Hawa Ethiopia wakoje kimichezo?View attachment 3086836
Kila la Heri Taifa Stars.
Nchi yakoLolote liwakute
Azam sports1, saa moja jioni.Hii mechi inaonyeshwa channel gani??
Nchi ya Bi chura kiziwi na AbduliNchi yako
CCM LAZIMA waende na Mabango ya Mama yaoLolote liwakute
Labda hiyo ya Tanzania, hizo zingine ni 50/50Niger win odd 4
Taifa stars gg odds 2.4
Libya win odds 1.9
Halafu mseme eti muhindi hagawi hela za bure πππ (ukiliwa usinilaumu)
Halafu wana bahati sana hawa viume. Si wanaenda kukutana na timu ya Ethiopia round ya pili?Wapigwe tu hao utoπ