Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
- #221
Hili niliwahi kusema Toka EP ya 4 😀Season 3 episode 9 review
Thabitha na Victor ni ndugu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili niliwahi kusema Toka EP ya 4 😀Season 3 episode 9 review
Thabitha na Victor ni ndugu?
Na yule dogo anae vaa nguo nyeupe eti now na yeye kawa mkubwa 😃😀😀Elvin ndie atatua mtego wa kuondoka?
Fatma atakufa baada ya kuzaa?
😃😃😃
Hii series ni Kali mazee FROM
Duuh wanazidi kutuchanganyaMkuu Greatest Of All Time vikita ndio dada yake Tabitha 😃😀😀😀
😀😃😃😀Duuh wanazidi kutuchanganya
Sio dada yake ni mama yao, niliandika huko juu kuna theory inatembea ya reincarnation (mtu aliyekufa anazaliwa tena kwenye mwili wa mtu mwingine),Mkuu Greatest Of All Time vikita ndio dada yake Tabitha 😃😀😀😀
Duh director anazidi kutuchanganya pale naona hata Randall atakuwa ndio yule mzee kule kwenye pango 😃😀😀Sio dada yake ni mama yao, niliandika huko juu kuna theory inatembea ya reincarnation (mtu aliyekufa anazaliwa tena kwenye mwili wa mtu mwingine),
Kwa hiyo Tabitha ni mama ake na Victor ndio maana pale akakumbuka alivyowakumbatia watoto wake na kuelekea kwenye mti yule smiley akamla,
Ina make sense na baba yake Victor alivyokua anamuongelea mke wake
Naunga mkono hoja 😀😃Sio dada yake ni mama yao, niliandika huko juu kuna theory inatembea ya reincarnation (mtu aliyekufa anazaliwa tena kwenye mwili wa mtu mwingine),
Kwa hiyo Tabitha ni mama ake na Victor ndio maana pale akakumbuka alivyowakumbatia watoto wake na kuelekea kwenye mti yule smiley akamla,
Ina make sense na baba yake Victor alivyokua anamuongelea mke wake
Elgin hawezi kuwafanya waondoke, anatumiwa kama walivyokua wanamtumia Sara, wale monsters kazi yao ni ku-manipulate akili zao tu, na Boyd aliambiwa kinachowabreak ni HOPE.Elvin ndie atatua mtego wa kuondoka?
Fatma atakufa baada ya kuzaa?
😃😃😃
Hii series ni Kali mazee FROM
Ngoja tuone, wasije wakasema Julie ndie dada ake Victor tu 🤣🤣Duh director anazidi kutuchanganya pale naona hata Randall atakuwa ndio yule mzee kule kwenye pango 😃😀😀
Ndio mara ya kwanza naona yale majamaa yanakimbia mama victor huenda alikuwa amefanikiwa kujua jinsi ya kutokaNaunga mkono hoja 😀😃
Wasipomuokoa Fatma, mchezo unaanza upya kabisaElgin hawezi kuwafanya waondoke, anatumiwa kama walivyokua wanamtumia Sara, wale monsters kazi yao ni ku-manipulate akili zao tu, na Boyd aliambiwa kinachowabreak ni HOPE.
Inawezekana 😃😀😃😃Ngoja tuone, wasije wakasema Julie ndie dada ake Victor tu 🤣🤣
Mhmh inawezekanaje maana hakuliwa aliingia kwenye mtiDuh director anazidi kutuchanganya pale naona hata Randall atakuwa ndio yule mzee kule kwenye pango 😃😀😀
Nasemea yule mzee aliyemshika Boyd akamwambia my blood is your bloodMhmh inawezekanaje maana hakuliwa aliingia kwenye mti
Exactly 💯Elgin hawezi kuwafanya waondoke, anatumiwa kama walivyokua wanamtumia Sara, wale monsters kazi yao ni ku-manipulate akili zao tu, na Boyd aliambiwa kinachowabreak ni HOPE.