Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Salaam,
Niko ndani ya ukumbi wa Karimjee Hall ambapo Kamati ya Bunge ya Sheria na Katiba, inakusanya maoni ya wadau wa Dar es Salaam kuhusu mchakato wa katiba.
Kikao kinaongozwa na Mwenyekiti mwenyewe wa Kamati, Mhe. Pindi Chana akiandamana na wajumbe wa kamati yake, akiwemo Mh. Tundu Lissu.
Hivi sasa anaetoa maoni ni Mwenyekiti wa Chadema, Dr. Wilbroad Slaa atafuatiwa na Jaji Joseph Warioba.
Ukumbi umefurika full juu na chini, watu wamekaa mpaka chini kwenye kapeti.
public hearing hii ilivunjika majira ya saa 7 mchana kufuatia zomea zomea ya msemaji wa CCM Tambwe Hiza.
Niko ndani ya ukumbi wa Karimjee Hall ambapo Kamati ya Bunge ya Sheria na Katiba, inakusanya maoni ya wadau wa Dar es Salaam kuhusu mchakato wa katiba.
Kikao kinaongozwa na Mwenyekiti mwenyewe wa Kamati, Mhe. Pindi Chana akiandamana na wajumbe wa kamati yake, akiwemo Mh. Tundu Lissu.
Hivi sasa anaetoa maoni ni Mwenyekiti wa Chadema, Dr. Wilbroad Slaa atafuatiwa na Jaji Joseph Warioba.
Ukumbi umefurika full juu na chini, watu wamekaa mpaka chini kwenye kapeti.
public hearing hii ilivunjika majira ya saa 7 mchana kufuatia zomea zomea ya msemaji wa CCM Tambwe Hiza.