FT: 2022 Uefa Champions League Final | Liverpool 0-1 Real Madrid | Paris, France

FT: 2022 Uefa Champions League Final | Liverpool 0-1 Real Madrid | Paris, France

Mkiambiwa England hakuna mpira mnakaza ila huo ndio ukweli, kwa miaka mingi sana team za England zimekuwa zikishindwa kufurukuta mbele ya team za sspain.

TEAM ZOTE ZA ENGLAND zimeonyesha udhaifu mkubwa sana mbele ya team za spain mpaka sasa japo mpira bado unaendelea na hatujui matokeo yatakuwaje mwishoni, Chelsea, Man City na sasa Liverpool zote zinafurukuta mbele ya team inayoaminiwa kuwa mbovu😄

Hii madrid ilionekana mbovu sana mbele za macho ya watu wengi ikilinganishwa na akina PSG, MAN CITY na LIVERPOOL ambao wengi waliziona kama tishio, ila oneni kinachofanywa uwanjani.

NB: LIVERPOOL ikiacha show game inaweza kupindua meza na kushinda.
 
Mkiambiwa England hakuna mpira mnakaza ila huo ndio ukweli, kwa miaka mingi sana team za England zimekuwa zikishindwa kufurukuta mbele ya team za sspain.

TEAM ZOTE ZA ENGLAND zimeonyesha udhaifu mkubwa sana mbele ya team za spain mpaka sasa japo mpira bado unaendelea na hatujui matokeo yatakuwaje mwishoni, Chelsea, Man City na sasa Liverpool zote zinafurukuta mbele ya team inayoaminiwa kuwa mbovu😄

Hii madrid ilionekana mbovu sana mbele za macho ya watu wengi ikilinganishwa na akina PSG, MAN CITY na LIVERPOOL ambao wengi waliziona kama tishio, ila oneni kinachofanywa uwanjani.

NB: LIVERPOOL ikiacha show game inaweza kupindua meza na kushinda.
England kik nyingi tu hamna kitu washalizwa hapo kombe hispain
 
Back
Top Bottom