Friji la Kisasa Linalo Tumia umeme Kidogo (Hotpoint)

Unacho sema kinaweza kuwa kwel au Si kwel

My fact.

1.hii fridge Ina door alarm ambapo ukiiacha Waz ndan 1-2 min inapiga alarm ili uifunge

Kwaiyo inakuwezesha kuitumia kwa biashara kwa sababu hakuna madhara yoyote yatatokea unapo ifungua mara kwa mara.

2.Ina large capacity ambapo inakuwezesha kupanga vitu vingi

3. Ina temperature control system ambapo uta set kutokana na matumiz yako ya nyumban au biashara kwa sababu inapendekezwa usitumie fridge linalo anzia 20° temp so hii ina anzia 18° temp ambayo n sawa kabsa

4. Ina Thermostat kwa ajili ya control compressor kujizima yenyew ubadili unapo tosha kwenye vinywaji hivyo kuzuia chupa kupasuka na kujiwasha yenyew inapo sense vinywaji vimeanza pata joto.

Hivyo itakusaidia kuokoa umeme pia.

Mkuu Sasa ni feature ipi ambayo haikiz mahitaji ya commercial?
 
Wakuu naiuza hii frij Kwa sababu na shida lkn sikutaman kuiuza kabsa

natanguliza shukulan natumain kufikia hapa Kwa mwenye uhitaji kajilidhisha na sifa anaweza wasiliana nam akachukua fridge. Asante
0713 532 614
 
Nna ka fridge hot point mr. alianza nalo maisha mpaka leo nadhani lina miaka 20.Hii fridge ni nzuri. Sijui kama sokoni sa hivi zipo za hivo tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…