Hana winga wa maana wa kumsaidia hapo mbele, enzi zile za Miquisonne alikuwa na wakati mzuri sana.Hussein anakubali kuchekechwa hivi
Jamaa wamekuja na moto kipindi hiki cha pili
Nguvu Moja [emoji881]
Hata mie aisee.Huyu muamuzi huyu, Mimi Sina imani nae kabisa.
Nimeshamsoma tangu kipindi cha kwanza.Huyu muamuzi huyu, Mimi Sina imani nae kabisa.
Hata mimi nimeshangaa,kwanza kocha gani hana kisogo.Yule mzungu pimbi* sana alitaka kumtoa Onyango.
Kaa utulie shoga angu. Simba makundi lazimaHuu Mpira uishe jamani maana kiti hakikaliki si kwa presha hii
Sijui anachelewa nini au ndio tuseme aliyeko nje kwa mtazamo wake ni mbovu zaidi sijui?Naomba namba ya mgunda nimpigie ili nimkumbushe asisubili tufungwe ndipo atoe kibubu
Kama unasikiliza radio ni kweli ila kama unaangalia game ni kama Aziz Key tu machachali ila sio mchezaji mwenye hatariHuyu Antonio Da Silva inaonekana msumbufu
Anaimarisha ulinzi.Mabadiliko naskia kaingia Kennedy afu katoka Okrah
Kaa utulie shoga angu. Simba makundi lazima
Kibu hovyo kabisa