evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,035
- 8,218
Dah mi kuna fundi alinishauri kwamba kwa kuwa usiku friji inakuwa haifunguliwifunguliwi Sana basi unaweza iswitch off vitu ndani haviwezi kuharibika kwani baridi itaendelea kuwepo mchana mkuu wanafungua fungua friji ukiizima si ubaridi utakwisha ndani ya frijiDo the opposite
zima mchama maana kuna joto washa usiku