Fremu ya biashara vinauzwa Mwanza

Fremu ya biashara vinauzwa Mwanza

Mpka sasa sijaelewa hii frame inauzwa au inapangishwa?
inapangishwa......ila bado ina muda wa kodi miezi kumi hiv....lakin pia biashara nayo inauzwa kama mhitaji atahitaji vyote
 
Nilichoelewa
Frem inauzwa inauzwa sh 35 millioni (hapa ni frem tupu ila bado ina kodi ya miezi 10)

Ukinunua frem na mzigo ni sh. 38 millioni maana yake mzigo ulioko ndani cost yake ni sh million 3 pekee!.

Kwaiyo unachotafuta hapa ni KILEMBA ambacho ni millioni 35 kwasababu frem iko eneo potential kibiashara

Sasa ulitakiwa uwe straight tu kwamba FREM INAPATIKANA MWANZA ENEO ZURI LA BIASHARA KWA KUTOA KILEMBA.
 
Nilichoelewa
Frem inauzwa inauzwa sh 35 millioni (hapa ni frem tupu ila bado ina kodi ya miezi 10)

Ukinunua frem na mzigo ni sh. 38 millioni maana yake mzigo ulioko ndani cost yake ni sh million 3 pekee!.

Kwaiyo unachotafuta hapa ni KILEMBA ambacho ni millioni 35 kwasababu frem iko eneo potential kibiashara

Sasa ulitakiwa uwe straight tu kwamba FREM INAPATIKANA MWANZA ENEO ZURI LA BIASHARA KWA KUTOA KILEMBA.
sawa mkuu...but pia kuna punguzo kidogo
 
Ukishaona biashara ina usiri mkubwa hivyo jua cyo legit labda legit uende nayo wew kichwa kichwa kama picha ya Patrick inavyojieleza urudi kufungua Uzi wa SITOSAHAU NILIVYOTAPELIWA MWANZA
mkuu...hiyo ni pesa nyingi..mpaka anakubali kutoa 35 au pungufu maana yake kashathibitisha mambo yote...so mteja hatakiwi kuwa na shaka
 
Ukitoa hela utaelewa 😀😀😀😀
acheni kuwa na vichwa vigumu...Frem inapangushwa..ila ili kuichukua kuna kiremba unatakiwa kulipia...plus kuna kodi humo humo...sasa cha ajabu nini hapo??
 
acheni kuwa na vichwa vigumu...Frem inapangushwa..ila ili kuichukua kuna kiremba unatakiwa kulipia...plus kuna kodi humo humo...sasa cha ajabu nini hapo??
Kweli inapangushwa.....maana heading inasema inauzwa na kukodishwa, hivi Sasa umeongeza inapangushwa 😀😀😀😀😀
 
Kweli inapangushwa.....maana heading inasema inauzwa na kukodishwa, hivi Sasa umeongeza inapangushwa 😀😀😀😀😀
mkuu, unakomaa hata kwa typing error?? una umri gani?
 
frem moja na eneo kubwa kiasi kwamba unaweza tenga ukaweka frem mbili!
 
MAHALI; Mwanza mjini kati

UKUBWA: Fremu moja ila ukubwa kama wa fremu mbili pamoja na ubaraza mkuubwa

Biashara zinazofaa katika hii fremu ni zile kubwa kubwa kwa sababu frem ni kubwa na ina ubaraza mkubwa....mfano vifaa vya ujenzi, restaurant, salon kubwa, mapambo ya ndani, na nyinginezo

FREMU NI KUBWA kias kwamba unaweza tenga ukaweka biashara mbili tofauti....na zote zikaenda vizuri kwa sababu ni barabaran kabisa main road

KODI YAKE; milioni 5 kwa mwaka

MAUZO YA BIASHARA ILIYOPO;
mauzo kwa yanatifautiana kwa siku ila FAIDA kwa siku ina range kuanzia 100,000 hadi 150,000 baada ya kutoa matumizi

FAIDA KWA MWAKA
;; milioni 36 kama ukifanya siku zote za mwaka

GHARAMA ZA KUUZA FREMU

Ni milioni 35 kama ni frem tu...kama ni frem na biashara yake ni milioni 38....gharama imekuwa hiv kwa sababu frem ni kubwa sana na iko barabaranali kabisaaa main road na pia kuna maboresho makubwa yalifanyika hapo

Fremu bado ina kodi ya miezi 10 ....kwa hiyo ukiichukua unaendelea kutumia muda uliobaki ukiisha unaendelea kulipa kodi kama kawaida

Maongezi yapo na punguzo kidogo..

Mawasiliano.....0744597493

Karibuni

Ukiichukua ukaendelea kufanya biashara iliyopo sasa hiv unaweza rudisha hiyo hela yako baada ya mwaka mmoja tu....au kutokana na changamoto za hapa na pale kama kuumwa au kutofungua unaweza irudisha baada ya mwaka mmoja na miezi michache.

Unawezaje kujua faida ya frame kirahisi hivyo?
 
mkuu kama upo mwanza..nipigie uje ujihakikishie....na mimi sio dalali....njoo ujioneee

naona hapo bwana Patrick anafanya utoto tu
Tatizo la watu wa mwanza unakuta mtu anafanya biashara kama huyu jamaa alafu watu wakimuuloza hapa anataka apigiwe na Akio giwa anataka mtu AENDE Sasa ni lazima nije uwezi nipa abc hapa kisha niliona panafaa napita sababu naweza kupata info hapa hapa na nikapita kwenye hiyo duka nikaona kwangu mimi hapafai Sasa Kuna haja ya kusumbua kujuana kabla?
 
Back
Top Bottom