Issakson makanga
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 731
- 1,158
Sijui wana siri gani, ila yule ndo anafaa kuwa mtoto wa Boyd sio yule Elis mtoto wa mamaBoyi na Sara wanasiri gani?
Sema Elgin ka deserve kufa maana kaongeza motoSijui wana siri gani, ila yule ndo anafaa kuwa mtoto wa Boyd sio yule Elis mtoto wa mama
Sana yani anajua ila akagoma kabisa kusemaSema Elgin ka deserve kufa maana kaongeza moto
Wamemrudisha, navuta kumbukumbu kujua ni namna gani ameweza kuwa mimba ya fatma na kuzaliwa upyaYaani mngeniona nilivyoruka ruka baada ya kumuona Smiley aiseee jamaa anapendwa yule na mashabiki wengi tulishinikiza arudi, finally wametusikiliza, 😂😂😆
Amerudi kwenye mstariDirector kapotea njia😅😅
Mr Smile amerudi tenaAnaweza akarudi kweli, kwasababu mwili wake ulipotea katika mazingira ya kutatanisha kama sikosei
Aiseee umepita mule mule hongera sana,Mpaka tulipofikia bila shaka Tabitha ni reicarnated version ya miranda, amerudi fromvile kuwaokoa wale watoto
Tkumbuke kabla miranda hajafika fromville nae alishauona ule mji kwa maana iyo na yeye ni reicarnated verson ya mtu mwingine ambaye alikuwepo pale fromville.
Miranda alikua reicarnated version ya nani, hawa watoto ni wakina nani, walifikaje, nini kifanyike kuwaokoa? Ndicho kitendawili cha kukitegua.
Jade ni reicarnated version ya christopher kwa sababu anaziona zile symbol alizokua anaziona christopher vile vile tumeona ule mdoli jasper umemuongelesha. Jade na tabitha wapo fromville kwa sasa., swali hapa sasa huyu christopher na miranda kipindi wapo fromville walikua na uhusiano gani? Kitendawili kingine hiki
Mimba ya Fatima ni nini kipo tumboni? Kwa anayopitia mfano kula vyakula vilivyooza na damu ya watu na ukizingatia kwamba mimba yenyewe haionekani kwenye utrasound huwa nawaza labda kuna monster mmoja anarudi kupitia tumboni kwa Fatima, mawazo yangu ya kijinga jinga yananiambia huyu ni bwana smiley anarudi, uenda tutakua nae kwenye season 4. Tusubiri tuone
Vitendawili vya kutegua ni vingi sana. Lakini bila shaka msingi wa tamthilia ninkwamba kuna wazazi waliwaua watoto wao possibly kwa kuwatoa kafara na hao watoto wanatakiwa kuokolewa, hapa tukimzingatia boy in white tunaweza kupata clue
Wale main characters almost wote ni reicarnated version ya watu waliokuwepo pale fromville kabla. Sasa waliingiliana vipi, nani alikua chanzo cha msala wote huu? hapo ndipo kuna fumbo ambalo victor anatakiwa kuweka kumbukumbu zake vizuri ili wapate muongozo
Nenda thread ya Series, hii ni sehemu yetu sisi tunaoangalia series yetu ya kiwakiSio kwa ubaya, ila hii series ya kiwaki sana😥
Kila nikijitahidi naona chenga, hivi hatuwezi kurudi kwenye zama za series zilizoenda shule kama lost, breaking bad, GOT, vampire diaries, prison break etc.
Kama kuna series yoyote kali kwa sasa, kindly recommend hizi zingine tunaangalia sababu ndio zilizopo ila kiuhalisia za kawaida sana
Kuna kile kidem ni ki monster kinachovaa kama nesi sijui mpishi ep 9 kilimfuata Boyd kikagonga dirishani na kumuuliza Boyd "everything okay in there" Boyd alimaindYaani mngeniona nilivyoruka ruka baada ya kumuona Smiley aiseee jamaa anapendwa yule na mashabiki wengi tulishinikiza arudi, finally wametusikiliza, 😂😂😆
Mama ake (kimono lady) kamrudishaWamemrudisha, navuta kumbukumbu kujua ni namna gani ameweza kuwa mimba ya fatma na kuzaliwa upya
Yaani wanakeraaa, imagine unaishi sehemu unazoea hadi majini yanakua washikaji zakoKuna kile kidem ni ki monster kinachovaa kama nesi sijui mpishi ep 9 kilimfuata Boyd kikagonga dirishani na kumuuliza Boyd "everything okay in there" Boyd alimaind
Hayo yote tutayajua season 4, sijui itakuwa mwakani au watapiga miaka miwili wailete 2026Jibu moja ambalo nimepata, nikwamba hilo eneo lipo mda mrefu sana, na hiyo hali ni ya kujirudia, wazazi wanatoa sadaka watoto zao ili wao wapate kuishi milele, episode ya 10 imezalisha maswali mengi sana
1. Je ni mtoto wake yupi ambaye anamzungumzia Tabitha kwamba ni miongoni mwa watoto wanaohitajika kuokolewa
2. Yule mzee kabla ya kumuua Jim anamwambia "ni bora mke wako asingechimba lile shimo"
3. Mnakumbuka kuna vision ya Boyd kunasa kwenye shimo, kama kisima na kila akirushiwa kamba inakuwa kama imekatika... Hili ni tukio litakalokuja tokea mbeleni, linaanza pale alipoingia kwenye handaki,
4. Je kutakuwa na vita kati ya Monsters wa mchana na usiku,
5. Ule mziki ni key ya kuwafingua monster wale wa mchana, jamaa alicrack zile code in a reverse, je kuwafunga ni hivyo hivyo...
6. Ni nini hatma ya wale watatu (Randol, Nesi na Mtoto wa Tabitha)
7. Chini ya ardhi eneo lile kuna siri kubwa sana, je chanzo ni nn
8. Swali kubwa la msingi inakuwaje hawa monsters wanawafahamu watu wanaokuja pale ( je wote wapo connected na matukio ya miaka iliyopita pale)
9. Julie anaenda kurekebisha kurasa kwenye kitabu cha historia ya hilo eneo, atafanikiwa kubadilisha hadithi?
"Knowledge comes with cost"
Hivi hii Epsod ya 10 ndiyo ya mwisho?Hayo yote tutayajua season 4, sijui itakuwa mwakani au watapiga miaka miwili wailete 2026