Point.Kwa uelewa wangu wao ndo wanakualika wewe ujiunge sio wewe ujipeleke, ukiwa na rafiki ambaye yupo tayar Freemason yeye ndiye atakuharika baada ya hapo watakufanyia mahojiano, hawa watu wapo selective wanachagua watu ambao wanajiweza kiuchumi, na wapo smart kichwan
Sikiliza mahojiano ya aliekuwa raisi wa ghana kufuarPoint.
Ila ina maaan members wote wamechaguana wenyewe? hakuna aliyejipeka?
KanumbsNani huyo
Okay 👍Kanumbs
AHA aha freemason is not for everyoneSikiliza mahojiano ya aliekuwa raisi wa ghana kufuarView attachment 2837708
Illuminati ndio ilianzia Bavaria, na kimsingi Illuminati na Freemason ni jamii mbili tofauti, ingawa illuminati wameweza kupenyeza kwa siri members wao kwenye karibu societies na institutions zote kubwa duniani. Hii ni kusema hata ndani ya Freemason wamo members wa Illuminati. Sijui kama naeleweka hapa.Mbona wanasema Freemasonry ilianzishwa Bavaria ujerumani mei mosi baada ya kufutwa kundi la Jesuit ulaya.
1776, na Adam Weishapt
Hii imekaaje, au illuminati sio haohao Freemasons.
Huwezi kujipeleka mwenyeweJipeleke ukawamalize ndugu zako na watanzania wenzako, yaani kwa kifupi utajuta kuingia...
Unaweza sana, Kuna direct na indirect recruiting....Huwezi kujipeleka mwenyewe
Naunga mkono hojaUnaweza sana, Kuna direct na indirect recruiting....
Jipeleke ukawamalize ndugu zako na watanzania wenzako, yaani kwa kifupi utajuta kuingia...
👆Sikiliza mahojiano ya aliekuwa raisi wa ghana kufuarView attachment 2837708