TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Respect mkuu MTM
Kwa haraka haraka;what was the really motive behind of January's article?Alikuwa anajaribu kutuambia jinsi alivyopata shida utotoni kabla ya baba yake kuwa afisa wa serikali ya TZ?Alikuwa anajaribu kutuonyesha mlolongo wa elimu yake na vyuo alivyosoma au alikuwa anajaribu kutuambia uzoefu wake kwenye kazi za kutatua migogoro ya kimataifa?Kwa kweli sijajua hasa lengo lake alikuwa anataka kutufundisha nini!!
Tuache utani malafyale, kuna mtu huwa anasema "mimi niliishi kwa raha sana utotoni"??? kwa taifa kama tanzania lenye miaka kama arobaini na kitu, majority walianza kuvaa viatu late na sie wa early 70s wazazi wetu walikuwa bado ndio wanajiadjust na kupata redio na photo album, baada ya hapo ndio wakaanza hata kufanya birthday parties...
In short historia ya January ni very generic kwa watanzania wengi... lazma aseme hivyo!!
Ila la msingi hapo ndugu yangu Malafyale ni kwamba, Mo na January wanaleta usanii wa kisiasa, "strategic partnership hiyo" - Mo anajiuza kwa watanzania na Makamba na circle ya JK [marketing tu hiyo!!!] angekuwa anaipenda sana tanzania angehoji wauguzi, walimu, wakulima, wachumi, washauri nasaha, ma-engineer, nk... na Huyo January anapima maji ya siasa yakoje {wrong move January, ni bora abaki kama advisor wa "core" kuliko kwenda kupoteza muda dodoma... atadumaa akili tu pale na kuondoa exposure yake nzuri)
Anyways,namtakia mafanikio mema kwenye gurudumu lake la kujitafutia maisha,lkn namshauri kuwa kama anataka Ubunge wa Lushoto aanze kuwekeza sasa huko na hizi habari za kuuza Lubisi Kyaka au kulala nyumba za kuvuja hazitamsaidia!Namshauri aanzishe mradi wowote au Saccos kuwakopesha wakulima,vijana,akina mama na wanafunzi kwa riba nafuu huko kwenye jimbo analolimezea mate la Lushoto;sisi huku KYELA ni lzm ufanye hiyo kama mtu anataka kugombea udiwani au ubunge!
Hapo ndio January atakuwa amekosea kugombea ubunge, he is in a very good position kuanza kwenda kupiga magoti, kugawa kanga na vibaba vya mchele... halafu bado kijana mwache abaki kule aendeleze diplomatic status, hasa kwa sasa EAF inakaribia kuwa kweli
Karibu Kyela uone tunavyofanya kuwavutia wapiga kura mheshimiwa MTM!
Huwa napita hapo sana tu kwenda itete (ile hydro power safi sana) na matema (wagonjwa waache kuoga ziwani), mambo yenu shwari, ila sasa mngezidisha kilimo wa vijiji kwa kutumia ultramodern financing mechanism halafu mapato mnaweka percentage (kwa uongozi wa vijiji, wakulima - yaani nyie wenye nguvu, halafu albaki mnagawa divident kwa wote hata kama ni elfu hamsini kwa kila mtu, hiyo ni kampeni tosha na haitahitaji takrima kwani watu watakula walichopanda.... matreka 100 tu yanatosha hapo na hayana kodi, zuka hapo benki mazee
Nitakusapoti kwa maombi mkuu