Friji lako huwa linatumia units ngapi za umeme kwa siku?

Friji lako huwa linatumia units ngapi za umeme kwa siku?

La kwangu linakula unit 4 kwa siku, niliambiwa ni matumizi makubwa ya umeme.....najipanga kununua jipya.
Mimi nina friji, taa kubwa za nje 5, taa za ndani 10, natumia hizo unit 4 kwa siku 24 hours.

Hilo siyo friji ni jini, likikosa kunyonya umeme litakunyonya damu ufe.

By the way muite fundi aangalie leakage ya umeme hapo kwako, something wrong somewhere.
 
Mimi nina friji, taa kubwa za nje 5, taa za ndani 10, natumia hizo unit 4 kwa siku 24 hours.

Hilo siyo friji ni jini, likikosa kunyonya umeme litakunyonya damu ufe.

By the way muite fundi aangalie leakage ya umeme hapo kwako, something wrong somewhere.
Bila shaka hizo units 4 nikwa ujumla si friji peke yake
 
Back
Top Bottom