(FSB) Usalama wa taifa Urusi waanza kamata kamata ya makundi ya kiislamu

(FSB) Usalama wa taifa Urusi waanza kamata kamata ya makundi ya kiislamu

CIA ni watu hatare sana

walitaka kumchonganisha Putin na sasa kachonganishika
 
Acheni visingizio magaidi wanaweza kumlipua yeyote kwa jina la allah kwao hiyo ni ibada kabisa.
 
Leo hii Uingereza wanakipata pata, waliwapa uhuru, hatimaye wameanza kunyanyua makalio barabarani, tena wanaziba barabara yote...

main-qimg-17512da37a0b1e02107ce7cc1999f006
Je, huu ni mgomo?
Unahusu nini?

Wachina na warusi ndo wanawaweza magaidi maana msamiati wa haki za binadamu hakuna huko. Wakileta ujuaji wananyongwa chap
 
acha chuki kwan hitler alikuwa muislam pind anauwa wa islael au pind mkolon anafanya watumwa watu wa africa alikua muislam akifanya jambo m2 m1 aubkikund acha kulifanya in general kwan waislam wangap hap tanzania wanaajil wa kristo km bahresa moo dewij azania gsm oilcom camel oil manji na wengine weng tu
 
Hatimaye Urusi imeanza kuongea lugha moja na dunia, hawa watu sio wa kucheka nao, unacheka nao wanakulipua, wanafundishwa chuki tangia utotoni mpaka wanakua watu wazima unafikiri wewe utawabadilisha leo?
Nchi yote imetaharuki, hamna pita pita za wanaume waliovaa mikanzu....
============================

Russia's Federal Security Service (FSB) on Wednesday detained members of Allya Ayat, a new-age religious group originating in Kazakhstan and banned as "extremist" under Russian law, in the city of Rostov-on-Don, state news agency TASS reported.

Russian authorities are on high alert following a mass shooting at a concert hall near Moscow last Friday in which at least 139 people were killed. Islamic State claimed responsibility for the attack.
Warudi kwao Kazakhstan, mapumbavu hayo hayastaarabikagi
 
Back
Top Bottom