Friji lako huwa linatumia units ngapi za umeme kwa siku?

Friji lako huwa linatumia units ngapi za umeme kwa siku?

toplemon

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2017
Posts
4,612
Reaction score
4,721
Friju lako huwa linatumia kiasi gani cha umeme kwa siku?

Ni aina gani na ukubwa jee na brand?

Tupeane mbinu za kufanya friji zitumie umeme mdogo
 
Fridge za sasa zipo automatic barid likifika
Kiwango stahiki linazima barid ikipungua linajiwasha. Iyo process inasaidia kutunza umeme. Fridge yangu ni westpoint ukubwa wa wastani linakula kma 1.1unit kwa siku

hamna cha ya sasa, hata ya zamani yapo hivyo. home kuna fridge ya 98 na ilinunuliwa mtumba ina thermalstat. issue ni kwamba ma fridge ya zamani hayakuwa optimized kwenye kupunguza matumizi ya power.

Ndio maana huwa hatushauri enzi hizi kununua TV ya mtumba au Fridge la mtumba bila kuangalia energy rating hata kama linauza bei nafuu

IMG_3540.jpg

Ukinunua fridge au kifaa cha electronic/ Consumer electronic hakikisha kipo rated kuanzia A+ sio chini ya hapo Ukipata cha A++ au A+++ ni vizuri zaidi japo ni vigumu sana na ni kwa baadhi ya vifaa

Ukinunua kuanzia A kushuka chini na kama kifaa hicho muda wate kipo kwenye umeme, Mfano TV, Radio lazima utoe mlio wa Nokia tochi
 
Kama matumizi yako ya umeme kwa siku ni chini ya unit 3.0, sisi ndo wale wa hali ya chini serikali na dunia inatuzungumzia, friji la nini tena?

Standard friji, kwa levo yetu, linapaswa kugongwa chini ya unit 1 kwa siku/24hrs
 
hamna cha ya sasa, hata ya zamani yapo hivyo. home kuna fridge ya 98 na ilinunuliwa mtumba ina thermalstat. issue ni kwamba ma fridge ya zamani hayakuwa optimized kwenye kupunguza matumizi ya power.

Ndio maana huwa hatushauri enzi hizi kununua TV ya mtumba au Fridge la mtumba bila kuangalia energy rating hata kama linauza bei nafuu

View attachment 1956562
Ukinunua fridge au kifaa cha electronic/ Consumer electronic hakikisha kipo rated kuanzia A+ sio chini ya hapo Ukipata cha A++ au A+++ ni vizuri zaidi japo ni vigumu sana na ni kwa baadhi ya vifaa

Ukinunua kuanzia A kushuka chini na kama kifaa hicho muda wate kipo kwenye umeme, Mfano TV, Radio lazima utoe mlio wa Nokia tochi
Asante
 
Kama matumizi yako ya umeme kwa siku ni chini ya unit 3.0, sisi ndo wale wa hali ya chini serikali na dunia inatuzungumzia, friji la nini tena?

Standard friji, kwa levo yetu, linapaswa kugongwa chini ya unit 1 kwa siku/24hrs
Unit moja sio shida mkuu kwa friji tu
 
Fridge za sasa zipo automatic barid likifika
Kiwango stahiki linazima barid ikipungua linajiwasha. Iyo process inasaidia kutunza umeme. Fridge yangu ni westpoint ukubwa wa wastani linakula kma 1.1unit kwa siku
Mkuu icho ni kiwanda, hapo ukiongeza na vyerehani V 3 tayari ni plant
 
Inashauriwa pia ulizime friji mida ya usiku na uliwashe kuanzia asubuhi hadi jioni.
Kuliacha friji lipo on mida ya usiku ni matumizi mabaya ya umeme ni Kama kuacha taa za nje zinawaka mida ya mchana
 
hamna cha ya sasa, hata ya zamani yapo hivyo. home kuna fridge ya 98 na ilinunuliwa mtumba ina thermalstat. issue ni kwamba ma fridge ya zamani hayakuwa optimized kwenye kupunguza matumizi ya power.

Ndio maana huwa hatushauri enzi hizi kununua TV ya mtumba au Fridge la mtumba bila kuangalia energy rating hata kama linauza bei nafuu

View attachment 1956562
Ukinunua fridge au kifaa cha electronic/ Consumer electronic hakikisha kipo rated kuanzia A+ sio chini ya hapo Ukipata cha A++ au A+++ ni vizuri zaidi japo ni vigumu sana na ni kwa baadhi ya vifaa

Ukinunua kuanzia A kushuka chini na kama kifaa hicho muda wate kipo kwenye umeme, Mfano TV, Radio lazima utoe mlio wa Nokia tochi
Hizi rate kwenye friji unaziona wap
 
Fridge za sasa zipo automatic barid likifika
Kiwango stahiki linazima barid ikipungua linajiwasha. Iyo process inasaidia kutunza umeme. Fridge yangu ni westpoint ukubwa wa wastani linakula kma 1.1unit kwa siku
Ina maana we mita yako ya umeme umefunga kwenye friji tu au unajuaje friji linakula unit ngapi wakati humo ndani kuna vifaa vingine vingi vya umeme?
 
Inashauriwa pia ulizime friji mida ya usiku na uliwashe kuanzia asubuhi hadi jioni.
Kuliacha friji lipo on mida ya usiku ni matumizi mabaya ya umeme ni Kama kuacha taa za nje zinawaka mida ya mchana
Do the opposite
zima mchama maana kuna joto washa usiku
 
Fridge za sasa zipo automatic barid likifika
Kiwango stahiki linazima barid ikipungua linajiwasha. Iyo process inasaidia kutunza umeme. Fridge yangu ni westpoint ukubwa wa wastani linakula kma 1.1unit kwa siku
Sio kweli,yaani kwa 24hrs linatumia unit 01?
 
Einstein umeelewa ulichoandika?

Kwa mchana joto la nje ni kubwa zaidi so friji ukiizima itapoteza ubaridi haraka zaidi ili kubalance temp so haitadumu na ubaridi ulio bora kwa muda mrefu.

Ila ukizima usiku joto la nje ni dogo so itatumia muda mfupi kubalance temp so itakaa na ubaridi muda mrefu.


For the case of ku save umeme. You are right mchana umeme unatumika zaidi kwa sababu ya joto la nje. Ila kwa matumizi sahii ya friji na kuhifadhi vyakula you are wrong...
Do the opposite
zima mchama maana kuna joto washa usiku
 
Einstein umeelewa ulichoandika?

Kwa mchana joto la nje ni kubwa zaidi so friji ukiizima itapoteza ubaridi haraka zaidi ili kubalance temp so haitadumu na ubaridi ulio bora kwa muda mrefu.

Ila ukizima usiku joto la nje ni dogo so itatumia muda mfupi kubalance temp so itakaa na ubaridi muda mrefu.


For the case of ku save umeme. You are right mchana umeme unatumika zaidi kwa sababu ya joto la nje. Ila kwa matumizi sahii ya friji na kuhifadhi vyakula you are wrong...
Nlimaanisha kusevu umeme hasa kama unatumia friza
 
Back
Top Bottom