Ulisema Yanga mbovu itashuka daraja mara umegeuka kua Singida sio timu duh uyu Manara anawaharibuni sana maana hata kushirikisha ubongo hamtaki dakika kadhaa tu umesahau ulichosema mwanzo.
Vitendo dhidi ya maneno,Yanga ni bingwa wa kihistoria naomba nikumbushe lini ulibeba VPL..[emoji23][emoji23]
Hao wanasubiri ubingwa kutoka FIFA.
Wamekuwa waimba taarab kama Hadija Manara.
Hata Friendly unahonga?Wanahangaika kweli kama waimba taarabu hawafikirii wanabeba vipi ubingwa wapo tu kiboya.
Aveva, manara & Co wamewaaribu akili kabisa
Nyie si bado mnausubiria ubingwa wa kutoka fifaUbingwa walipewa na malinzi sasa ananyea debe afungwe Hata maisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazururaji Mara tatu mfululizo pia!Mabingwa mara 3 mfululizo
Zile point 3 za FIFA vipi bado hazijarudi?
Mngekuwa na hela mngeiba miwa Huko manungu?Tunahonga nini na mnasema hatuna pesa hali yetu ngumu au mmesahau...???Manara kawapa ulemavu wa akili [emoji23][emoji23] akisema Yanga kanunua mechi basi wote mnapiga kelele...Ndiooooooo na mnaogopa hata kuuliza rufaa yenu FIFA nasubiri ligi ianze nicheke anavyowaburuza.
7G ile timu iliyowapiga wiki kule sauz imeomba mrudiane tena hapo taifa stadium
Unajitejenya na kucheka mwenyewe7G ile timu iliyowapiga wiki kule sauz imeomba mrudiane tena hapo taifa stadium
Subir icheze azam tumjue vizuri.
Huyu kijana anajua kuchambua mpira tofauti na wachambuzi wengine wakibongo wanaonesha mahaba kwa timu zao kuliko uhalisia Wa mchezo
Sent using Jamii Forums mobile app
nyie 7G kombe lenu kutoka fifa linakuja lini tuje kukusaidieni kulipokea?
Umeshalewa madadii tulia wewe ngadanyie 7G kombe lenu kutoka fifa linakuja tuje kukusaidieni kulipokea?
7G mna zali,kombe lenu linatoka geneva,mkienda kulipokea mtushtue na sisi tuwasindikize