From Karimjee Hall: Public Hearing ya Kamati ya Bunge toka kwa wadau wa Dar es Salaam

From Karimjee Hall: Public Hearing ya Kamati ya Bunge toka kwa wadau wa Dar es Salaam

alaf tunaambiwa kuna freedom of press. Kwanini at least hata radio station jamani ! Huu usiri, siri utaendelea mpaka lini? Wananchi wana haki ya kujua kila linaloendelea kwenye nchi yetu.
 
Wana-JF wala tusilie sana kwani kwa kufanya hivyo tutampa FISADI nguvu bila kujua wakati tukielewa fika kwa sisi kama VIJANA WA DOT KOM ni ukweli usiopingika ya kwamba UWEZO TUNAO wa kurekodi kila kitu na kuzirusha mtandaoni hapa.

Na kwa mtandao wa JF ulivyotapaka kila ofisi wala tusishangae kupata picha, video na sauti kutoka kwa wanachama wetu hapo baadaye kidogo. Kila wakati tujihisi washindi katika mapambano haya maana wakati wote Mungu yupo upande wetu na anatupigania.

Unyonge mwiko na mapambano mbeeeeeeeele mpaka kieleweke hapa!!!!!!!!!

Jamani kuban Radio na TV ni kutunyima haki sie wa mikoani kujua kinachoendelea :disapointed:, kweli serikali yetu haina nia njema na huu muswada kwani katiba ni wananchi na wananchi wana haki ya kujuzwa nini kinaendelea ili wasijejikuta wanakurupushwa, anyway bado nguvu ya umma ipo tutapambana tuuu...
 
Wakati nikiondoka Karimjee, niliacha ukumbi ukilipuka kwa fujo za makelele kupinga Tambwe asiendelee kuchangia huku wakiimba, Aondoke!, aondoke!. Mwenyekitui alijaribu kurudisha order ukumbini akawa hawasikilizwi, nilitamani nisiondoke mpaka mwisho wake laki ni ndio hivyo.

Kwa wote tunaofafanyia kazi wazungu, tumekubali kuwa ndani ya ukoloni, hawa wakuloni tumewakaribisha wenyewe ili watutumikie, tumejikuta tunaishia kuwatumikia. Sisi sikukuu zao zote tunazitambua hata tukiwa kwetu, lakini wao baadhi ya sikukuu hawazitambui, hii ni dharau kwetu, itabidi Membe aambiwe kuwa kuna wazungu hawamtambui Karume, hivyo hawaitambui Karume Day!.
 
Ni kweli huyu jamaa ni very bold, anamchana JK live bila zengwe, amesema, tukiamua kufanya constutuents assembly, then ni over and above level ya rais ku acent, constituent assembly ikishatoa mapendekezo yake, rais anapewa kwa utekelezaji.
huu ni muendelezo wa anguko la wapuzi ktk madaraka ya taifa hili, wanatumia nguvu za kifisadi kutuletea mswada wa kijinga kabisa, Taifa hili linahitaji kuchapana kidogo ili kutiana akili.
 
alaf tunaambiwa kuna freedom of press. Kwanini at least hata radio station jamani ! Huu usiri, siri utaendelea mpaka lini? Wananchi wana haki ya kujua kila linaloendelea kwenye nchi yetu.
Halafu hawa ******* TBC jioni watatutangazia mpira wakati kwenye mambo ya msingi hawatangazi....
 
sasa pasco ujaacha muwakilishi wajf humo ndani kaka?......
Edson, naamini kuna wana jf wengi tuu pale Karimjee, tatizo huwa hatujuani zaidi ya kosomana humu, halafu pia kuwa mwana jf ni moja, na kuweza ku update ni lingine.

Nazuga zunga hapa kwa job halafu nitarejea Karimjee.
 
Edson, naamini kuna wana jf wengi tuu pale Karimjee, tatizo huwa hatujuani zaidi ya kosomana humu, halafu pia kuwa mwana jf ni moja, na kuweza ku update ni lingine.

Nazuga zunga hapa kwa job halafu nitarejea Karimjee.
ni kweli mfano Dr Slaa yuko pale..
 
Imebidi nibadilishe uelekeo na sasa natazama Citizen tv (Kenya)...wao wanarusha ile kesi ya kina ruto kutoka the hegi....maana hapa kwetu ubabaishaji mwingi.......
 
Jamani wana JF Dodoma nzima hakuna mwenye kamera aturushie picha kwani tuna hamu sana ya kujua kinachoendelea. Tunampongeza sana Pascal kwa kutujuza kilichokuwa kinajiri kule karimjeee
 
Naona wakati umefika sasa kwa wananchi kuandama kudai haki zetu TBC si ya CCM ni ya wananchi lakini inavyoonekana inatumika kama ya CCM hatutakiwi kukubaliana na suala hili kwani tutashidwa kufanya mambo yetu ya msingi kwa sababu watu tuliowapa jukumu la kutangaza wamenunuliwa na mafisadi, watupishe tuwape kazi watu watakaoweza kurikpoti mambo muhimu ya nchi yetu kuliko hao vikaragosi na vbibaraka wa CCM
 
hata jf ilitoweka hewani.....sijaju mambo pale kalimjee yamishaje.....pasco nakuona hapa nijuze mkuu au bado uko kwa mkoloni
 
Nilirudi Karimjee nikakuta hearing imeisha. Kumbe hiyo piblic hearing ilivunjika baada ya Tambwe Hiza wa CCM kusimama lufuatia zomea zomea isiyotulizika!
 
Back
Top Bottom