MAHALI; Mwanza mjini kati
UKUBWA: Fremu moja ila ukubwa kama wa fremu mbili pamoja na ubaraza mkuubwa
Biashara zinazofaa katika hii fremu ni zile kubwa kubwa kwa sababu frem ni kubwa na ina ubaraza mkubwa....mfano vifaa vya ujenzi, restaurant, salon kubwa, mapambo ya ndani, na nyinginezo
FREMU NI KUBWA kias kwamba unaweza tenga ukaweka biashara mbili tofauti....na zote zikaenda vizuri kwa sababu ni barabaran kabisa main road
KODI YAKE; milioni 5 kwa mwaka
MAUZO YA BIASHARA ILIYOPO;
mauzo kwa yanatifautiana kwa siku ila FAIDA kwa siku ina range kuanzia 100,000 hadi 150,000 baada ya kutoa matumizi
FAIDA KWA MWAKA
;; milioni 36 kama ukifanya siku zote za mwaka
GHARAMA ZA KUUZA FREMU
Ni milioni 25 kama ni frem tu...kama ni frem na biashara yake ni milioni 30...gharama imekuwa hiv kwa sababu frem ni kubwa sana na iko barabaranali kabisaaa main road na pia kuna maboresho makubwa yalifanyika hapo
Fremu bado ina kodi ya miezi 10 ....kwa hiyo ukiichukua unaendelea kutumia muda uliobaki ukiisha unaendelea kulipa kodi kama kawaida
Maongezi yapo na punguzo kidogo..
Mawasiliano.....0744597493
Karibuni
Ukiichukua ukaendelea kufanya biashara iliyopo sasa hiv unaweza rudisha hiyo hela yako baada ya mwaka mmoja tu....au kutokana na changamoto za hapa na pale kama kuumwa au kutofungua unaweza irudisha baada ya mwaka mmoja na miezi michache.
UKUBWA: Fremu moja ila ukubwa kama wa fremu mbili pamoja na ubaraza mkuubwa
Biashara zinazofaa katika hii fremu ni zile kubwa kubwa kwa sababu frem ni kubwa na ina ubaraza mkubwa....mfano vifaa vya ujenzi, restaurant, salon kubwa, mapambo ya ndani, na nyinginezo
FREMU NI KUBWA kias kwamba unaweza tenga ukaweka biashara mbili tofauti....na zote zikaenda vizuri kwa sababu ni barabaran kabisa main road
KODI YAKE; milioni 5 kwa mwaka
MAUZO YA BIASHARA ILIYOPO;
mauzo kwa yanatifautiana kwa siku ila FAIDA kwa siku ina range kuanzia 100,000 hadi 150,000 baada ya kutoa matumizi
FAIDA KWA MWAKA
;; milioni 36 kama ukifanya siku zote za mwaka
GHARAMA ZA KUUZA FREMU
Ni milioni 25 kama ni frem tu...kama ni frem na biashara yake ni milioni 30...gharama imekuwa hiv kwa sababu frem ni kubwa sana na iko barabaranali kabisaaa main road na pia kuna maboresho makubwa yalifanyika hapo
Fremu bado ina kodi ya miezi 10 ....kwa hiyo ukiichukua unaendelea kutumia muda uliobaki ukiisha unaendelea kulipa kodi kama kawaida
Maongezi yapo na punguzo kidogo..
Mawasiliano.....0744597493
Karibuni
Ukiichukua ukaendelea kufanya biashara iliyopo sasa hiv unaweza rudisha hiyo hela yako baada ya mwaka mmoja tu....au kutokana na changamoto za hapa na pale kama kuumwa au kutofungua unaweza irudisha baada ya mwaka mmoja na miezi michache.