Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi ndio habari zinazomfanya Nyerere adharauliwe... Wabongo mnawaza ushirikina tu!Nyerere alienda kenya kumuona Kenyatta jela. Nyerere alipofika jela hakuongea chochote na Kenyatta alimtazama machoni tu kisha akarudi TZ.
Kesho yake Kenyatta aliachiwa huru.
Acha uzuzu wewe. Unajua tafsiri ya Nyerere kwenda kuonana na Kenyatta bila kuongea?Hizi ndio habari zinazomfanya Nyerere adharauliwe... Wabongo mnawaza ushirikina tu!
Dada Anna usipaniki! Hiyo sio sifa nzuri kwa Nyerere! No wonder, Mandela looked stronger than Nyerere, ni kwa sababu ya ninyi kumuunganisha Nyerere na imani zenu!Acha uzuzu wewe. Unajua tafsiri ya Nyerere kwenda kuonana na Kenyatta bila kuongea?
Akili zako zimekaa kiushirikina shirikina. Tumia akili wewe acha uzuzu.
Ficha upumbavu wako hapa. Hayo mambo ya ushirikina umeyasema wewe shenzi type.Dada Anna usipaniki! Hiyo sio sifa nzuri kwa Nyerere! No wonder, Mandela looked stronger than Nyerere, ni kwa sababu ya ninyi kumuunganisha Nyerere na imani zenu!
Ushirikina upo wapi hapoHizi ndio habari zinazomfanya Nyerere adharauliwe... Wabongo mnawaza ushirikina tu!
Ficha upumbavu wako hapa. Hayo mambo ya ushirikina umeyasema wewe shenzi type.
Unataka kulazimisha vitu ambavyo havipo. Sisi tunakufundisha historia badala ya kujifunza unaleta mambo ya ushirikina.
Halafu usivyo na adabu sisi tunaongelea issue ya uhusiano wetu na Kenya wewe unaleta stori za Mandela.
Wewe huoni hata aibu. AU wamejenga jengo la amani la Nyerere huko Addis Ababa Ethiopia. Huoni heshima kubws kapewa na Africa nzima kiwa yeye ni baba wa Amani na usuruhishi wa kidiplomasia?
Toa uzuzu wewe soma historia itakusaidia sana katika afya ya akili yako.
Acha ufinyu wa kiakili. Maximize your brain's ability.
You talk too much, I will talk less! Acheni kumfanya Nyerere aonekane kama alikuwa mganga wa kienyeji! Nyerere did his best for many!Ficha upumbavu wako hapa. Hayo mambo ya ushirikina umeyasema wewe shenzi type.
Unataka kulazimisha vitu ambavyo havipo. Sisi tunakufundisha historia badala ya kujifunza unaleta mambo ya ushirikina.
Halafu usivyo na adabu sisi tunaongelea issue ya uhusiano wetu na Kenya wewe unaleta stori za Mandela.
Wewe huoni hata aibu. AU wamejenga jengo la amani la Nyerere huko Addis Ababa Ethiopia. Huoni heshima kubws kapewa na Africa nzima kiwa yeye ni baba wa Amani na usuruhishi wa kidiplomasia?
Toa uzuzu wewe soma historia itakusaidia sana katika afya ya akili yako.
Acha ufinyu wa kiakili. Maximize your brain's ability.
Nani kasema hivyo acha upumbavu wewe. Acha kunilisha maneno ambayo sijasema. Hebu niwekee wapi nimesema hivyo.You talk too much, I will talk less! Acheni kumfanya Nyerere aonekane kama alikuwa mganga wa kienyeji! Nyerere did his best for many!
Hehe unaotaHata ule uhuru wa kenya ulisaidiwa sana na TZ.
Nyerere alienda kenya kumuona Kenyatta jela. Nyerere alipofika jela hakuongea chochote na Kenyatta alimtazama machoni tu kisha akarudi TZ.
Kesho yake Kenyatta aliachiwa huru. Baada tu ya kuachiwa huru Kenyatta alikuja Dar kuonana na Nyerere akapewa mbinu za kupata uhuru.
Lakini wakenya hawataki kujifunza historia hiyo.
Vilevile unajua kwanini TZ ilechelewa kupata uhuru? Ni kwamba tulitaka nchi zote za Africa mashariki tupate uhuru siku moja.
Sisi tungeweza kupata uhuru kabla ya 1961.
Nyie wadogo zetu kenya someni historia mjue.
Vita vya Uhuru wa kenya ndio yalikuwa the most bloody kwa all of british EmpiresHata ule uhuru wa kenya ulisaidiwa sana na TZ.
Nyerere alienda kenya kumuona Kenyatta jela. Nyerere alipofika jela hakuongea chochote na Kenyatta alimtazama machoni tu kisha akarudi TZ.
Kesho yake Kenyatta aliachiwa huru. Baada tu ya kuachiwa huru Kenyatta alikuja Dar kuonana na Nyerere akapewa mbinu za kupata uhuru.
Lakini wakenya hawataki kujifunza historia hiyo.
Vilevile unajua kwanini TZ ilechelewa kupata uhuru? Ni kwamba tulitaka nchi zote za Africa mashariki tupate uhuru siku moja.
Sisi tungeweza kupata uhuru kabla ya 1961.
Nyie wadogo zetu kenya someni historia mjue.