From Mo's Blog: Exclusive Interview With January Makamba


Tuache utani malafyale, kuna mtu huwa anasema "mimi niliishi kwa raha sana utotoni"??? kwa taifa kama tanzania lenye miaka kama arobaini na kitu, majority walianza kuvaa viatu late na sie wa early 70s wazazi wetu walikuwa bado ndio wanajiadjust na kupata redio na photo album, baada ya hapo ndio wakaanza hata kufanya birthday parties...

In short historia ya January ni very generic kwa watanzania wengi... lazma aseme hivyo!!

Ila la msingi hapo ndugu yangu Malafyale ni kwamba, Mo na January wanaleta usanii wa kisiasa, "strategic partnership hiyo" - Mo anajiuza kwa watanzania na Makamba na circle ya JK [marketing tu hiyo!!!] angekuwa anaipenda sana tanzania angehoji wauguzi, walimu, wakulima, wachumi, washauri nasaha, ma-engineer, nk... na Huyo January anapima maji ya siasa yakoje {wrong move January, ni bora abaki kama advisor wa "core" kuliko kwenda kupoteza muda dodoma... atadumaa akili tu pale na kuondoa exposure yake nzuri)


Hapo ndio January atakuwa amekosea kugombea ubunge, he is in a very good position kuanza kwenda kupiga magoti, kugawa kanga na vibaba vya mchele... halafu bado kijana mwache abaki kule aendeleze diplomatic status, hasa kwa sasa EAF inakaribia kuwa kweli

Karibu Kyela uone tunavyofanya kuwavutia wapiga kura mheshimiwa MTM!

Huwa napita hapo sana tu kwenda itete (ile hydro power safi sana) na matema (wagonjwa waache kuoga ziwani), mambo yenu shwari, ila sasa mngezidisha kilimo wa vijiji kwa kutumia ultramodern financing mechanism halafu mapato mnaweka percentage (kwa uongozi wa vijiji, wakulima - yaani nyie wenye nguvu, halafu albaki mnagawa divident kwa wote hata kama ni elfu hamsini kwa kila mtu, hiyo ni kampeni tosha na haitahitaji takrima kwani watu watakula walichopanda.... matreka 100 tu yanatosha hapo na hayana kodi, zuka hapo benki mazee

Nitakusapoti kwa maombi mkuu
 

Wewe kweli ni mchapakazi... Huo ndio mfumo tuliojiwekea kama watanzania, tunapachika tu!!! hata fenicha zetu homu unaweza kukuta friji kwenye chumba cha watoto, bila kujali athari, mingurumo na disturbance za usingizi wao, ipo kwenye "genes" zetu mkuu

I hope hili swali litapatiwa jibu la ukweli toka kwa Jannuaru, maana huwa anapeep humu!!!!
 

sasa binti mbona unaleta za "when i was, just arrived, leaving soon, aaaiight, yoo, GPS, check-check yoo, wasape nyingi mamaaa??
 
Kilikuwa ni Chuo cha Wakatoliki in a real sense (ingawa dini nyingine walikuwa wanasoma na mtu hukulazimishwa kusoma theology na kwenda kanisani), kwa maana ya kwamba kulikuwa na
Seminary pale pale lakini kubwa zaidi kulikuwa na Monastery pamoja na monks wa Benedictine na majoho yao meusi. Zaidi ya nusu ya wahadhiri wangu walikuwa monks. Kwahiyo haya mazingira yalikuwa kidogo na “utakatifu”.



Hukushawishika ku-convert to Christianity kweli?
 
Mwangalie Januari kama Januari. Hii ya kulinganisha na baba zao kwa kuwa tunawajua, sie ambao baba zetu hawajulikani tungekubali kulinganishwa nao?
'judge the content.......'

Zitto, etal
This is all part of that political game. It is a game involving two opportunistic young politicians. Januari pops himself up into limelight (this interview), sounding as humble as he can (which any actor can do). Am sure u all know who is backing the Makamba's economically and politically. Without even a blink of an eye Zitto shows up anamsifia mno Januari (sina uhakika sana ni baada ya Zitto kufanya analysis yoyote au la). Now the clincher.........Already there's a suscipicion thru this forum (mama Zitto) kuwa kuna (wa)mtu wa nje ya Chadema (w)amekuwa (w)akiwatumia watu ndani ya Chadema kumgonganisha Zitto na vigogo wenziwe, jambo ambalo Zitto amempinga mama yake. So logically, these two youngmen appear have a common "friend" anaye-back political ambitions zao. Just speculating....
 

Mkuu nilipost hapa kwamba hawa ni opportunists fulani wanajipia mapande kivyao, nitafurahi nikisikia Mo anahoji watanzania halisi kama wakulima, walimu, wauguzi, machinga, wanamichezo, wanamuziki nk.

Lakini yote kheri kwani tumejua January alisoma wapi!!
 


lol!
 
Mtoto wa nyoka ni nyoka.. Asanteni sana. Na kuniambia watoto wa wakubwa wa Tanzania wanasoma kwa shida kama akina Kayumba siamini.
 
Ukianza kusoma tu, kitu cha kwanza unachoona ni kwamba interview haina credibility, ni mtu na crony wake wameamua kufanya mchezo wa kuigiza.Hicho ndicho kitu cha kwanza kabisa unachoona, kabla ya kingine chochote.


They are testing the water! 2010 is arround the corner. Need I say more?
 

Hilo nalo jambo...uongozi mzuri huanzia nyumbani.
 
Form Five na Six nikawa Forest Hill Secondary School, Morogoro, ambapo siku ya graduation nilitunikiwa cheti cha Overall Best Student.

hahahahahh yani unamaanisha ulikua mkali kati ya vilaza, hyo shule wanaosomaga hapo kwa mr. patel huwa ni wasanii tupu, ungeniambia ulikua best student ilboru,kibaha au mzumbe niliposoma mimi ningekupa kauzito flani lakini forest.....? aggrrrrr.......
 
Phew! leo nimemaliza kuisoma hii interview

I dont see anything wrong with it

UNLESS KUNA LINGINE MNALO zaidi ya Sir name yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…