FRELIMO imechezea uchaguzi, wanalinywa!

FRELIMO imechezea uchaguzi, wanalinywa!

hivi hao FRELIMO ni wakubwa kuliko nchi.? watu hawatakiwi na wananchi walio wengi kwanini jeshi la nchi lisiingilie kati na kuwatimua hao FRELIMO haiwezekani nchi inaharibika kisa wapuuzi wachache wanaojali matumbo yao tu..ni wakati wa usalama wa taifa na jeshi kuwasaidia wanachj kupata haki yao wanayoipigania..ila afrika ni laana yaani taasisi zenye uwezo wa kumtoa rais kwenye madaraka tena ya wizi yasiyo halali zipo tu zinatizama na kuwalinda mabazazi.!
Wewe unahisi jeshi la msumbiji nikama jeshi lenu la Burundi sio acha wakichafue tu maana mazoea yamezidi
 
hivi hao FRELIMO ni wakubwa kuliko nchi.? watu hawatakiwi na wananchi walio wengi kwanini jeshi la nchi lisiingilie kati na kuwatimua hao FRELIMO haiwezekani nchi inaharibika kisa wapuuzi wachache wanaojali matumbo yao tu..ni wakati wa usalama wa taifa na jeshi kuwasaidia wanachj kupata haki yao wanayoipigania..ila afrika ni laana yaani taasisi zenye uwezo wa kumtoa rais kwenye madaraka tena ya wizi yasiyo halali zipo tu zinatizama na kuwalinda mabazazi.!
Naunga MKONO HOJA ya Jeshi kuingilia hali iliyopo kwa sasa..rudisha amani, baada ya miezi 6, nchi apewe MPINZANi..ishara na dalili zote zinaonyesha huyo ndio CHAGUO la Wananchi
 
Nimefurahishwa sana pale wafungwa 6000 kutoroka na kuchukua silaha za kutosha.Hizo silaha zitatumika kuwalazimisha kuacha uhuni hao Frelimo. CCM ujiandae kunyolewa
 
Unamuunga mkono ukiwa wapi? Taja majina yako matatu kama yanavyoonekana kwenye kitambulisho cha NIDA
Afrika ni moja Wazungu waliwagawa ili wawatawale kirahisi na ninyi mnaendelea kubaguana kwa mipaka ya kina Dr Livingstone na Carl Peter's..
 
Nimefurahishwa sana pale wafungwa 6000 kutoroka na kuichukua silaha za kutosha.Hizo silaha zinatumika kuwalazimisha kuacha uhuni hao Frelimo. CCM ujiandae kunyolewa
Huo ni mpango sio kwamba wamekurupuka hiyo Nchi haitatawalika kama wataendelea kung'ang'ania madaraka niliona border moja ya SA/Msumbiji walienda kufunga siku wiki nzima kwa maandamano na jamaa wapo serious kweli..
 
Mbona hata Nelson Mandela pia nilikuwa namuunga mkono na hukuja kunihoji Kitambulisho?

Wapinzani lazima tuungane mkono wewe kama ni CCM unga mkono RRELIMO povu la nini?
🤣 🤣 🤣
 
Nimefurahishwa sana pale wafungwa 6000 kutoroka na kuchukua silaha za kutosha.Hizo silaha zitatumika kuwalazimisha kuacha uhuni hao Frelimo. CCM ujiandae kunyolewa
Jeshi hilohilo wamelidharau miaka yote
 
Ona Udikteta wa vyama tawala unavyoleta madhara.

Kwa nchi za africa hakuna demokrasia mpaka kupindua meza tu

Vyama tawala vinang'ang'ania madaraka utadhani wao ndo waliozaliwa kuongoza tu
KWA HALI HII MACHAFUKO HAYATAISHA
 
Chama rafiki FRELIMO wamecheza na uchaguzi sasa vurugu kama zote wafungwa zaidi ya 6000 wametoroka gerezani. Ni suala la muda tu Msumbiji mpya inazaliwa.
Hakuna wanapilinywa Mahakama ime confirm ushindi wao na wameshika haramu.

Watakaoandamana watachezea kichapo kama.walivyochezea.
 
Unamuunga mkono ukiwa wapi? Taja majina yako matatu kama yanavyoonekana kwenye kitambulisho cha NIDA
Kwa merits zipi unaulizia details za mtu kwa issue kama.hii?

Wewe ni dhahiri upo humu mitandaoni kutafuta victims ili muwaue wale wanaoona mfumo ni tawi la kishetani
 
Chama rafiki FRELIMO wamecheza na uchaguzi sasa vurugu kama zote wafungwa zaidi ya 6000 wametoroka gerezani. Ni suala la muda tu Msumbiji mpya inazaliwa.
CCM vichwa vigumu muda sio mrefu somo litawaingia.
 
Msumbiji ni kama huku cambodia hatuna tofauti
Africa haiwezi kabidhi madaraka Kwa vibaraka.

Africa siasa ni maisha ndio maana hata Rais wa Zambia mliyemchagua Kwa mbwembwe na Kumuita Mwanademokrasia kageuka Dikteta na kuzuia wenzake kugombea
 
Back
Top Bottom