- Thread starter
- #21
inapangishwa......ila bado ina muda wa kodi miezi kumi hiv....lakin pia biashara nayo inauzwa kama mhitaji atahitaji vyoteMpka sasa sijaelewa hii frame inauzwa au inapangishwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inapangishwa......ila bado ina muda wa kodi miezi kumi hiv....lakin pia biashara nayo inauzwa kama mhitaji atahitaji vyoteMpka sasa sijaelewa hii frame inauzwa au inapangishwa?
Sawa.All the best mkuuinapangishwa......ila bado ina muda wa kodi miezi kumi hiv....lakin pia biashara nayo inauzwa kama mhitaji atahitaji vyote
kodi iko humohumo mkuu...na tayari ipo miezi kumi ya kodi...na ni frem kubwa na eneo kubwa unaweza tenga ukafanya frem mbili kubwa tu ukaweka biashara mbili tofauti...na ni barabarani kabisa main road...0744597493Kilemba milioni 35,hapo bado kodi.
Fremu ni mali yako?kodi iko humohumo mkuu...na tayari ipo miezi kumi ya kodi...na ni frem kubwa na eneo kubwa unaweza tenga ukafanya frem mbili kubwa tu ukaweka biashara mbili tofauti...na ni barabarani kabisa main road...0744597493
sawa mkuu...but pia kuna punguzo kidogoNilichoelewa
Frem inauzwa inauzwa sh 35 millioni (hapa ni frem tupu ila bado ina kodi ya miezi 10)
Ukinunua frem na mzigo ni sh. 38 millioni maana yake mzigo ulioko ndani cost yake ni sh million 3 pekee!.
Kwaiyo unachotafuta hapa ni KILEMBA ambacho ni millioni 35 kwasababu frem iko eneo potential kibiashara
Sasa ulitakiwa uwe straight tu kwamba FREM INAPATIKANA MWANZA ENEO ZURI LA BIASHARA KWA KUTOA KILEMBA.
Ukishaona biashara ina usiri mkubwa hivyo jua cyo legit labda legit uende nayo wew kichwa kichwa kama picha ya Patrick inavyojieleza urudi kufungua Uzi wa SITOSAHAU NILIVYOTAPELIWA MWANZAIpo mtaa gani? Au ni kama hiyo picha ya patrickk
mkuu...hiyo ni pesa nyingi..mpaka anakubali kutoa 35 au pungufu maana yake kashathibitisha mambo yote...so mteja hatakiwi kuwa na shakaUkishaona biashara ina usiri mkubwa hivyo jua cyo legit labda legit uende nayo wew kichwa kichwa kama picha ya Patrick inavyojieleza urudi kufungua Uzi wa SITOSAHAU NILIVYOTAPELIWA MWANZA
vip mkuu?Duh aiseee
Ukitoa hela utaelewa 😀😀😀😀Mpka sasa sijaelewa hii frame inauzwa au inapangishwa?
acheni kuwa na vichwa vigumu...Frem inapangushwa..ila ili kuichukua kuna kiremba unatakiwa kulipia...plus kuna kodi humo humo...sasa cha ajabu nini hapo??Ukitoa hela utaelewa 😀😀😀😀
Kweli inapangushwa.....maana heading inasema inauzwa na kukodishwa, hivi Sasa umeongeza inapangushwa 😀😀😀😀😀acheni kuwa na vichwa vigumu...Frem inapangushwa..ila ili kuichukua kuna kiremba unatakiwa kulipia...plus kuna kodi humo humo...sasa cha ajabu nini hapo??
mkuu, unakomaa hata kwa typing error?? una umri gani?Kweli inapangushwa.....maana heading inasema inauzwa na kukodishwa, hivi Sasa umeongeza inapangushwa 😀😀😀😀😀
MAHALI; Mwanza mjini kati
UKUBWA: Fremu moja ila ukubwa kama wa fremu mbili pamoja na ubaraza mkuubwa
Biashara zinazofaa katika hii fremu ni zile kubwa kubwa kwa sababu frem ni kubwa na ina ubaraza mkubwa....mfano vifaa vya ujenzi, restaurant, salon kubwa, mapambo ya ndani, na nyinginezo
FREMU NI KUBWA kias kwamba unaweza tenga ukaweka biashara mbili tofauti....na zote zikaenda vizuri kwa sababu ni barabaran kabisa main road
KODI YAKE; milioni 5 kwa mwaka
MAUZO YA BIASHARA ILIYOPO;
mauzo kwa yanatifautiana kwa siku ila FAIDA kwa siku ina range kuanzia 100,000 hadi 150,000 baada ya kutoa matumizi
FAIDA KWA MWAKA
;; milioni 36 kama ukifanya siku zote za mwaka
GHARAMA ZA KUUZA FREMU
Ni milioni 35 kama ni frem tu...kama ni frem na biashara yake ni milioni 38....gharama imekuwa hiv kwa sababu frem ni kubwa sana na iko barabaranali kabisaaa main road na pia kuna maboresho makubwa yalifanyika hapo
Fremu bado ina kodi ya miezi 10 ....kwa hiyo ukiichukua unaendelea kutumia muda uliobaki ukiisha unaendelea kulipa kodi kama kawaida
Maongezi yapo na punguzo kidogo..
Mawasiliano.....0744597493
Karibuni
Ukiichukua ukaendelea kufanya biashara iliyopo sasa hiv unaweza rudisha hiyo hela yako baada ya mwaka mmoja tu....au kutokana na changamoto za hapa na pale kama kuumwa au kutofungua unaweza irudisha baada ya mwaka mmoja na miezi michache.
Tatizo la watu wa mwanza unakuta mtu anafanya biashara kama huyu jamaa alafu watu wakimuuloza hapa anataka apigiwe na Akio giwa anataka mtu AENDE Sasa ni lazima nije uwezi nipa abc hapa kisha niliona panafaa napita sababu naweza kupata info hapa hapa na nikapita kwenye hiyo duka nikaona kwangu mimi hapafai Sasa Kuna haja ya kusumbua kujuana kabla?mkuu kama upo mwanza..nipigie uje ujihakikishie....na mimi sio dalali....njoo ujioneee
naona hapo bwana Patrick anafanya utoto tu