verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 2,930
- 5,913
Muhimu sana 🤣🤣🤣Sawa sasa huku kwenye mjadala wetu umefata Nini au ndio kuja kutukwaza tu 😃😃
Hebu nipe series kali za ujasusi zenye mkono
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muhimu sana 🤣🤣🤣Sawa sasa huku kwenye mjadala wetu umefata Nini au ndio kuja kutukwaza tu 😃😃
HomelandMuhimu sana 🤣🤣🤣
Hebu nipe series kali za ujasusi zenye mkono
😃😃Msimu ujao msishangae mke wa mwenyekiti akarudi kivingine kwa umbo labda ata lingineView attachment 3165371
Umetisha mkuuHomeland
The spy
The night manager
Condor
The Americans
MI-5
Nikitta
Fauda
Treadstone
Person of interest
Tom Clancy's jack Ryan
Karibu sanaUmetisha mkuu
Huyu jamaa wakati anaingia humo kijijini walipata ni ajali lakini yeye full furaha anazunguka na kibaskeli kumbe Kuna mtu karudi mara ya pili, na ndo maana Kuna vitu anaona mfano kule kwenye barafu alipomaliza kujisaidia haja ndogo akaona mtu kwenye mtu kapigwa bisu sijui la jicho,
Kabisa naunga mkono hoja huyu ni yule mzee aliye kuwa anaongea na yule mdoli 😃😃Huyu jamaa wakati anaingia humo kijijini walipata ni ajali lakini yeye full furaha anazunguka na kibaskeli kumbe Kuna mtu karudi mara ya pili, na ndo maana Kuna vitu anaona mfano kule kwenye barafu alipomaliza kujisaidia haja ndogo akaona mtu kwenye mtu kapigwa bisu sijui la jicho,
Khaaaaaaa. Mambo gn sasa haya!!?Huyu jamaa wakati anaingia humo kijijini walipata ni ajali lakini yeye full furaha anazunguka na kibaskeli kumbe Kuna mtu karudi mara ya pili, na ndo maana Kuna vitu anaona mfano kule kwenye barafu alipomaliza kujisaidia haja ndogo akaona mtu kwenye mtu kapigwa bisu sijui la jicho,
Mmmhhh. Survive for the fittest!?Sara the mvp of the episode 10,
Kajua kufunga series vizuri kila mtu amempenda 😂😂😂
Ndio Ina drama, horror na thriller mkuuKhaaaaaaa. Mambo gn sasa haya!!?
Kumbe thriller!?
Wakimuua Ellis, Fatima hawezi kuishi au atakua wa hovyo sana, wamtoe tu baba ake Victor 🤣🤣 me simuelewi japo anauliza maswali ya maana ila hawajamzingatia tu, wangemtoa yule askari au wambadilishe attitude yake ili aanze kudate na Kenny, the guy needs a girlfriend jamaniMy guess watakaokufa season 4 ni ellis(mtoto wa boyd) na baba ake victor
HatariNaam wale wapenzi wa series ya from Leo season 3 imeshatoka online link kama uliipenda msimu wa kwanza na wapili huu ni msimu wa tatu je wale viumbe wataendelee kisumbua je Boyd Steven atafanikiwa kuwakomboa wenzie je Tabitha atafanya Nini ili kuwasaidia wenzie walio potea
Cc rip faza_nelly Mr Q Scars Carleen Hziyech22
View attachment 3102800
From Season 1 Complete WEB-HD 480p, 720p, & 1080p - TodayTvSeries
View attachment 3102795View attachment 3102796
No, she sold her soul to the devils, hana cha kupotezaMmmhhh. Survive for the fittest!?
Mbona ndivyo walivyosema in ep 10, Jade ni Christopher na Tabitha ni MirandaKabisa naunga mkono hoja huyu ni yule mzee aliye kuwa anaongea na yule mdoli 😃😃
Naunga mkono hojaMbona ndivyo walivyosema in ep 10, Jade ni Christopher na Tabitha ni Miranda
Safi sana. Za hivi napenda. Km Yellow Jackets.Ndio Ina drama, horror na thriller mkuu
Yellow jacket nzuri sana hivi season 2 wale wadada walifanikiwa kutoka kule msituniSafi sana. Za hivi napenda. Km Yellow Jackets.
Part 2 waliharibu hiiSpecial weekend packView attachment 3166078