balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Manara yeye dili wenzie kawaharibu akili,,,,, wahenga fc.Tunahonga nini na mnasema hatuna pesa hali yetu ngumu au mmesahau...???Manara kawapa ulemavu wa akili [emoji23][emoji23] akisema Yanga kanunua mechi basi wote mnapiga kelele...Ndiooooooo na mnaogopa hata kuuliza rufaa yenu FIFA nasubiri ligi ianze nicheke anavyowaburuza.
\timu ni Loyal Eagles aliyekupiga 7 kwa nunge....
Ylu anaitwa Okoth....mnigeria amechezeshwa nafasi ambayo sio yake kanisa.Yule mchezaji wa Yanga aliyevaa jezi namba 9 kama bado hajapewa mkataba asipewe kabisa, hakuna mchezaji pale.
Hamna llt pale,singida pumzi hawana km tulivyokuwaga ss,hlf na mzimu kukosa penalti babu kahamia nao singidaKwa muda ambao Hans kakaa na timu yenye wachezaji wengi wa kigeni. Anastahili pongezi maana sasa tunaona Chemistry nzuri ya timu. Bado mapungufu madogo sana. Natumai kama mpira utachezeswa kwa haki hawa wahenga simba na yanga watapisha hapo juu.
Labda simba ila kwa Yanga,maji mtayaita mma.Kwa muda ambao Hans kakaa na timu yenye wachezaji wengi wa kigeni. Anastahili pongezi maana sasa tunaona Chemistry nzuri ya timu. Bado mapungufu madogo sana. Natumai kama mpira utachezeswa kwa haki hawa wahenga simba na yanga watapisha hapo juu.
Hapo sawaYlu anaitwa Okoth....mnigeria amechezeshwa nafasi ambayo sio yake kanisa.
Huwa mnaanza hivyohivyo na jamaa yenuEti yanga! Hawa ngada ambao zilikuwa zinapigwa gonga 30 bila kuuona mpira,sizani. Hii ilikuwa mechi ya kirafiki. Kamwe usilogwe kuamini eti sgd united hawana pumzi. Hilo swala litajulikana kwenye ligi. Bado credit inamwendea mnyama maana kwa mechi za majaribio walizo cheza wako fiti zaidi ya vyura.
Kanisa ndo nini ?Ylu anaitwa Okoth....mnigeria amechezeshwa nafasi ambayo sio yake kanisa.
Sio timu itakuwa ni bendi
Waambie hao.Mimi liwaambia ukitaka raha njoo Yanga lakin hawa mambumbumbu wabishi kweli