M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Chama rafiki FRELIMO wamecheza na uchaguzi sasa vurugu kama zote wafungwa zaidi ya 6000 wametoroka gerezani. Ni suala la muda tu Msumbiji mpya inazaliwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wafungwa 6000 gereza la machava maputo wameiba na AK 47Chama rafiki FRELIMO wamecheza na uchaguzi sasa vurugu kama zote wafungwa zaidi ya 2500 wametoroka gerezani. Ni suala la muda tu Msumbiji mpya inazaliwa.
This Time polisi na usalama wa Mozambique wametaka Frelimo ijiteteeChama rafiki FRELIMO wamecheza na uchaguzi sasa vurugu kama zote wafungwa zaidi ya 2500 wametoroka gerezani. Ni suala la muda tu Msumbiji mpya inazaliwa.
Wafungwa hawawezi kujifungua, lazima wamepewa ushirikiano na watu maalum.Chama rafiki FRELIMO wamecheza na uchaguzi sasa vurugu kama zote wafungwa zaidi ya 2500 wametoroka gerezani. Ni suala la muda tu Msumbiji mpya inazaliwa.
Mpinzani ameeleza kwamba ikifika January 15 2025 anajitangaza Rais wa MsumbijiChama rafiki FRELIMO wamecheza na uchaguzi sasa vurugu kama zote wafungwa zaidi ya 2500 wametoroka gerezani. Ni suala la muda tu Msumbiji mpya inazaliwa.
safiiiMpinzani ameeleza kwamba ikifika January 15 2025 anajitangaza Rais wa Msumbiji
Nyusi si ameshatoroka?Mpinzani ameeleza kwamba ikifika January 15 2025 anajitangaza Rais wa Msumbiji
Daniel Chapo swahiba wa TanganyikaHapo mjinga mmoja anataka kuwa Rais hata kwa wengine kufa, nyuma akidanganywa na machawa wake ili waendelee tu kula keki ya Taifa kwa kuwaslave mamilioni
Chama rafiki na nani? Huko hakujawahi kuwa na utulivu.Chama rafiki FRELIMO wamecheza na uchaguzi sasa vurugu kama zote wafungwa zaidi ya 2500 wametoroka gerezani. Ni suala la muda tu Msumbiji mpya inazaliwa.
Namuunga mkono.Mpinzani ameeleza kwamba ikifika January 15 2025 anajitangaza Rais wa Msumbiji
Unamuunga mkono ukiwa wapi? Taja majina yako matatu kama yanavyoonekana kwenye kitambulisho cha NIDANamuunga mkono.
Hatari hii.....Chama rafiki FRELIMO wamecheza na uchaguzi sasa vurugu kama zote wafungwa zaidi ya 2500 wametoroka gerezani. Ni suala la muda tu Msumbiji mpya inazaliwa.
Mbona hata Nelson Mandela pia nilikuwa namuunga mkono na hukuja kunihoji Kitambulisho?Unamuunga mkono ukiwa wapi? Taja majina yako matatu kama yanavyoonekana kwenye kitambulisho cha NIDA
Si kila aliyepo jf ana kitambulisho duni cha NidaUnamuunga mkono ukiwa wapi? Taja majina yako matatu kama yanavyoonekana kwenye kitambulisho cha NIDA
Kwahiyo unashangilia wafungwa kutoroka? Kwani kikiingia chama chengine hakutakuwa na wafungwa? Hizi akili mnazitowaGA wapi?Wafungwa 6000 gereza la machava maputo wameiba na AK 47
Kwahiyo umeona Kuna furaha yoyote hapo tumia akiliKwahiyo unashangilia wafungwa kutoroka? Kwani kikiingia chama chengine hakutakuwa na wafungwa? Hizi akili mnazitowaGA wapi?
Saa100 asikilize hii habari vizuriChama rafiki FRELIMO wamecheza na uchaguzi sasa vurugu kama zote wafungwa zaidi ya 6000 wametoroka gerezani. Ni suala la muda tu Msumbiji mpya inazaliwa.
Huyo mjinga ni nani?Hapo mjinga mmoja anataka kuwa Rais hata kwa wengine kufa, nyuma akidanganywa na machawa wake ili waendelee tu kula keki ya Taifa kwa kuwaslave mamilioni