From JF to Me!

From JF to Me!

Eti unajua maana ya PM? Si kila operesheni lazima ifanyikie thieta, umenisoma bebito?

Haya hima twende faragha basi, usisahau mi ni mwanaume kama baba yako nawe ni mwanamke kama mama yangu....

mmh!! Mbona nahisi kuogopa?
Naomba nije na passion lady
 
Mpenzi sijambo..nimefurahi umeonekanika

Ukiona hivyo ujue ndio kuzidiwa na shughuli na mihangaiko ya maisha,msalimie sana Filipo na naomba uniombee msamaha kwa kuchelewa kwangu kutoa salamu za siku yake ya kuzaliwa,na umwambie kabisa kuwa siku nitakayofika Arusha ananidai Mbuzi..
 
Last edited by a moderator:
wewe hujui... nenda utajua huko!!

hata wewe pia unanisukumizia huko jamani?

Sasa safari hii atakaye ni kagua ndiye atakaye ''niwowa'' potelea mbali si wanajitia vihelehele wa kukagua? Tena naenda kuwaambia na wale manew comer wasikubali huo mchezo, tuone watamkagua nani
 
nasikia Aspirin ni mzee so hatoweza kunifanya chochote zaidi ya kunikagua kinywa na nywele ila Filipo alikuwa anataka kunikagua mwili mzima wakati mimi sitaki namuogopa kweli!

Tatizo unapenda sana kusikiliza maneno ya watu. Hivi ukimchunguza sana bata utamla?

Hebu jibu PM yangu basi mtoto wa mwanamke mwenzio nipate sisimko la moyo.
 
Tatizo unapenda sana kusikiliza maneno ya watu. Hivi ukimchunguza sana bata utamla?

Hebu jibu PM yangu basi mtoto wa mwanamke mwenzio nipate sisimko la moyo.

nimeshindwa hata kukujibu we babu yaani hapa nimemkimbia simba na nimekutana na chatu mbele yangu...
 
nimeshindwa hata kukujibu we babu yaani hapa nimemkimbia simba na nimekutana na chatu mbele yangu...
Umeona ulivyo na bahati? Chatu hana makucha ya kuparua wala mimeno migumu na katili kama simba. Badala yake chatu hutumia ulimi kukulamba mwili mzima, haogopi uchafu.

Haya acha longolongo basi twende PM kabla wambea hawajaingilia move yetu.
 
Back
Top Bottom