marejesho
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 6,635
- 3,656
Swadakta...habari ya huko ulipo?
Mie sijambo kiasi.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swadakta...habari ya huko ulipo?
mzee wa ku-edit hujambo?
Hope sijachelewa saana.....Happy birthday Filipo...Like you saaana
me mwenzio namuogopa Arushaone kwa ku edit tu mmmh.... Anaweza kukuvunjia hata ndoa bila kupenda
Eti daktari wa kike, mbona kumbukumbu zangu hazionyeshi kama nlishawahi kukukagua?
Hebu kam zis wei bebii.....
hebu nipe mda kwanza mh.
Orayt. Mi ni muumini wa rasimu ya katiba mpya ya ukaguzi. Mambo ya heri hayahitaji haraka. Utanikuta nakusubiri kwenye inbox ya PM. Usichelewe sana bana, si wajua mie mtoto wa mwanamke mwenzio?
Anataka umkabidhi mikoba yako ya ukaguzi Asprin
Niko hapa mtakatifu nyau mweusi, kuna mtu kaniambia unaniita eti.
kabla sijaingia kwenye operation ya ukaguzi hebu nipe dondoo ya unavyovikagua ili nikae attention.
We nakumbuka nlikuachiaga lile nyau jeupe, badala ya kulikagua we ukalikandamiza.... Si unajua Ngwair kashalifuta ulipolipeleka? Sasa nini tena unataka kuwarestisha in piis wajukuu zangu wapendwa?Babu Filipo kazi imemshinda na wewe naona unazeeka naomba mikoba babu nikusaidie kazi....
We nakumbuka nlikuachiaga lile nyau jeupe, badala ya kulikagua we ukalikandamiza.... Si unajua Ngwair kashalifuta ulipolipeleka? Sasa nini tena unataka kuwarestisha in piis wajukuu zangu wapendwa?
hivi unajua anavyokagua lakini?