Passion Lady
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 8,694
- 4,643
hahahaa!!!! Ngoja nifanye mpango wa kumuingiza Ben saanane kwenye himaya yangu, nione atafanyaje.....!! Nitahakikisha kazi ya kulea wagane anaiacha aende akafanye kazi ya kukusanya viingilio vya toilet za stand
umeona eeee!!me nilisha mshtukia best ndio maana nampiga sound laini
hahahaaaa!!shost hiyo vita
utaiweza?mi ngoja nitulie na wa kwangu
nasikia Aspirin ni mzee so hatoweza kunifanya chochote zaidi ya kunikagua kinywa na nywele ila Filipo alikuwa anataka kunikagua mwili mzima wakati mimi sitaki namuogopa kweli!
mambo ya kuambiwa usiyaamini changanye na za kwako wanaiomwabia wenyewe wameshakaguiwa na wanataa kurudi....
CC Asprin
tumesha hairisha zoezi
happy birthday mkuu. mia
hadi lini?
nipo mkuu. mimi nakuread sana mbona?. vipi mambo yako?. miaAfu mbona sikuread? elfu.
nipo mkuu. hujambo wewe?. miafigganigga upo? Me miss u sana!
nipo mkuu. mimi nakuread sana mbona?. vipi mambo yako?. mia
nipo mkuu. hujambo wewe?. mia
hahahaaa!!!! Ujue nini bab!!? Natamani nikuone jinsi unavyolia....... Ebu fanya advertise kidogo
huyo babu Asprin
wala usimsikilize shost,hana hela ujue!!