From JF to Me!

From JF to Me!

hahahaa!!!! Ngoja nifanye mpango wa kumuingiza Ben saanane kwenye himaya yangu, nione atafanyaje.....!! Nitahakikisha kazi ya kulea wagane anaiacha aende akafanye kazi ya kukusanya viingilio vya toilet za stand

hahahaaaa!!shost hiyo vita
utaiweza?mi ngoja nitulie na wa kwangu
 
nasikia Aspirin ni mzee so hatoweza kunifanya chochote zaidi ya kunikagua kinywa na nywele ila Filipo alikuwa anataka kunikagua mwili mzima wakati mimi sitaki namuogopa kweli!

mambo ya kuambiwa usiyaamini changanye na za kwako wanaiomwabia wenyewe wameshakaguiwa na wanataa kurudi....

CC Asprin
 
Last edited by a moderator:
hahahaaa!!!! Ujue nini bab!!? Natamani nikuone jinsi unavyolia....... Ebu fanya advertise kidogo

Aiiii unataka umlize babu? Kubembeleza unajua lakini? Manake babu akilia haachi mpaka abembelezwe
 

huyo babu Asprin
wala usimsikilize shost,hana hela ujue!!

Daktari wa moyo wangu Lady doctor usimsikilize huyu mzandiki na mfitini. Hii ndo ile makitu Benny Mkapa anayaitaga "wivu wa kike".

Baada ya kusema hayo sasa waeza mwambia babu kama uliota ndoto tamu?

Popote ulipo Kaizer, sasa waweza niruhusu mtumishi wako nienende kwa amani kwa kuwa macho yangu yamemwona dokta?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom