Kwa mtazamo wako Simba haijafanya usajili mzuri? Morrison, Bwalya na Mugalu unawajua vizuri? hao waliokuwapo wanasajiliwa pia. Chama, Miquissone, Manula, Mkude, eeh, haya wee njoo na Waziri Junior wako OktobaKatika hili nawaapongeza sana Yanga... Upande wa pili kuna namna na inawezekana ndo sababu Senzo aliondoka
Kuna watu kazi yao ni kupiga pesa za Mo.kipindi cha usajili
Mauzo ya jezi ya kazi gani? Kuna mzigo wa maana ukiingia makundi na robo fainali CAFHaka kajamaa kambea na kaongo, tena katuambie Mwamedi kashakusanya shilingi ngapi kwenye mauzo ya jezi.
Angalia quality ya wachezaji. Hizo formalities zitakuja baadaye. Hata Ulaya kuna wachezaji wanasainishwa hotelini lakini kunakuwa na formal presentation baadaye.
Mikia ingieni sokoni tena. Au mnasubirini msimu wa embe Mwamedi auze juice zake?
Maana yake si Yanga wala Simba ina hela zake yenyewe. Bado matajiri wameshika hatamu. Nje ya pesa za matajiri, hakuna timu inaingiza pesa kukidhi mahitaji yake ya uendeshaji ikiwwmo mishahara.Mna mbwembwe na pesa za kuuza masufuria na mabeseni
Imenibidi nicheke tuTFF iwe makini hii timu inakuja kututia aibu mpaka tusiohusika
Sawa ila duniani kote wanasajili based on performance zilizopita, husajili ili uone kama mchezaji atafaa au hafai.Acha umbea wako, tulia ligi ianze hapo ndio tutajua kama wana uwezo au hawana.
Mimi sio muongo, angalia stats za Tuisile au huna MBs?Haka kajamaa kambea na kaongo, tena katuambie Mwamedi kashakusanya shilingi ngapi kwenye mauzo ya jezi.
Halafu kibongo bongo ubora wa mchezaji haushuki au kupanda endapo akisajiliwa sebuleni kwa Mo/GSM au kwenye ukuta wa makaratasi ya nembo ya klabu au kwenye uchchoro wa Bar.
GSM ilikuwa ndio muda wao wa kujitangaza vzr Sasa sjui huwa wanafeli wapi kuweka bango kwa nyuma. Hawamuoni Muhammed anachofanyaga
Mimi sio muongo, angalia stats za Tuisile au huna MBs?
Noma mbaya kabisa. Tukiweza walipa wachezaji wetu vizuri... simba hatuwezi.
Mikataba anasainiwa kwenye goti la mguu kwa kichuchumaa kisha inawekwa kwenye stuli,,,!!!Hivi hawanaga sehemu nzuri ya kukaa wakati wanawasainisha?kila saini wanafanya kwenye makorido na nyumba za watu ndo maana mikataba inakuwa feki
Mikataba anasainiwa kwenye goti la mguu kwa kichuchumaa kisha inawekwa kwenye stuli,,,!!!
Pamoja na kumchukua Mazingiza lakini bado Yanga wanafanya mambo kienyeji sana.
Mlisema haya hata walipokuja akina Yikpe na Molinga.Kwa yanga hii ya GSM hata akija BACCA anakufa nyingi tu
Subiri uone kiongozi kwa sasa yanga inanunua wachezaji haiokoti kama zamani naamini na wewe utaona jinsi yanga itakavyo kuwa tishioMlisema haya hata walipokuja akina Yikpe na Molinga.
Ukiangalia quality ya players waliopo Simba ambao tumewaona wakicheza kwenye ligi utakubali kuwa Yanga wana kazi ya ziada.
Wachezaji wapya wa Yanga hasa wa kigeni hatuwezi kuwaongelea kwa sababu hatujawaona wakicheza hapa kwetu.
Wahuni tu hawaHivi hawanaga sehemu nzuri ya kukaa wakati wanawasainisha?kila saini wanafanya kwenye makorido na nyumba za watu ndo maana mikataba inakuwa feki
Yanga wanasainisha wachezaji mikataba inakaa kweye kistuli cha kukalia,,,!!!!?Wahuni tu hawa
Sikudanganyi mabadiliko unayoona yanga ni kwa vile wanaiga kwa simba baada ya kuona aibu ,vitu vingi vya maendeleo yanga ni simba ndo wameanzisha ,wakikejeliwa na wao ndo wanaiga