Friendly Match: Simba Sports Club kupapatuana na Big Bullets FC Uwanja wa Taifa, Dar es salaam

Jeshi la kocha Patrick Aussems hili
 
Ahsante mkuu kwa kuwakumbusha wadau....Mnyama anaingia mawindoni tena kwa mtego mkali.
 
Hizi sasa sifa jamanini..Yaani hata mechi ya kirafiki lazima timu itoke nje ya nchi [emoji3][emoji3][emoji3]
Bwana Aussems alipendekeza timu ya nje moja na ya ndani moja.Sijajua ya ndani itakuwa ni ipi.Kama MBUTEMBUTE FC wangekubali, tungewanyoosha uzuuuri kabisa.
 
Tshishimbi soon anaenda Azam...labda waamue kumbania.
 
15' mchezo wa kirafiki uwanja wa Taifa

Simba SC 0-0 Nyasa Big Bullets FC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…