Sungura dume
JF-Expert Member
- Mar 28, 2016
- 571
- 527
Somaaaa hiyoooHao wazee waliwalambisha mchanga watoto wa Yanga 4-1.
Hao wazee wamechukua makombe matatu (treble)
Bora kuwa na wazee wanaojua mpira kuliko vijana Utopolo.
Yanga sio kituo cha kulelea wazee Kama zambia na Kenya wameshindwa wasemee maana simba italemewaaaSomaaaa hiyooo View attachment 1541661
Kibaya zaidi hao wazee waliwalaza na viatu 4G kama mmesimama, wamechukua makombe yote.Somaaaa hiyooo View attachment 1541661
Stats za nini wewe hater , acha kiherehere cha mbashaUmeangalia stats zao?
Unabeba tu kama Yikpe halafu baadae uje uwalaumu TFF wanaibeba SimbaStats za nini wewe hater , acha kiherehere cha mbasha
Una shida mahali flani sio bure, matusi yote hayo ya nini?
Ahaa,,,nimecheka sana.kwakweli nyinyi yanga mnamajungu sana.Somaaaa hiyooo View attachment 1541661
Yanga sio kituo cha kulelea wazee Kama zambia na Kenya wameshindwa wasemee maana simba italemewaaa
bado una amini juu ya hii kauli yakoMchezaji kavaa t shirt ya 2500 akiwa anasign alafu wanategemea maajabu..
kazidi kuwa wa moto mkuu muulize josh onyango laiti angejipa muda kupitia hii post basi angepunguza aibu ya kumdaka miguuKwa Kisinda yule niliemuona kwenye mechi za CAF watani mmepata mchezaji mzuri jamaa ni skilfull, na kwa ile kasi yake aliyokua nayo, anapiga mbali na mara zote anavamia goli. Labda kama amebadilika.
πππTuisila na Mukoko wako vizuri, hakika ni usajili mzuri
vipi mzee,hujambokazidi kuwa wa moto mkuu muulize josh onyango laiti angejipa muda kupitia hii post basi angepunguza aibu ya kumdaka miguu
hii habari imekuwa mbaya kwangu mkuu daah yanga hii itaniuavipi mzee,hujambo
Tulia wewe, hayo ni magarasaKumbe inawezekana kusajiri toka timu kubwa,basi simba kuna walakini.
Sent using Jamii Forums mobile app