From now onwards, I, DJ. DON NALIMISON deny to marry to Barack Obama daughters coz of internal maturity reasons

From now onwards, I, DJ. DON NALIMISON deny to marry to Barack Obama daughters coz of internal maturity reasons

Oy oy oy DJ waleteeeeee
Let's groove meeen
Jumping, Bumping, jamming!

Kumekucha,kumekucha
Mchawi aliyemloga chizi kafaaaaaa!
😁😁😁😁
 
Happiest Man On The Planet Earth.... Legendary DJ Don Nalimison Again.... Salute Bro... Enjoy Life man
 
Huu ni utani tu, furahisha genge, Mungu si kubadilisha mambo kienyeji hivyo, anaghairi kwa kusudi maalumu
 
Hichi kiboya kinajionyesha kabisa kua kinapenda watoto wadogo. Mlio karibu nacho chungeni watoto zenu
haya maneno yako si ya kupuuza afu watu wa namna hii hata watoto wa kiume anaweza kupita nao
 
Mnaosema mwezi mchanga, thibitisheni aliwahi kuweka Cheti chake cha afya ya akili watu walitamani ardhi ipasuke. Ni mzima.
 
Mnaosema mwezi mchanga, thibitisheni aliwahi kuweka Cheti chake cha afya ya akili watu walitamani ardhi ipasuke. Ni mzima.
Itakuwa wakati anapimwa alipona ila fyuzi zimekatika kwa mara ingine
Akapime tena atuletee cheti
 
Watu mna wivu tu.

Mwachen na Geneva wa wake.
Ashamuoa ndoton mara nying tu.
Now anamuoa mdomon.

Ila Don sio mtanzania mwenzetu. baba ake ni Mmarekan. Hawez vuta chombo cha TZ hii bana.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
😁😁😁😁 Dj DON NALIMISON aka Don Nalimi Curtis!! Mtoto halali kabisa wa Black American, ni wakati sasa wa kuhamishia majeshi kwa yule mtoto wa Donald Trump, Ivanka Trump!!

Achana kabisa na hao watoto wa Obama!! Kwanza hawajui hata kujipodoa!! Chukua mtoto wa Trump ili turithi lile jengo la Trump Tower!!

Nani kama DON? Hakunaaaaa✍️
 
Back
Top Bottom