FROM POLITICS TO BONGO MOVIE; Le Mutuz with Multiple talents

FROM POLITICS TO BONGO MOVIE; Le Mutuz with Multiple talents

Kiganyi

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2012
Posts
1,242
Reaction score
765


Mtoto wa mwanasiasa mkongwe wa nchini John Malechela, William ameamua kuonesha upande wake wa pili kama muigizaji wa filamu.

William Malechela ambaye pia ni mwanasiasa, ameshiriki kuigiza kwenye filamu mpya ya Sintah, iitwayo The Return of JLO.


Kwa mujibu wa Sintah, Willam ameonesha uwezo mkubwa kwenye uigizaji wa filamu.


Mwezi April mwaka huu, William aligombea ubunge wa Afrika Mashariki lakini hakufanikiwa kuupata.


“Jana kwenye uchaguzi wa Ubunge wa EAC nimeshindwa fairly na sina malalamiko, ninawapa hongera washindi wote walioshinda leo na hasa my best friends Shyrose, Dulla, na Makongoro, Mungu awaongezee na wakatumikie vyema taifa letu!


As for me sasa ni wakati wa kukaa chini na kutafakari nilipokosea na kuanza kujipanga upya,”
aliandika Willam kwenye mtandao wa Jamii Forums.

****
Mkuu Le Mutuz hii nimeiona katika Blog moja ya udaku! Mkuu sasa wewe una play character gani katika filamu hii?? Je ndio tukusahau katika Siasa au??

Hongera Mkuu!!

 
Huyu jamaa nyie msimdharau

hivi hivi atafika mbali sana tuuu

msisahau kuwa ni baharia so he is a hustler by nature

cant knock his hustle though
 
Hata kama kujaribu sio kwa yeye,sasa akienda bongo movie na kina timbulo wakishindwa muziki waende wapi?
 
Kwa mwendo huu, akimaliza mwaka Bongo atakuwa amejaribu fani/kazi nyingi sana
 
Du, huyu jamaa ni mwehu kabisa. Nakumbuka alipokuwa na migogoro na mkewe, alikuwa anaenda kumtukana kwenye facebook
 
Gangamala Baharia,
Unachonifurahisha unajimix kitaa kwa sana tu,
Rudi jamvini bana!!!
 
Nampa hongera sana huyu jamaa, amesoma majira na nyakati, yeye na siasa ilikuwa kama Mbingu na Ardhi, ila sasa ameingia kwenye fani itakayo mfaa. Cha msingi ajaribu na taarabu au bolingo.
 
Du, huyu jamaa ni mwehu kabisa. Nakumbuka alipokuwa na migogoro na mkewe, alikuwa anaenda kumtukana kwenye facebook
Kwa jinsi anavyopenda Vibinti yeye tu ndie atkuwa amesababisha kugombana na huyo mkewe
 
Huoni kama he is so peculiar? Ndo anaonyesha njia aisee. Kwani mtoto gani wa kigogo alishagombea uongozi wa kata?
Hivi ni mtoto gani mwingine wa vigogo ambaye anafanya Bongo Movie, au huyu ni wa kwanza?
 
Hivi ni mtoto gani mwingine wa vigogo ambaye anafanya Bongo Movie, au huyu ni wa kwanza?



Hili ni tatizo kubwa sana la mtoto kutembelea nyota ya mzazi,lakini watu wanashindwa kuelewa kuwa John atabakia kuwa Cigwiyemisi na William atabakia kuwa Le Mutus....kuna tofauti kubwa sana hapo..
 
Back
Top Bottom