Friend mechi Yanga vs Singida UNITED leo Taifa!


Huyu kijana anajua kuchambua mpira tofauti na wachambuzi wengine wakibongo wanaonesha mahaba kwa timu zao kuliko uhalisia Wa mchezo

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hao wanasubiri ubingwa kutoka FIFA.

Wamekuwa waimba taarab kama Hadija Manara.
 
Hata Friendly unahonga?

Sent using Jamii Forums mobile app

Tunahonga nini na mnasema hatuna pesa hali yetu ngumu au mmesahau...???Manara kawapa ulemavu wa akili [emoji23][emoji23] akisema Yanga kanunua mechi basi wote mnapiga kelele...Ndiooooooo na mnaogopa hata kuuliza rufaa yenu FIFA nasubiri ligi ianze nicheke anavyowaburuza.
 
Mngekuwa na hela mngeiba miwa Huko manungu?

Pogba wa tz nchi imekushinda!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…