AaahaahaaAchana na goli, Assist kama hizi anatoaga chama tu.. utulivu wa hali ya juu sana ndani ya box
Kwani uongo mkuu ?Aaahaahaa
Classic game...🔥🔥🔥🔥Leòoooooo ndo leoooooo kivumbi na jashoooooo
SahihiKwa mujibu wa VAR ni Offside
TP Mazembe wasifanye uzembe tenaNo Goal
Ishakuwa sioMambo ya VAR nini?
VAR dole gumba la mguu wa mbrazil wa EST ya Tunisia teknolojia ameoteaWamesawazisha Esperence