa muda maalum. Haikuwa na kamwe haitakuwa, ushahidi pekee wa kupokea Roho Mtakatifu.
 
ACHA KUDANGANYA ,SIO KILA MWENYE ROHO MTAKATIFU ANANENA KWA LUGHA

Matendo 7:55 NEN - Bible.com​



Lakini yeye Stefano, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, alikaza macho mbinguni, akaona utukufu wa Mungu, na Yesu akiwa amesimama mkono wa kuume wa Mungu.

WAPI STEPHANO ALINENA KWA LUGHA?? NAOMBA ANDIKO

Yesu Kristo alijaa Roho mtakatifu ndani yake.

WAPI YESU ALINENA KWA LUGHA

Endapo tungemwuliza Mtume yule mkuu Paulo kwamba tamaa yake ilikuwa ni nini kwa muumini, yeye angeweza kusema: “Ufuateni upendo, na kutaka sana karama za rohoni, lakini zaidi kwamba mpate kuhutubu.” 1 Wakorintho14:1-5, KJV. Je, ingekuwa ni kuipanua sana hoja hiyo juu ya uwiano usio na maana kuhusu karama hiyo ya lugha iliyoleta usumbufu mwingi katika makanisa yale ya Kikorintho? Si kila mmoja wetu ambaye angeweza kunena kwa lugha, kwa mujibu wa Paulo. Hata wale waliotakiwa “kutaka sana karama za rohoni” walishauriwa hivi:

“Hata hivyo nawaonyesha njia iliyo bora.” 1 Wakorintho 12:31. Kuwapenda watu wote na kuhubiri bila kuona fahari katika kitu cho chote ila msalaba wake Kristo - hiyo ndiyo njia iliyo bora. Wagalatia 6:14.

Kuhusu swali lako wapi Yesu alinena kwa lugha nalijibu kama ifuatavyo.

Mungu, ameiongoza dunia hata sasa kwa maongozi matatu ambayo ni

1. Maongozi ya Mungu Baba mwenyewe.

Hii ni agano la kale, na aliiongoza dunia kwa sheria kama tunavyoona wana wa Israel walivyopewa torati iliyojaa sheria.

2. Wakati wa Yesu Kristo. Sheria na Neema.

3. Wakati wa Roho Mtakatifu. Baada ya Yesu kuondoka.

Sasa nijibu, kipindi Yesu yupo Roho Mtakatifu wakati wake ulikuwa bado wa kudhihirishwa duniani. Ikumbukwe Yesu ni nafsi ya Mungu hivyo ni kawaida Roho kuwa ndani yake kwa sababu wote ni kitu kimoja.

Kama Yesu angekuwepo duniani hata sasa Roho Mtakatifu asingekuja, ila Yesu mwenyewe alisema hatatuacha peke yetu, atatuletea msaidizi ambaye ni Roho Mtakatifu, hivyo Roho Mtakatifu asingekuja kama Yesu tunaye hapa duniani wao ni kitu kimoja hawana sababu ya kuja kukinzana hapa duniani.

Hivyo Yesu asingeweza kufanya huo ukichaa wa kunena kwa lugha wakati majira ya Roho Mtakatifu yalikuwa bado, kwa sababu yeye bado alikuwepo. Ikumbukwe kunena kwa lugha ni ishara kwetu sisi wanadamu kuthibitisha tumempokea Roho Mtakatifu. Yesu yeye Roho yupo naye kila siku kabla hata ya kuumbwa kwa ulimwengu na wao ni mmoja, sasa kulikuwa na haja gani ya Yesu kufanya ukichaa wa kunena kwa lugha, haina haja.
 
UTANGULIZI

ISAYA 14
12 Jinsi ulivyoanguka kutoka mbinguni, Ewe nyota ya alfajiri, mwana wa asubuhi! Jinsi ulivyokatwa kabisa, Ewe uliyewaangusha mataifa!

13 Nawe ulisema moyoni mwako, Nitapanda mpaka mbinguni, Nitakiinua kiti changu juu kuliko nyota za Mungu; Nami nitaketi juu ya mlima wa mkutano, Katika pande za mwisho za kaskazini.
14 Nitapaa kupita vimo vya mawingu, Nitafanana na yeye Aliye juu.
15 Lakini utashushwa mpaka kuzimu; Mpaka pande za mwisho za shimo


Hapo tunaona Shetani akiapa kwa MUNGU akisema"Nami nitaketi juu ya mlima wa mkutano, Katika pande za mwisho za kaskazini."

UKISOMA

Zaburi 48​

1 Bwana ndiye aliye mkuu, Na mwenye kusifiwa sana. Katika mji wa Mungu wetu, Katika mlima wake mtakatifu.

2 Kuinuka kwake ni mzuri sana, Ni furaha ya dunia yote. Mlima Sayuni pande za kaskazini, Mji wa Mfalme mkuu.

UTAONA PANDE ZA KASKAZI NDIPO LILIPOKUWEPO HEKALU PALE MLIMA SAYUNI NA NDIPO MAHALI PALIPOKUWA NA UWEPO WA MUNGU , HIVO SHETANI ALIAPA KUKAA NADNI YA MAKANISA KWA SIKU ZETU AMBAPO TUNAKUSANYIKA TUKIAMINI TUNAMUABUDU MUNGU

Tuanze mada yetu sasa, fatana nami....


Katika FREEMASON Degree ya 33 ( hii ndio hatua ya juu ya Fremason kwa ujumla Duniani, huitwa"Degree of the Craft", na mwanachama mwenye Degree 3, anaitwa Mastermasonry/Grand master, hawa ndio wapangaji wa mipango, hawa ndio wanao jua siri ya free masoni na hii degree unaipatia katika Blue Lodge.

Freemason, imegawanyika katika Vyama mbali mbali lakini vyote hujulikana kwa jina la freemason, na kila chama kina jiendesha kwa misingi yake, mfano York rite na scottish rite.

York rite, hii inapatikana marekani katika lodge za huko, na katika york rite , wao waliongeza degree 10, za ziada, lakini huwezi kupata hizi degree bila kuwa na degree tatu , ambazo ndio msingi wa freemason Duniani kwote..na katika York rite degree ya 10, na maanisha ya 13, ukijumlisha na zile degree tatu za msingi, hiyo ni hatua ya juu ambayo inaitwa the Order of the Temple, na mwanachama mwenye degree hizi anaitwa "Knight templar".

Katika Scottish rite, katika chama cha scotiland, kupitia Lodge zao, wao waliongeza Degree 30, na kuzifanya ziwe 33, na huwezi kupata hizi degree bila kuwa na degree 3, za msingi. katika hizi degre, degree ya 32, ndio degree ya juu kabisa ambayo mwana chama mwenye hatua hii anakuwa Master of the royal secreat, siri zote za freemason unapewa.

Japo katika scottish rite , kuna jumla ya degree 33, lakini freemason wana amini degree ya 33, haipo, kwasababu ni adimu sana , labda mtu mwenye IQ, kubwa kama 160, na kama wapo basi wana fahamika na freemasoni wenye degree za juu kabisa.

wapo watu wanao amini labda hii degree ya 33, hii ndio degree inayo muhusu Lucifer.. pia baadhi wana amini Albert pike, mwandishi wa kitabu cha "Morals and dogma" alikuwa na degree 33, lakini wapo ambao wana amini hakufikia hatua hiyo.

Freemason ni chama ambacho kina daiwa kuwa na mambo ya siri mengi, na hawa inasemekana wanachama wake wengi wenye degree za juu , wapo katika chama cha Illuminat.

Unaweza kuona aina za digrii hizo; kwa mfano digrii ya 18 inayoitwa ‘Knight of Rose Croix’ hushughulika na elimu ya aina za misalaba na jinsi ya kufanisha kuziingiza ndani ya taasisi na madhehebu mbalimbali kwa imani ya Illuminati na freemason na kwa kweli freemason wa digrii hiyo wamefanikiwa kwa kiwango cha juu kabisa kuingiza aina nyingizi za misalaba ndani ya makanisa na taasisi bila ya waumini kujua maana ya misalaba hiyo.

NAKUPA MFANO HAPA CHINI
View attachment 2104330

NI chama cha Prieure de Sion (Priory de Sion) kilichoanzishwa na familia ya 11 ya Illuminati inayoitwa Freeman Illuminati bloodlines ndicho kilichosababisha kuanzishwa kwa ‘Uprotestant’ au ‘Upinzani’ ndani ya dini. Wakainuka mashujaa wengi waliopinga mafundisho machafu yaliyoingizwa ndani ya imani ya kweli ili kutetea neno la Mungu litawale tofauti na mafundisho yaliyo maagizo ya wanadamu. Miongoni mwa mashujaa walioinuka kupingana na mafundisho ya chama cha Prieure de Sion alikuwa Martin Luther.

Kumbuka kwamba wapinzani ‘Protestants’hawa walikuwa wanapinga mafundisho wakiwa ndani ya mifumo ya dini zao. Hata hivyo hawakufanikiwa kuleta matokeo mazuri ya upinzani wao na hivyo wakaamua kutoka na kujitenga na dini wakiwa na baadhi ya mafundisho machafu waliyoyarithi kutoka kwenye mifumo potofu ya kidini. Wakiwa wamejitenga, sasa waliamua kufanya ‘matengenezo’ kwa lengo la kuondoa mafundisho machafu na kubaki na mafundisho safi kama ilivyoagizwa na Mungu. Hivyo jina lao wakaitwa‘Reformers’ au ‘Wanamatengenezo’ badala ya ‘Protestants’ au ‘wapinzani’.‘Waprotestants’ wa awali walijua maana ya kanisa na ndio maana hawakuona shida kujitenga na mifumo iliyokuwa inadhaniwa kuwa ndiyo kanisa.Lakini je, nani aliyeanzisha ‘Uprotestant’na ‘matengenezo’? Ellen White anasema: “Christ was a protestant...TheReformersdate back to Christ and the apostles. They came out and separated themselves from a religion of forms and ceremonies. Lutherand his followers did not invent the reformed religion. They simply accepted it as presented by Christ and the apostles." E.G. White, Review and Herald, vol. 2, 48, col. 2.

Hapo anamaanisha kwamba ‘Kristo (Yesu) alikuwa ni Mprotestant….wanamatengenezo waliiga kutoka kwa Kristo na mitume. Walijitenga na dini ya desturi na sherehe. Luther na wafuasi wake hawakuanzisha dini ya matengenezo. Waliikubali kama ilivyoonyeshwa na Kristo na mitume’ [rejea: R&H, Vol. 2, 48, col.2].

Ni kwa namna gani Kristo alijitenga? E. White anaendelea kusema: “Pharisees and Sadducees were alike silenced.Jesus summoned His disciples, and prepared to leave the temple, not as one defeated and forced from the presence of his adversaries, but as one whose work was accomplished. He retired a victor from the contest”. {DA 620.2}

‘Mafarisayo na masadukayo walinyamazishwa. Yesu aliwakusanya wanafunzi wake, na akawaandaa kuliacha hekalu, sio kama aliyeshindwa na kulazimishwa kuondoka kwa maadui zake, bali kama ambaye kazi yake ilikuwa imekamilika. Alikuwa ni mshindi katika mashindano”. {DA 620.2}

Biblia inasema kwamba Yesu alijitahidi kupingana na mafarisayo na masadukayo akiwa ndani ya mfumo wa dini ya kiyahudi na sasa alikuwa amefikia mwisho wa upinzani wake na akaamua kujitenga moja kwa moja na mfumo wa dini hiyo ili awafundishe vizuri wanafunzi wake ambao walikuwa tayari kukubali mafundisho safi.

E.G. White anasema:" Hitherto He had called the temple His Father's house; but now, as the Son of God should pass out from those walls, God's presence would be withdrawn forever from the temple built to His glory. Henceforth its ceremonies would be meaningless, its services a mockery. {DA 620.4}Hatimaye Yesu na wanafunzi wake walijitenga na hekalu lililokuwa mpendwa wao. Lakini kwa sababu viongozi wa hekalu walikataa kufuata mafundisho ya neno la Mungu peke yake, Mwana wa Mungu hakuona sababu ya kuendelea kubaki ndani ya hekalu ingawa “Alikuwa akiliita hekalu kuwa ni nyumba ya Baba yake; lakini sasa, kama Mwana wa Mungu ambavyo akipita kutoka katika kuta hizo, uwepo wa Mungu ungeondolewa milele usionekane ndani ya hekalu lililojengwa kwa utukufu Wake. Hivyo sherehe zilizofanyika ndani ya hekalu hazikuwa na maana, huduma zake zikawa dhihaka”. {DA 620.4}. Hivyo ndivyo alivyofanya Martin Luther na wafuasi wake.

Baada ya kifo cha Martin Luther, wafuasi wake waliendelea katika kufanya matengenezo. Hata hivyo kwa sababu freemasons hawakati tamaa, matengenezo yalikoma na kuanza kurudi nyuma taratibu ambapo leo hii wale wanaoitwa ‘Walutheri’ wameungana tena na mfumo ambao mwanzilishi wao, Martin Luther, aliuiita ‘mfumo mchafu’.

Wakati matengenezo yanaendelea, ulikuwa ni wakati wa kutimizwa kwa unabii wa siku 1260 sawa na miaka 1260 kama ilivyotabiriwa na nabii Yohana. Wakati huo kulianzishwa matengenezo mengi na kupelekea kuanzishwa kwa mifumo mingine ya makanisa. Baadhi ya makanisa yaliyoanzishwa yalikuwa haya:

Anglican: Lilianzishwa huko England na mfalme wa Uingereza ili kupinga kanisa la Roma. Kiongozi mkuu wa kanisa hilo ni Malkia wa Uingereza. Hata hivyo wachunguzi wa dini ya freemasons wanasema kwamba familia ya Malkia ni familia mojawapo kati ya familia 13 za waumini wa Freemasons.

Presbyterian: Mwanzilishi ni John Calvin mwaka 1509 – 1564 na John Knox 1505 – 1572. Kanisa hili lilijitenga na Roma likiwa na motto “Chunguza maandiko” maana liliona kwamba kanisa la Roma linakwenda kinyume na maandiko. Hata hivyo wafuasi wa John Calvin na John Knox wameshindwa kufikia malengo ya kuyachunguza maandiko na kufuata kile asemacho Mungu na badala yake wamekubali kurudi walikotoka!

MENNONITE: Lilizaliwa rasmi mwaka 1525 – 1530 na Conrad Grebel na wenzake akiwemo Zwingli Ulrich aliyetofautiana na Martin Luther juu ya somo la pasaka. Hawa walikataa ubatizo wa Roma wa kunyunyizia maji na jina jingine wanaitwa “Meno Knights” majina ambayo yanafanana na vikundi vya Freemason kama vile “The knights of Eulogia”(Skull and Bones), “The knights of Malta”. Ingawa lengo la Zwingli Ulrich lilikuwa zuri, baada ya kifo chake wafuasi wake walikubali kuingiliwa na freemasons na hivyo kushindwa kufikia lengo lililokusudiwa.

LUTHERAN: Mwanzilishi ni Martin Luther mwaka 1517. Alikuwa ni Mjerumani aliyesomea ukasisi wa kanisa la Roma na mwaka 1511 akapata Phd katika chuo kikuu cha Wattenberg. Alipingana na kanisa lake la Roma na kuandika sababu 95 zinazopinga mafundisho ya Roma ndipo akajitenga na Roma na hivyo wafuasi wake wakaendelea kutumia jina la Lutheran, yaani wafuasi wa Luther. Wafuasi wa Luther hawakuendelea mbele na sasa wamerudi kwenye makosa aliyokuwa akiyapinga Luther. Je, Lutheran wa leo wanafuata kweli nyayo za Martin Luther? Au wametekwa kwa matumizi ya njama ya “Following Gurus”yaani kufuata kila wasemacho viongozi? Tafakari!

Moravian: Mwanzilishi ni John Huss aliyezaliwa mwaka 1366 na kuchomwa moto na papa hadi kufa mwaka 1416 baada ya kulipinga kanisa la Roma. Wafuasi wake hadi leo wanaitwa kanisa la Moravian. Kwa bahati mbaya wafuasi wa John Huss hawakuendelea kufanya matengezo ili kusonga mbele zaidi ya Huss na kibaya zaidi ni kwamba wanarudi nyuma badala ya kusonga mbele. Leo Huss akifufuka atashangaa kuona jinsi wafuasi wake walivyoacha kanuni alizozianzisha. Je, wamoravian wa leo wako tayari kuchomwa moto kwa kutetea ukweli kama John Huss? Tafakari!

Baptist: Ni kanisa lililoanzishwa na wafuasi wa Martin Luther ambao walijitenga na Lutheran mwaka 1600 huko Uholanzi na Uingereza baada ya kuona kwamba wafuasi wenzao wameacha kanuni alizoziweka Martin Luther. Hata hivyo kanisa la Baptist la leo haliendeleza jitihada za Luther na sasa badala ya kusonga mbele linapiga ‘marktime’ likiwa limegeuka nyuma.

Salvation Army (Jeshi la Wokovu): Mwanzilishi ni Booth mwaka 1878. Kanisa hili lilianzishwa na wafuasi wa freemasons kwa lengo la kuchafua matengenezo ya kweli. Kumbuka kwamba Shetani hutumia fursa inayotolewa na Mungu akiwa na lengo la kuwafanya watu washindwe kujua kipi ni cha kweli na kipi sio. Katika kila matengenezo ya kweli, pamekuwepo na matengenezo bandia.

Marmon church: Mwanzilishi ni Joseph Smith (1805 – 1844). Kanisa hili linajulikana pia kama The church of Jesus Christ of later day saints. Kanisa la Mormon lilianzishwa na wafuasi wa freemason wakiwa na lengo la kuchafua matengenezo ya kweli. Mitt Romney ni muumini wa kanisa la Mormon.

Methodist: Kiongozi Mwanzilishi ni John Wesley. Lilianzishwa na watu 17 wa familia moja mwaka 1738 likiwa na lengo la kupinga mafundisho ya freemasons. Kanisa hilo halijakamilisha lengo la matengenezo kutokana na ukweli kwamba wafuasi wake hawana mwamko aliokuwa nao John Wesley.

Watch Tower/Mashahidi wa YEHOVA : Mwanzilishi ni Charles T. Russel 1852 – 1916 na mwenzake J. Lutheford 1869 – 1942. Baba yake Charles T. Russel alikuwa ni mchungaji wa Prebyterian. Mnamo mwaka 1932 huko Marekani jina la kanisa hilo lilibadilishwa na kuitwa Mashahidi wa Yehova. Markus Mpangala ameelezea kwa kirefu chanzo cha dhehebu hili akiainisha kwamba waanzilishi walikuwa ni Freemasons kutoka kwenye familia ya Illuminati inayoitwa Russel illuminati bloodline ambayo nimeshaielezea kwenye makala zilizopita.

Brethen Assemblies: Mwanzilishi ni ndg. Dabi 1800 – 1882 ambaye alikuwa ni muumini wa Anglican na akajitenga na kanisa hilo na kuanzisha kanisa lake. Dabi aliamua kujitenga na Anglican kutokana na kanisa hilo kutawaliwa na familia ya freemasons.

Makanisa ya Kipentekoste au kilokole: Ni makanisa yaliyoanzishwa miaka ya hivi karibuni. Makanisa haya yalianzishwa huko Kansas City Marekani mwaka 1901kwa lengo la kupata nguvu ya kile kinachoaminiwa kuwa roho mtakatifu. Je, unajua uhusiano uliopo kati ya muziki wa‘rap’ au ‘kufoka’ na uvuvio wa kunena kwa lugha kutoka kwa kile kinachoaminiwa kuwa ni nguvu za roho mtakatifu wakati waumini wa kilokole wanapokuwa wakiomba? Kumbuka kwamba Muziki wa rap ulianzia huko Kansas City Marekani, mahali ambako makanisa ya kipentekoste yalianzishwa. Panapo majaaliwa, nitakuwa na makala ndefu kuhusu asili, lengo na nguvu inayoonekana kwa viongozi wa makanisa ya kilokole kama kina mwamposa. Kwa wakati huu nasema,‘Soma Biblia na Tafakari’!

Gospel terbenacle: Mwanzilishi ni Pastor A.B. Simpson mwaka 1881 akitokea Presybiterian.

Christian Churches: Mwanzilishi ni Thomas Chapel mwaka 1807 akitokea Presybiterian.


Seventh –Day Advetist Church: Mwaka 1844 baada ya kutokurejea kwa Yesu duniani kama ilivyohubiriwa na muhubiri mashuhuri aitwaye William Miller, watu wengi walivunjika moyo isipokuwa watu 50 tu ndio walioendelea kujifunza Biblia miongoni mwao akiwa ni Ellen G. White. Watu hao waliendelea kuchunguza makosa yaliyofanywa na William Miller maana wao pia waliamini juu ya marejeo ya Yesu tarehe 22/10/1844. Hatimaye mwaka 1863 kanisa hilo likapewa jina la Seventh –Day Adventists Church huku likiwa na motto au kauli mbiu ya “Amri za Mungu na imani ya Yesu na Ujumbe wa malaika watatu” na baadaye kanisa hilo likawa chini ya rais wa General Conference ya SDA makao makuu yake yakiwa huko Marekani. Rais huyo ndiye kiongozi (kichwa) mkuu wa kanisa hilo duniani na huchaguliwa kila baada ya miaka mitano. Wakati viongozi wa kanisa walipokutana ili kujadili mambo ya kanisa, palikuwa na ‘Mwenyekiti’(Chairman of General Conference) ambaye aliongoza kikao hadi mwisho. Baada ya kikao kumalizika, mwenyekiti huyo alimaliza muda na kazi yake.

Hata hivyo kulitokea mabadiliko kutoka mwenyekiti wa baraza kuu hadi na rais wa kanisa ulimwenguni. Kila baada ya miaka mitano hufanyika uchaguzi wa kumpata rais wa kanisa hilo. Tofauti na makanisa mengine, kanisa hili linaabudu siku ya Jumamosi wakati makanisa mengine yanaabudu siku ya jumapili. Sasa hivi kuna makanisa mengi ya SDA ambayo yametoka ndani ya kanisa la ‘General conference of Seventh-Day Adventists’(GCSDA) kwa madai kwamba kanisa hilo limeingiliwa na freemasons.

Wengi wa waumini wa SDA waliojitenga na GCSDA wanasema kwamba walikuwa wakipinga‘protest’ mafundisho machafu huku wakiendelea kuwa ndani ya GCSDA lakini hawakuweza kuleta mabadiliko yoyote maana hali ilikuwa inazidi kuwa mbaya. Hatimaye waumini hao waliamua kufuata nyayo za akina Luther za kujitenga na sasa wanafanya ‘reformation’ au ‘matengenezo’ hatua kwa hatua maana walitoka na mafundisho machafu ambayo waliyapokea kama kweli wakiwa ndani ya GCSDA.Waumini hao wanadai kwamba walijitenga na GCSDA kwa sababu,

tukio kubwa ikiwa ni freemason kuingiza nembo yao,huku wakiiondoa ile nembo ya UJUMBE WA MALAIKA WATATU,Freemeson huingiza mafundisho, au alama zao kupitia viongozi wa juu wa kanisa kama ilivyo kawaida ya makanisa yote uyajuayo.

NEMBO YA AWALI YA SDA
View attachment 2104350
NEMBO YA SASA YA SDA
View attachment 2104361
View attachment 2104363
Je, madai hayo ni kweli? Tafakari!


Msingi wa kanisa la SDA au ‘Wasabato’ kama inavyojulikana kwa wengi,kuabudu siku ya jumamosi, ni kile kilichoandikwa na Mungu wakati wa uumbaji, kwamba aliumba kwa siku 6 na siku ya 7 akastarehe, akaibariki na akapumzika kisha akawaambia waisraeli: “Ikumbuke siku ya Sabatou itakase….” Kutoka 20:8.


Kutokana na kazi ya chama cha Priory de Sion kwa kuingiza mafundisho machafu ndani ya imani safi, kulitokea utitiri wa makanisa mengi ambayo yanadai kupinga uchafu huo. Hata hivyo wengi wa waumini wa madhehebu hayo ama hawajui asili ya dhehebu lao au hawajui asili ya kile wanachokiabudu. Wengi wamefundishwa na waalimu wa dini na kuwaamini bila hata ya kutaka kuhakikisha kwa akili zao kile wanachofundhishwa. Mungu ametoa nafasi ya kufahamu ukweli kwa kila mmoja wetu bila ya kutegemea viongozi wa dini. Umewahi kufikiri kwamba kama ungekuwa unaishi duniani wewe peke yako, ungemtegemea nani? Tafakari!
My friend, pentecostalism (makanisa yoote ya evangelistic uliyoorodhesha hapo) yalianza wakati wa uamsho wa azusa street, hapo Roho Mtakatifu aliposhuka tena kwa karne nyingi sana baada ya kupotea. elewa kwamba, makanisa kama ya catholic waumini wake wa awali kabisa walikuwa wale wa mlengo wa mitume (Petro, hata ukienda pale vatican panaitwa st.Peter/santa puetro), Paul, Petro etc walianzisha.baadaye ile imani ya mitume ilikuja kupotea kabisa na Mungu akawa haabudiwi ila dini. trust me, hayo mnayoamini leo kweney catholic, sio yale walikuwa wanaamini na kuabudu mitume.

1. Mitume waliamini ujazo wa Roho Mtakatifu na kunena kwa lugha, ninyi hamuamini na hakuna aliyejazwa.
2. Mitume hawajawahi hata siku moja kuabudu wafu, ninyi mnaabudu na kuomba kwa wafu.
3. Mitume hawajawahi kuabudu Maria, ninyi Maria anaheshimiwa kuliko hata Mungu.
4. Mitume waliombea na kufukuza pepo wachafu. hakuna hata padre mwenye uwezo kukemea pepo leo. na wengi wanaenda kwa waganga
5. Mitume walizunguka dunia nzima kuhubiri injili, ninyi mnahubiri dini.
6. Mitume walijazwa na kutembea na nguvu za Mungu. ninyi hakuna nguvu za Mungu kwa padre wala askofu. ni dini tu.

kuna mengi. kitu pekee mlichoisaidia dunia ni kusambaza elimu dunia/mashule na vyuo. ila hata nikihudhuria misiba yenu padre ambaye amesoma miaka mingi mno akianza kuhubiri huwa nawaonea huruma kwasababu hajui Biblia na hana hata nguvu ya Mungu.

ushauri kwako. jua kwamba ,leo hii Yesu Kristo akirudi, kama wewe hauna Roho Mtakatifu, unaachwa.

Rum 8:9 Lakini ikiwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu, ninyi hamwufuati mwili; bali mwaifuata roho. Lakini mtu awaye yote asipokuwa na Roho wa Kristo, huyo si wake.​


Matendo 19:1 1Wakati Apolo alipokuwa Korintho, Paulo alisafiri sehemu za bara, akafika Efeso ambako aliwakuta wanafunzi kadhaa. 2Akauliza, “Je, mlipopata kuwa waumini mlipokea Roho Mtakatifu?” Nao wakamjibu, “La! Hata hatujasikia kwamba kuna Roho Mtakatifu.” 3Naye akasema, “Sasa mlipata ubatizo wa namna gani?” Wakamjibu, “Ubatizo wa Yohane.” 4Naye Paulo akasema, “Ubatizo wa Yohane ulikuwa wa kuonesha kwamba watu wametubu. Yohane aliwaambia watu wamwamini yule ambaye alikuwa anakuja baada yake, yaani Yesu.” 5Baada ya kusikia hayo, walibatizwa kwa jina la Bwana Yesu. 6Basi, Paulo akawawekea mikono, na Roho Mtakatifu akawashukia, wakaanza kusema lugha ngeni na kutangaza ujumbe wa Mungu. 7Wote jumla walikuwa watu wapatao kumi na wawili.

"Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya, watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya." (Marko 16:17-18)

DISCLAIMER: pamoja na yote hayo niliyoandika, siungi mkono manabii wa kisasa wa kuuza mafuta, maji na chumvi badala ya kutumia Jina la Yesu. pia uwepo wao na kujifanya kwao kama ndio walokole hakumaanishi kwamba katika dunia hii hakuan walokole. kuna watu waliookoka wanaotembea na nguvu za Mungu hata leo hii, ila hao wachache wanaotafuta pesa kwa mgongo wa imani ni kama kenge kwenye kundi la mamba.
 
UNADOKOA KAMSTARI EE, SIO KILA MWENYE ROHO MTAKATIFU LAZIMA ANENE KWA LUGHA, HIYO NI MOJA TU YA KARAMA , NDIO MAANA TUNASHANGAA NINYI WOTE MNASEMA MNANENA,

Roho Mtakatifu hugawa karama kwa kila mtu kama apendavyo yeye, lakini hawapatii watu wote karama moja, zinatofautiana.

TWENDE KWENYE MAANDIKO

Lakini kazi hizi zote huzitenda Roho huyo mmoja, yeye yule, akimgawia kila mtu peke yake kama apendavyo yeye.” “Je! wote ni mitume? wote ni manabii? wote ni waalimu? wote wanatenda miujiza? wote wana karama za kuponya wagonjwa? wote wanena kwa lugha? wote wafasiri? Takeni sana karama zilizo kuu. Hata hivyo nawaonyesha njia iliyo bora.” “Nijaposema kwa lugha za wanadamu na za malaika, kama sina upendo, nimekuwa shaba iliayo na upatu uvumao. Tena nijapokuwa na unabii, na kujua siri zote na maarifa yote, nijapokuwa na imani timilifu kiasi cha kuweza kuhamisha milima, kama sina upendo, si kitu mimi. Tena nikitoa mali zangu zote kuwalisha maskini, tena nikijitoa mwili wangu niungue moto, kama sina upendo, hainifaidii kitu.” 1 Kor. 12:11, 29-31; 13:1-3.

Sasa niweke CONCLUSION nipishe na wengine waje kujadili mada. Maana bado nina mengi na naona sitayamaliza.

CONCLUSION YANGU NI KAMA IFUATAVYO:

Roho Mtakatifu ndiyo ni kweli anamgawia mtu kadri anavyopenda yeye, hata karama za rohoni kuna atakayepewa nyingi kuna atakayepewa chache, ni kadri Roho atakavyopenda mwenyewe, hapangiwi. Hata kunena, kuna atakaye nena sana na kuna atakaye nena kidogo, ni kadri Roho atakavyopenda mwenyewe.


Roho Mtakatifu vilevile hana limitation, sio jukumu letu kumpangia Roho Mtakatifu utendaji na kumpangia idadi ya watu wanaopaswa kunena kwa lugha, akiamua watu wote wanene na asiwepo mtafsiri, wote watanena na hakuna atakaye tafsiri, akiamua wanene kumi na watafsiriwe itakuwa hivyo. Hivyo hatupaswi kumwingilia.


Kuhusu namna gani tunene, hilo pia sio jukumu letu kumpangia Roho Mtakatifu kwamba tunene kwa mfumo gani, ni kumruhusu tu atutumie tunene kama atakavyopenda yeye mwenyewe.


Mwisho kabisa, muhimu injili kusonga mbele na mwili wa Kristo uzidi kujengwa. Hayo mengine kuhusiana na Roho Mtakatifu ni sisi kuwa na utayari na kumruhusu Roho Mtakatifu mioyoni mwetu atutumie na kutupa karama zake mbalimbali kama atakavyopenda yeye mwenyewe.

Usikosoe wengine ila mwache Roho Mtakatifu afanye kazi yake na awatumie kama apendavyo yeye.
 
mkuu toka nje ya box, usibebwe na mafundisho usiyojua msingi wake, hivi kule unakoambiwa ni kunena kwa lugha, ulishafatilia vzr msingi wake?
"Nijaposema Kwa lugha za wanadamuna za malaika....".
Unazijua lugha za malaika utuambie zikoje?
 
Back
Top Bottom