Mziray ameanza kwa kusema, tunataka referendum na sio constituent assembly. Anataka wananchi wenyewe wasema na sio kutumia wawakilishi.
Namuona Mziray kama mtu wa anayeongea kwa mizaa, vichekesho vingi, huku akijisifu kila dakika, amesema tume ya taifa ya uchaguzi ivunjiliwe mbali, kwani mpaka sasa, hajui alishinda kwa kura ngapi.
Amemaliza na sasa anazungumza Mwanasheria, Gideon Mendes, mwenye ulemavu wa kutoona.