From JF to Me!

From JF to Me!

Happy birthday buddy.

Rasimu ya katiba mpya inaruhusu watoto waliozaliwa kunyweshwa castle lite.

Nipe lokeshen homeboy Filipo.
 
Last edited by a moderator:
hebu nipe mda kwanza mh.

Orayt. Mi ni muumini wa rasimu ya katiba mpya ya ukaguzi. Mambo ya heri hayahitaji haraka. Utanikuta nakusubiri kwenye inbox ya PM. Usichelewe sana bana, si wajua mie mtoto wa mwanamke mwenzio?
 
Orayt. Mi ni muumini wa rasimu ya katiba mpya ya ukaguzi. Mambo ya heri hayahitaji haraka. Utanikuta nakusubiri kwenye inbox ya PM. Usichelewe sana bana, si wajua mie mtoto wa mwanamke mwenzio?

kabla sijaingia kwenye operation ya ukaguzi hebu nipe dondoo ya unavyovikagua ili nikae attention.
 
kabla sijaingia kwenye operation ya ukaguzi hebu nipe dondoo ya unavyovikagua ili nikae attention.

Eti unajua maana ya PM? Si kila operesheni lazima ifanyikie thieta, umenisoma bebito?

Haya hima twende faragha basi, usisahau mi ni mwanaume kama baba yako nawe ni mwanamke kama mama yangu....
 
Babu Filipo kazi imemshinda na wewe naona unazeeka naomba mikoba babu nikusaidie kazi....
We nakumbuka nlikuachiaga lile nyau jeupe, badala ya kulikagua we ukalikandamiza.... Si unajua Ngwair kashalifuta ulipolipeleka? Sasa nini tena unataka kuwarestisha in piis wajukuu zangu wapendwa?
 
We nakumbuka nlikuachiaga lile nyau jeupe, badala ya kulikagua we ukalikandamiza.... Si unajua Ngwair kashalifuta ulipolipeleka? Sasa nini tena unataka kuwarestisha in piis wajukuu zangu wapendwa?

Hahahahaha,usiniue kwa kicheko babu ,lile jeupe lilinikimbia ndio maana naomba mikoba niwe najichagulia mwenyewe kule jukwaa la utambulishoi...
 
Back
Top Bottom