Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Chuki na roho mbaya vitakuua, bahati mbaya sana kwako Simba atashinda.Huu ni uzi wetu sisi wafurukutwa na wakereketwa wa timu ya ushindi ya US Gendamarie ambayo wiki mbili zijazo itakuja Tanzania kuzoa alama zote 3.
Kauli mbiu, Simba hatofuzu kuelekea robo fainali.
Mwisho wa siku utabaki na kilio cha aibu msukule wewe.Huu ni uzi wetu sisi wafurukutwa na wakereketwa wa timu ya ushindi ya US Gendamarie ambayo wiki mbili zijazo itakuja Tanzania kuzoa alama zote 3.
Kauli mbiu, Simba hatofuzu kuelekea robo fainali.
Acha Uhayawani We Chale Championi.Huu ni uzi wetu sisi wafurukutwa na wakereketwa wa timu ya ushindi ya US Gendamarie ambayo wiki mbili zijazo itakuja Tanzania kuzoa alama zote 3.
Kauli mbiu, Simba hatofuzu kuelekea robo fainali.
Yote ni matokeo. Hata huyu kaduwaza na aina ya matokeo.Mwisho wa siku utabaki na kilio cha aibu msukule wewe.View attachment 2160711
Umesahau n'gombe fc [emoji230][emoji230][emoji230] jina lao la sasaKabwili fc
Mama j fc
Kwa tabia hii mtaendelea kutumiwa Sana na kuachwa kwenye mataa.Huu ni uzi wetu sisi wafurukutwa na wakereketwa wa timu ya ushindi ya US Gendamarie ambayo wiki mbili zijazo itakuja Tanzania kuzoa alama zote 3.
Kauli mbiu, Simba hatofuzu kuelekea robo fainali.
Tuone kweli ile kauli eti kwa NKAPA hatoki NTU, inawezekana?, kwani jana nilimsikia shabiki wa simba, eti mpira wa Afrika ni fitina tu, kwenye uwanja wa nyumbani!!ukishindwa kuzitumia wewe ni mjinga!!soka la bongo bado sana!!
Chuki na roho mbaya vitakuua, bahati mbaya sana kwako Simba atashinda.
Umeisahau Jweneng Galaxy Makhirikhiri OriginallyPia mlikuwa friends wa AS Vita, Al Ahli, Kaiser Chiefs, Asec Mimosa, Al Hilal, Berkane, Nkana, na wengineo wengi waliofia kwa Lupaso.
Hii ni outlier ktk matokeo ya mechi za lupasoUmeisahau Jweneng Galaxy Makhirikhiri Originally
Kwani kutoka ni tatizo mkuu? Ndivyo mpira ulivyo . Umesahau kwamba utopolo naye alishiriki haya mashindano ya CAF akatolewa hatua ya awalii tena na kitimu kidogo tu cha Rivers utd?Mnatoka for sure